Buriani Ali Abdul Mufuruki, Mhandisi mwenye mapito mengi kwenye Biashara

Buriani Ali Abdul Mufuruki, Mhandisi mwenye mapito mengi kwenye Biashara

Kiranga,

Mkuu

Namnba 6 hapo juu!

Wewe ni Mkatoliki?

Aisee umeniangusha sana!

Usiekua na imani yeyote ya uwepo wa mungu au shetani leo ni Mkatoliki?

Umetuangusha sisi faithless kabisa!
 
Nahitimisha kuwa matajiri wazawa hawana maisha marefu halafu matajiri wenye asili ya Asia wana maisha marefu!!!!Hii ndio tz na maajabu yake!!!

Mkuu unafikiri ni kwa nini?
 
Wyatt Mathewson,
Mimi si Mkatoliki, nimeandika kama Mkatoliki, kwa maana kama vile Wakatoliki wanavyofundishwa kutomchukia mtu, na mimi simchukii mtu.

Hiyo kama ni "like a Catholic" si "as a Catholic".

Mimi siamini uwepo wa Mungu, nitakuwaje Mkatoliki?
 
Mimi si Mkatoliki, nimeandika kama Mkatoliki, kwa maana kama vile Wakatoliki wanavyofundishwa kutomchukia mtu, na mimi simchukii mtu.

Hiyo kama ni "like a Catholic" si "as a Catholic".

Mimi siamini uwepo wa Mungu, nitakuwaje Mkatoliki?

Mkuu

Hiyo ni bla blah my nigga

Delete that shit,hakuna mtoto hapa bana!
 
Ati naye alikuwa miongoni mwa wale waliokuwa wamepangisha vyumba vya hoteli fulani fulani mjini permanently? Yaani room inajulikana ni ya kwake na amelipia mwaka mzima? Wengine wanadai rooms hizo zilikuwa machinjio.

Na majina ya hizo hoteli wengine wanayajua moja baada ya nyingine.

Na hata mkulu aliwahi kusema katika moja ya hotuba yake kuwa watu wa aina hiyo amewakomesha, wanaisoma namba!
 
Kiranga,

Na nimesema wazi, sipo katika level za ma CEO, lakini ndio sina haki ya kuuliza nisichokifahamu? Inawezekana unajiona huna wajibu wa kunielewesha kwa kuwa level yako ni ya juu sana, lakini pia kuna uwezekano eego yako iko katika levels za juu sana kiasi utu wako umekuwa bora mno nafsini mwako kuliko sisi binadamu wengi hivyo hats jambo dogo tu la kuwaelezea qatu wajinga linakushinda badala yake unakimbilia kutaka kusema we we ni nani.

Hakuna haki pasipo wajibu, kama mumependezewa kumsifu na kumpingeza Ali kwa mchango wake kwa watanzania, basis mbao wajibu wa kutuelezea aliifanyia mini nchi tofauti na watu wengine, vinginevyo kwa mini asipewe hadhi saws na walimu wetu wanaowafundisha watoto wetu kusoma, kwa mini asipewe hadhi kama sisi wakulima was viazi, kwa mini asipewe hadhi sawa na wanajeshi wetu wanaokesha kutulinda au madaktari wetu wanaohangaika kuokoa maisha yetu katika hali mbaya ya ufanyaji kazi?

Mimi hilo tu, Socrates sijui rapid Socratic questions za nini sasa?

Unashindwaje kumuelezea mtu mjinga asiyejua lolote kwa maneno rahisi kabisa?
 
schlumberger,
Huzi ndo akili za watz jamani!kuomba kupunguziwa bei ndo alikua ameyumba kiuchumi?jaribu kufikiria upya..au la unajitibu maumivu yako ww kwa kumsukumizia mtu baki!...unajipa relief!pole hata hvyo!😊
 
Ati naye alikuwa miongoni mwa wale waliokuwa wamepangisha vyumba vya hoteli fulani fulani mjini permanently? Yaani room inajulikana ni ya kwake na amelipia mwaka mzima? Wengine wanadai rooms hizo zilikuwa machinjio.
Na majina ya hizo hoteli wengine wanayajua moja baada ya nyingine.
Na hata mkulu aliwahi kusema katika moja ya hotuba yake kuwa watu wa aina hiyo amewakomesha, wanaisoma namba!

Umefurahi mwenyewee!
 
Barbarosa,
Hata kuacha kuchangia pia ni hekima.Kuliko kuandika Pumba bora ujikalie tu kimya na ufuatilie hoja za wengine wanavyochangia!
 
umehisi kisha ukatumia hisia kutengeneza conclusion...
Ukalazimisha siasa mavi nk....

Labda hakuwaza hayo...
Marehemu Ali alikuwa na ndoto ya kuwa mwenyekiti wa sekta binafsi, lakini nafaisi ilipo patikana mwaka 2018, alifuatwa na Sembeye kuombwa kugombea nafasi hiyo AKAKATAA NA KUSEMA SIO SASA NINA MAMBO MENGINE YA KUFANYA kauli hii kaongea Simbeye kwa uchungu sana mpaka amelia.

Lazima kuna kitu Ali alimwambia hasa kwa kuwa utawala wa awamu hii umeamua kuwatesa matajiri, akaona asiwe sehemu ya kuwafanya waishi kama mashetani, maskini Ali alijua sekta inaenda kufa na hakutaka imfie yeye. Halafu mtu anaandika amesikitishwa sana na kifo cha mtu alietaka awe shetani. Unafiki.
 
share nasisi ushauri wake pls...
kwamba alikuwa na hoja nzuri watu wazidi kuishi mabondeni?
Nisaidie nijifunze something mkuu
Nilisoma andiko lake moja ambalo Ally alikua anapinga bomoabomoa ya nyumba za mabondeni.

Alidadavua ni namna gani binadam anatakiwa kuishi na maji na konesha mifano namna ya wenzetu wanavo fanya ku-deal na tatizo la maji, ambalo huwasumbua sana walalahoi. Nilimpendaje!

Inna lilah wa inna illah rajuhun.
 
Marehemu Ali alikuwa na ndoto ya kuwa mwenyekiti wa sekta binafsi, lakini nafaisi ilipo patikana mwaka 2018, alifuatwa na Sembeye kuombwa kugombea nafasi hiyo AKAKATAA NA KUSEMA SIO SASA NINA MAMBO MENGINE YA KUFANYA kauli hii kaongea Simbeye kwa uchungu sana mpaka amelia.

Lazima kuna kitu Ali alimwambia hasa kwa kuwa utawala wa awamu hii umeamua kuwatesa matajiri, akaona asiwe sehemu ya kuwafanya waishi kama mashetani, maskini Ali alijua sekta inaenda kufa na hakutaka imfie yeye. Halafu mtu anaandika amesikitishwa sana na kifo cha mtu alietaka awe shetani. Unafiki.
Siasa tena? Mkuu acha hizo
 
Back
Top Bottom