Hata hii "argument" uliyoleta una"onesha ni kijana mdogo sana.Unaanza sasa, haya nipigie whatsap nikuwekee my ID uone mwaka nilio zaliwa live add me 0764 700 300
AlhamduliLlah you've realised that.Same as you then.
Acvha kukwepa ukweli , ID si ia pichaHata hii "argument" uliyoleta una"onesha ni kijana mdogo sana.
Unaweza kuchukuwa id ya baba'ko. tunawajuwa nyinyi.
Nipishe huko.
Tulia wewe.AlhamduliLlah you've realised that.
Tulia ni Spika wa bunge, yupo Bungeni, siyo mimi.Tulia wewe.
[emoji848]Ilikuwa inaitwa BURGER HUT,Owner alikuwa anaitwa Jalal jamaa wa Kibohora ambae pia alikuwa ana own Rendezvou Restaurant na Kongwa Beef Butcher samora Avenue,jamaa alifariki zaidi ya miaka 30 iliyopita
Sent from my SM-N986B using JamiiForums mobile app
you've nailed it, exactly "burger hut".Ilikuwa inaitwa BURGER HUT,Owner alikuwa anaitwa Jalal jamaa wa Kibohora ambae pia alikuwa ana own Rendezvou Restaurant na Kongwa Beef Butcher samora Avenue,jamaa alifariki zaidi ya miaka 30 iliyopita
Sent from my SM-N986B using JamiiForums mobile app
Ilikuwa burger exceptional sana wakati ule.. bei SHILINGI 5 unapata moja chap na coke baridi kabla ya kuingia Empire cinema[emoji1787]Kipindi fulani miaka ya nadhani late 80's na kurudi nyuma kulikuwa na Kiosk kimoja hapo Mitaa mbako baadae ikaja kuwa maeno ya Billicans club.
Ilikuwa wanauza Hamburgers matata sana, taste ya zile hamburge, ile beeef kile kitunguu na ile buns mpaka leo I can taste them.
Nani alikuwa owners wa hiyo kitu na alishia wapi, by now angekua na Chain ya hizo.
Duh, Tulia wa Bungeni tena ?? mimi naema wewe utulie hhahahaaTulia ni Spika wa bunge, yupo Bungeni, siyo mimi.
... ile wewe demu ni mbishi bila sababu; wakati mwingine ubishi wako hauna hata mantiki. I wish I could see you!Tulia ni Spika wa bunge, yupo Bungeni, siyo mimi.
Yeah,nakumbuka niliingia Steers 2007 unapanda gorofani hapo,nilikuta watu wenye hadhi na wasafi.Tuliingia kuosha nyota hapo na Manzi angu flani wa Marangu kule.umenikumbusha mbaliUmenikumbusha miaka ya 2000 Steers walivyokuwa wamoto mitaa hyo, hapo kulikuwa na imalaseko super market, kitega uchumi jengo lililokuwa linatamba na ndio clouds walipokuwa. Bila kusahau mitaa ya ohio street kwenye huduma pendwa
Si ndio burger ilipotokea huo mji. Ndio maana nikamwambia either aite hamburger au burger, yote yanatumika kwenye EnglishHamburger ni kijerumani mzee.
I wish wange rudisha zile burgersI agree, zile burgers zilikuwa nzuri sana. Ilikuwa opposite na jengo la Extelecoms kwa nyuma
Rekebisha hapo ni hamburger or simply burger. Sio hamberger
Sina uhakika kama Steers ipo bado, Best Bite ipo , ila sija kwenda zidi hata ya miaka 20 , KFC sipendi chicken burgers , kiujumla burger nilizo penda ni Buger King (hatuna Bongo) na ile iliyo uzwa pale Petrol ststion kwenye container Morocco na sasa walihama kupisha upanuzi wa barabara , sijui wako wapi kwa sasa na mwisho ni hiyo Burger joint iliyo kuwepo hapo Posta zamni , naamini taste ya ilikuwa Nzuri sana .