TANZIA Buriani Abbas Kleist Sykes

TANZIA Buriani Abbas Kleist Sykes

Kwani wapi nimesema anamchukia Nyerere?

Nimesema anaji contradict.

Kwenye tazia ya Abbas Sykes kamuandika Nyerere kuliko Abbas Sykes.

Kamtaja Nyerere mara takriban 43, kamtaja Abbas Sykes mara takriban 16.

Halafu analalamika wazee wake wamefunikwa kwenye historia, wakati yeye mwenyewe anawafunika mpaka kwenye tazia.

Faiza Foxy alikupa darasa la contradiction kutoka kwenye biblia nadhan ulimsoma,

Kumtaja nyerere Mara 43 na Sykes Mara 16,Kuna athiri kitu gan katika kuelezea history ya huyo Abas Sykes ambae ni UNSUNG HERO?,hata nyerere Angetajwa Mara mia na Sykes akatajwa Mara mbili tuh kwa upana wake itatosha pia jamii kumfaham na kufaham aliifanyia nin Tanzania,

Huwez lazimisha Mohamed Said aandike kwa kufuata Utashi wako
 
Faiza Foxy alikupa darasa la contradiction kutoka kwenye biblia nadhan ulimsoma,

Kumtaja nyerere Mara 43 na Sykes Mara 16,Kuna athiri kitu gan katika kuelezea history ya huyo Abas Sykes ambae ni UNSUNG HERO?,hata nyerere Angetajwa Mara mia na Sykes akatajwa Mara mbili tuh kwa upana wake itatosha pia jamii kumfaham na kufaham aliifanyia nin Tanzania,

Huwez lazimisha Mohamed Said aandike kwa kufuata Utashi wako
Big Show,
Tatizo si kuwa taazia imeandikwa vibaya, la hasha.

Tatizo ni maudhui yenyewe.

Tatizo ni kule kumuunganisha Nyerere na Abbas Sykes.

Hawa ndugu zetu wanataka kututoa kwenye historia yetu abakie Nyerere peke yake iwe TANU haikuwa na wenyewe.
 
Kwani wapi nimesema anamchukia Nyerere?

Nimesema anaji contradict.

Kwenye tazia ya Abbas Sykes kamuandika Nyerere kuliko Abbas Sykes.

Kamtaja Nyerere mara takriban 43, kamtaja Abbas Sykes mara takriban 16.

Halafu analalamika wazee wake wamefunikwa kwenye historia, wakati yeye mwenyewe anawafunika mpaka kwenye tazia.

Faiza Foxy alikupa darasa la contradiction kutoka kwa biblia nadhan ulimsoma,

Kumtaja nyerere Mara 43 na Sykes Mara 16,Kuna athiri kitu gan katika kuelezea history ya huyo Abas Sykes ambae ni UNSUNG HERO?,hata nyerere Angetajwa Mara mia na Sykes akatajwa Mara mbili tuh kwa upana wake itatosha pia jamii kumfaham na kufaham aliifanyia nin Tanzania
Big Show,
Tatizo si kuwa taazia imeandikwa vibaya, la hasha.

Tatizo ni maudhui yenyewe.

Tatizo ni kule kumuunganisha Nyerere na Abbas Sykes.

Hawa ndugu zetu wanataka kututoa kwenye historia yetu abakie Nyerere peke yake iwe TANU haikuwa na wenyewe.

Mudeer,

Kwanza awali ya yote tuzid kukushukuru kwa kuzid kutukalisha kitako na kutupatia Elimu kubwa kama hii,hakika kila jambo Allah ana sababu zake,lait kama asingejaalia uwepo wako na kukufanya wewe kuwa karibu na wazee wetu Wale na Ahal zao Allah awarehem,tungeyajua vip haya leo hii,

Lakin, Alhamdulillah vitu umeviandika kwa ushahid na kwa lugha fasaha kabisa,kumbu kumbu umeziweka sawa na mwenye macho haambiwi tazama,

Allah atakulipa kwa hili,na hakika vizaz kwa vizaz watanufaika na maandiko yako,

Utakumbukwa daima kwa uthubutu wako katika jambo hili adhiim kabisa Mzee wangu...
 
Faiza Foxy alikupa darasa la contradiction kutoka kwa biblia nadhan ulimsoma,

Kumtaja nyerere Mara 43 na Sykes Mara 16,Kuna athiri kitu gan katika kuelezea history ya huyo Abas Sykes ambae ni UNSUNG HERO?,hata nyerere Angetajwa Mara mia na Sykes akatajwa Mara mbili tuh kwa upana wake itatosha pia jamii kumfaham na kufaham aliifanyia nin Tanzania


Mudeer,

Kwanza awali ya yote tuzid kukushukuru kwa kuzid kutukalisha kitako na kutupatia Elimu kubwa kama hii,hakika kila jambo Allah ana sababu zake,lait kama asingejaalia uwepo wako na kukufanya wewe kuwa karibu na wazee wetu Wale na Ahal zao Allah awarehem,tungeyajua vip haya leo hii,

Lakin, Alhamdulillah vitu umeviandika kwa ushahid na kwa lugha fasaha kabisa,kumbu kumbu umeziweka sawa na mwenye macho haambiwi tazama,

Allah atakulipa kwa hili,na hakika vizaz kwa vizaz watanufaika na maandiko yako,

Utakumbukwa daima kwa uthubutu wako katika jambo hili adhiim kabisa Mzee wangu...
Mtazidi kulalamika wazee wenu wanafunikwa katika historia ya Tanzania.

