Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nahitimisha kuwa matajiri wazawa hawana maisha marefu halafu matajiri wenye asili ya Asia wana maisha marefu!!!!Hii ndio tz na maajabu yake!!!
Bila ujuaji hakuna maendeleo.Unapoteza muda wako bure na huyo "mjuaji".
Mimi si Mkatoliki, nimeandika kama Mkatoliki, kwa maana kama vile Wakatoliki wanavyofundishwa kutomchukia mtu, na mimi simchukii mtu.
Hiyo kama ni "like a Catholic" si "as a Catholic".
Mimi siamini uwepo wa Mungu, nitakuwaje Mkatoliki?
Ati naye alikuwa miongoni mwa wale waliokuwa wamepangisha vyumba vya hoteli fulani fulani mjini permanently? Yaani room inajulikana ni ya kwake na amelipia mwaka mzima? Wengine wanadai rooms hizo zilikuwa machinjio.
Na majina ya hizo hoteli wengine wanayajua moja baada ya nyingine.
Na hata mkulu aliwahi kusema katika moja ya hotuba yake kuwa watu wa aina hiyo amewakomesha, wanaisoma namba!
Hata wewe wakitaka kukueliminate wanapata file lako kamili toka kwa doctor wako, alafu wanapitia mulemule, ili jamii isishituke. Kama una akili utanielewa
Mtu kukusaidia sio mpaka akuajiri hata mawazo yake na influence inafanya mengi
Marehemu Ali alikuwa na ndoto ya kuwa mwenyekiti wa sekta binafsi, lakini nafaisi ilipo patikana mwaka 2018, alifuatwa na Sembeye kuombwa kugombea nafasi hiyo AKAKATAA NA KUSEMA SIO SASA NINA MAMBO MENGINE YA KUFANYA kauli hii kaongea Simbeye kwa uchungu sana mpaka amelia.
Lazima kuna kitu Ali alimwambia hasa kwa kuwa utawala wa awamu hii umeamua kuwatesa matajiri, akaona asiwe sehemu ya kuwafanya waishi kama mashetani, maskini Ali alijua sekta inaenda kufa na hakutaka imfie yeye. Halafu mtu anaandika amesikitishwa sana na kifo cha mtu alietaka awe shetani. Unafiki.
Verily i tell you she knows how?what?the man died for!!!After the coming of this regime mengi,ruge and now mufruki are gone!!!Others of that calibre should watch out!!!!many to follow!!!
Nilisoma andiko lake moja ambalo Ally alikua anapinga bomoabomoa ya nyumba za mabondeni.
Alidadavua ni namna gani binadam anatakiwa kuishi na maji na konesha mifano namna ya wenzetu wanavo fanya ku-deal na tatizo la maji, ambalo huwasumbua sana walalahoi. Nilimpendaje!
Inna lilah wa inna illah rajuhun.
Rambirambi za Jiwe za kinafiki sana.
Siasa tena? Mkuu acha hizoMarehemu Ali alikuwa na ndoto ya kuwa mwenyekiti wa sekta binafsi, lakini nafaisi ilipo patikana mwaka 2018, alifuatwa na Sembeye kuombwa kugombea nafasi hiyo AKAKATAA NA KUSEMA SIO SASA NINA MAMBO MENGINE YA KUFANYA kauli hii kaongea Simbeye kwa uchungu sana mpaka amelia.
Lazima kuna kitu Ali alimwambia hasa kwa kuwa utawala wa awamu hii umeamua kuwatesa matajiri, akaona asiwe sehemu ya kuwafanya waishi kama mashetani, maskini Ali alijua sekta inaenda kufa na hakutaka imfie yeye. Halafu mtu anaandika amesikitishwa sana na kifo cha mtu alietaka awe shetani. Unafiki.