Buriani Ali Abdul Mufuruki, Mhandisi mwenye mapito mengi kwenye Biashara

Buriani Ali Abdul Mufuruki, Mhandisi mwenye mapito mengi kwenye Biashara

Umefurahi mwenyewee!
Ndio akili zetu watanzania tumejifunza kukaa na kusubiri tajiri afilisike tumcheke, fulani akose kazi kama sisi tufanane, yaani mtu anatumbuliwa watu wanapiga makofi na vigelegele, halafu eti tunataka tuwe na uchumi usio tegemezi? Thubutu watu hawataki kupanda wanataka washuke walio juu, mawazo aliyonayo mpaka mkuu.
 
Mafuruki kupitia Kampuni yake ya Infotech zamani Infosys ndio Kampuni ilikea inern wengi wa ICT hardware, software, networking and system security.

Vijana waliopita Kampuni yake ni among the best in Tanzania na ulienda ma bank Kama NMb utalishuhudia Hilo. Hapo wahaya pia walijazana Sana.

Infosys ndio alifunga network ya NMB yote Tanzania mzima,baadhi ya NBC na Kampuni nyingi za kisouth including TBL. So aliajiri watu wengi sema kwenye kada za ICT,

Hata Steerz alikuwa shareholder, Woolworth bongo imeajiri vijana wengi na unaona hata mandhari ya kazi zao. Ila Kama huna kipato huwezi kujua functions za W store.

Moja Kati ya watanzania ambao mabeberu walikuwa wakiwasikiliza wakiongea no marehemu Ally mafuruki. Aliaminija Sana kiasi Cha kupewa Board chairman wa Vodacom Tanzania. Marehemu alikuwa na honorary citizenship za RSA na Canada Sasa sijui Kama Kuna mbongo mwingine Ana access Kama yake aliyebaki.
 
Ukitoa yeye labda Balozi Mpungwe wanaweza kufanana hapo. Balozi sio mjasiriamali, alikuwa mtumishi wa serikali.
 
I don't know who he is na why so popular
RIP Ndugu!
 
Mkuu unatumia muda wako vibaya, kudadavua kuhusu nyumba kuuzwa kuwa ni ufisadi si haki, maana hakuna siku huyu mkuu wa nchi anae chukia ufisadi aliwahi kukiri kuwa kuuzwa nyumba za serikali ni ufisadi.
In this age of rampant governmentality and myopic pitter pattering, those of us with a thirst for mental elevation and business acumen honor Mufuruki for his individuality and shrewd business skills that enabled him to succeed in the midst of a business environment that could only be called a "war zone".

Yush!

And now. For the flip side. The gully sinting.

The Renaissance braggadocio.

The unorthodox punches.

The pungent poetry of the jungle Jungian sanguine sage.

Let me shit a few lines on these floosies.

You do the flushing...

They mistake my take
The cakes I bake for fake
Philosophical ire for Juvenalian satire
Kiranga is spitting fire
Wheeling, sitting on one tire
I'm Mwembetogwa sire
Your girl's heart desire
I reject and eject
Those with Dunning-Kruger effect
I replace that with truth erect
Toe for toe, blow for blow
Kiranga's heart is cold, Alaska snow
Upanga's part is gold, Buzwagi dough
When I cough, they bow, Mariana low
Rex Kiranga, master of Ananga Ranga
Bringing this saga,
Don't test the rocket launcher carrying a dagger
Flossing in excess
Refusing your girl sex
What a pest, put a flex on that vest
From Angkor, Upanga to Mkuranga
Mansa Mussa, with my monster Medusa
You sir, need to quit faking like Jusa
I separate the English from the Dutch
Much too much, not of this batch
Not of this bunch, time to punch
Weak theories, weak stories
Weak follies, lift you up like cart dollies
They climb the mount of hate
They hike the rate of anger
They wish to count my fate
Amongst the set of danger
But I refuse to lose
My pulse is juiced
With my Takagawa smile
I ran the extra mile
In shoes of steel, do you know how that feel?
Do not compare mediocrity with impeccable skills.
Battle scarred Shogun
Black Hogan
Raging Bull like Jordan
Don Gorgon
Astronaut from Dogon
Show done.
 
Ndio akili zetu watanzania tumejifunza kukaa na kusubiri tajiri afilisike tumcheke, fulani akose kazi kama sisi tufanane, yaani mtu anatumbuliwa watu wanapiga makofi na vigelegele, halafu eti tunataka tuwe na uchumi usio tegemezi? Thubutu watu hawataki kupanda wanataka washuke walio juu, mawazo aliyonayo mpaka mkuu.


Siku nikiulizwa kitu gan sikipend hsa hapa jf ntakisema hicho ulichoandika!watu wamekuwa a chuki za ajab ajabu kunanga kusubiria fulan aanguke unadhan akianguka fulan ww ndo utanyanyuka hehee!ovyo sana umaskini
 
Siku nikiulizwa kitu gan sikipend hsa hapa jf ntakisema hicho ulichoandika!watu wamekuwa a chuki za ajab ajabu kunanga kusubiria fulan aanguke unadhan akianguka fulan ww ndo utanyanyuka hehee!ovyo sana umaskini
Ndio sababu nchi yetu maskini wengi, watu wanasubiri uanguke wakukanyage na hapo bado hawatapata nafuu yoyote kimaisha, hawajui unaweza kumcheka na kufurahia fulani katumbuliwa au kafilisika, aka na mafanikio makubwa zaidi kupitia jambo jipya atalofanya, unabaki ooooh! free mason, ujuha mkubwa sana huu.
 
Ndio sababu nchi yetu maskini wengi, watu wanasubiri uanguke wakukanyage na hapo bado hawatapata nafuu yoyote kimaisha, hawajui unaweza kumcheka na kufurahia fulani katumbuliwa au kafilisika, aka na mafanikio makubwa zaidi kupitia jambo jipya atalofanya, unabaki ooooh! free mason, ujuha mkubwa sana huu.

Upuuzi sana yaani!tena tatizo unamuona na boss namba 1anahate
 
Nilisoma andiko lake moja ambalo Ally alikua anapinga bomoabomoa ya nyumba za mabondeni.

Alidadavua ni namna gani binadamu anatakiwa kuishi na maji na kuonesha mifano namna ya wenzetu wanavo fanya ku-deal na tatizo la maji, ambalo huwasumbua sana walalahoi. Nilimpendaje!

Inna lilah wa inna illah rajuhun.

Naweza kupata wapi hilo andiko au walau title yake niweze kuitafuta kindly if you wont mind
 
What is blah blah?

Can a I analogize?

Can I say I practice meditation like a Buddhist without someone getting a hardon to force religion on me?

Na Catholism ndio best analogy?

Mshua tusi-complicate sana hii maneno

Wewe kafute tu mshua ili kuweka records sawa
 
Back
Top Bottom