Huku nyie wenyewe mkichangia kuwafunika hao wazee wenu na kumpaisha Nyerere.

It is absurd and indeed disrespectful to Abbas Sykes' legacy to write more about Nyerere than Abbas Sykes on an Abbas Sykes obituary.

Especially if the writer is notoriously known as being aggrieved due to the so called injustice done to his ilk (the Sykes and other Dar/ coastal patricians as well as prominent and seminal old timer do gooders) following some grotesque and deliberate omissions in history by Nyerere and his trapeze act troupe of mandarins, scribes and pharisees in the establishment's literati cabal of unmitigated shameless propaganda fueled by institutional obfuscation and opacity, allegedly especially levelled by the intelligentsia against Muslims.

You are making Nyerere as powerful as some supermassive black hole at the center of the Tanzanian galaxy, everything revolves around him. More than 21 years after his death, this Nyerere phenomenon seems to bend space and time.

Even Abbas Sykes' obituary, by an acclaimed proponent of redressing the shortcomings of orthodoxy history, starts with Nyerere's funeral, and does not progress an inch past this gargantuan Nyerere vortex that sucks everything around it.

Your collective lack of imagination is only surpassed by your weird penchant for self contradiction.

Your calcified sense of hero worship fills your mind's eye with a cognitive dissonance blindspot that leads you back to supporting namedropping Nyerere disproportionately on an Abbas Sykes obituary.

As if Abbas Sykes is some lightweight figure whose importance is not significant enough unless he is repeatedly projected as one of Nyerere's used and forgotten once upon a time buttressing lackey.

You are shooting yourself in the foot, right before a marathon, and then you blame this shooting on some intricate alien conspiracy against you.
 
Mtazidi kulalamika wazee wenu wanafunikwa katika historia ya Tanzania.

Huku nyie wenyewe mkichangia kuwafunika hao wazee wenu na kumpaisha Nyerere.

It is absurd and indeed disrespectful to Abbas Sykes' legacy to write more about Nyerere than Abbas Sykes on an Abbas Sykes obituary.

Especially if the writer is notoriously known as being aggrieved due to the so called injustice done to his ilk (the Sykes and other Dar/ coastal patricians as well as prominent and seminal old timer do gooders) following some grotesque and deliberate omissions in history by Nyerere and his trapeze act troupe of mandarins, scribes and pharisees in the establishment's literati cabal of unmitigated shameless propaganda fueled by institutional obfuscation and opacity, allegedly especially levelled by the intelligentsia against Muslims.

You are making Nyerere as powerful as some supermassive black hole at the center of the Tanzanian galaxy, everything revolves around him. More than 21 years after his death.

Even Abbas Sykes' obituary, by an acclaimed proponent of redressing the shortcomings of orthodoxy history, starts with Nyerere's funeral, and does not progress an inch past this gargantuan Nyerere vortex that sucks everything around it.

Your collective lack of imagination is only surpassed by your weird penchant for self contradiction.

Your calcified sense of hero worship fills your mind's eye with a cognitive dissonance blindspot that leads you back to supporting namedropping Nyerere disproportionately on an Abbas Sykes obituary.

As if Abbas Sykes is some lightweight figure whose importance is not significant enough unless he is repeatedly projected as one of Nyerere's used and forgotten once upon a time buttressing lackey.

You are shooting yourself in the foot, right before a marathon, and then you blame this shooting on some intricate alien conspiracy against you.
Kiranga,
Nimeusudu hii style yako ya kuandika Kiingereza kama Charles Dickens.

Sharti nasikia raha.
 
Kiranga,
Nimusudu hii style yako ya kuandika Kiingereza kama Charles Dickens.
Hahaha, unaangalia style hujasema kuhusu mantiki yangu.

Nimeona nikuandikie Kiingereza labda utanielewa.

Maana nimekuandikia Kiswahili hunielewi.

Nimekuandikia Kizaramo "Zilongwa mbali, zitendwa mbali" napo hujanielewa.

Kilichobaki nikufuate tunywe kahawa unipe historia ya kwetu Mission Quarter tu.
 
Hahaha, unaangalia style hujasema kuhusu mantiki yangu.

Nimeona nikuandikie Kiingereza labda utanielewa.

Maana nimekuandikia Kiswahili hunielewi.

Nimekuandikia Kizaramo "Zilongwa mbali, zitendwa mbali" napo hujanielewa.

Kilichobaki nikufuate unipe historia ya kwetu Mission Quarter tu.
Kiranga,
Nakuelewa sana ndugu yangu.

Lakini nililotaka kufikisha kwa wasomaji wangu nimewafikishia.

Natambua kuwa haiwezekani watu wote wakakubaliana na mimi.

Ndiyo hivi unaniona niko kimya naangalia mengine.
 
Kiranga,
Nakuelewa sana ndugu yangu.

Lakini nililotaka kufikisha kwa wasomaji wangu nimewafikishia.

Natambua kuwa haiwezekani watu wote wakakubaliana na mimi.

Ndiyo hivi unaniona niko kimya naangalia mengine.
Hivi, siku moja ukipata ushahidi usiopingika na wa kutosha, kwamba umekosea, utakubali umekosea?

Au utakuwa na ujivuni uliokithiri maarifa ya kugeuka nyuma?
 
Hivi, siku moja ukipata ushahidi usiopingika na wa kutosha, kwamba umekosea, utakubali umekosea?

Au utakuwa na ujivuni uliokithiri maarifa ya kugeuka nyuma?
Kiranga,
Just take it easy jamaa yangu.

Haya si mambo ya kukuhangaisha hivyo.
 
Kiranga,
Mimi si mtu wa hivyo.

Zamani pale Mnazi Mmoja tunacheza mechi mpira unachafuka watu wanapandana.

Mimi nilikuwa nastahiwa haji mtu kunichezea rafu.

Sijapatapo kupigana hata siku moja.
Napenda sana maelewano.
Yani kukuuliza kama unaweza kujirudi ukiona umekosea ni kukuchezea rafu?

Are you really that much in vanity?
 
Yani kukuuliza kama unaweza kujirudi ukiona umekosea ni kukuchezea rafu?

Are you really that much in vanity?
Kiranga,
Narudi nyuma kwani nahisi umeumizwa sana na hili jambo.

Nakujibu kwa kuwa ndiyo ustaarabu.
Nikikaa kimya itakuwa nimekupuuza.

Ningeshukuru kama tungemaliza hili jambo kwa salama.
 
Kiranga,
Narudi nyuma kwani nahisi umeumizwa sana na hili jambo.

Nakujibu kwa kuwa ndiyo ustaarabu.
Nikikaa kimya itakuwa nimekupuuza.

Ningeshukuru kama tungemaliza hili jambo kwa salama.

Acha kujikweza, hujafikia kiwango cha kuweza kuniumiza mimi. Hizo ni njozi zako za mchana tu zinazoonesha huwezi kufuatilia hoja kimantiki bila kuwa emotional na ku project wengine kuwa wako emotional kama wewe.

Hutakiwi kusema unataka usomi na kuweka historia ya kweli wazi, halafu watu wakikubana unakimbilia kukataa mjadala kwa kinga ya ustaarabu.

Hapo utakuwa hujui usomi wala ustaarabu.
 
Hahaa!!!sindano hii lazma imuingie tu
Husda,chuki,wivu na roho ya nyongo tuh imekujaa,huna lolote...

Kama ww unajua basi andika tanzia au eleza unayoyafam km anavyoelezea Mohamed Said Ili tuone uhalisia wa hicho unachokisema,dini yake ww inakuchoma choma kwanin?wewe pia si unayo dini yako?unaongea ujinga ujinga kama mwanamke unaetafuta ndoa kwa nguvu jamaa,
 
Tuambie unaowajua ww nguchiro
Aah, wapi! Huyo Mohamed Said huwa anajua historia ya watu wasiozidi kumi; Abbas na Abdul Sykes, Dosa Aziz, Bibi Titi, Rupia na wengine wachache. Na hao wote ni wa Kariakoo mitaa ya Aggrey na Tandamti! Hajui kingine chochote zaidi ya hiyo mitaa!!!
 
Kutoka wapi???Hebu acha kutushushia heshima watu wa Mahenge labda Mahenge ya Iringa co Moro
Haya basi wewe tuletee historia ya watu wawili tu unaowajua wewe kutoka huko kwenu mahenge ili na wewe tupate kukusoma na pia kuwasoma hao wachimba udongo wenzio

Watanzania mtabadilika lini na mambo yenu ya kishamba na ya kizamani kujifanya mnakandia na kusagia vya watu wakati wewe huna hata vya kuponda wala vya kupapasa

Acheni ushamba
 
Acha kujikweza, hujafikia kiwango cha kuweza kuniumiza mimi. Hizo ni njozi zako za mchana tu zinazoonesha huwezi kufuatilia hoja kimantiki bila kuwa emotional na ku project wengine kuwa wako emotional kama wewe.

Hutakiwi kusema unataka usomi na kuweka historia ya kweli wazi, halafu watu wakikubana unakimbilia kukataa mjadala kwa kinga ya ustaarabu.

Hapo utakuwa hujui usomi wala ustaarabu.
Kiranga,
Yamekwisha ndugu yangu.
Nisamehe ikiwa nimekuudhi.
 
Back
Top Bottom