Buriani Ali Abdul Mufuruki, Mhandisi mwenye mapito mengi kwenye Biashara

Buriani Ali Abdul Mufuruki, Mhandisi mwenye mapito mengi kwenye Biashara

Poleni Kwa msiba watani zangu wa Bukoba, mlikua mkimtumia Mufuruki kama nguzo kwenye ule Uzi wetu wa Bukoba Vs Moshi, Daima kina Istanbul watakukumbuka.... Pumzika Kwa amani Tajiri mzawa...
 
Mkuu umenifikirisha sana, hizi mbinu hata Putin amezitumia kustawisha utawala wake, eliminate matajiri tengeneza matajiri loyal kwako. Lakini sijui kama hii itafaa kwetu, labda kwa kuwa tumetoka kwenye mfumo wa ujamaa,
Huenda mshauri mkuu wa awamu hii anacopy na kupaste toka Russia

Eliminate matajiri, very primitive approach

Mistake tuwaseme marehemu bujre. Ruge na Mengi matatizo yao yalifahamika long time kitambo. Mfano Mengi alishaanza kuharibikiwavakili na familia ililifahamu hilo, Ruge ndio usiseme, it was just a matter of time kama nanihi wake ambaye walikuwa wakijadili Mani ataanza kuondoka. Do not insinuate things, Ali may have died due to a lot of causes, depression including, soon we are going to hear what have been going on within Mufuruki family, stay tuned
 
Tatizo kaleta ujuaji, angekuwa anahitaji elimu asingeleta kebehi za kijinga hivi na kutomkemea ni kumhujumu marehemu.

Ukimjibu kwa upole na staha unakuwa umekemea uzuri zaidi na kuonesha utofauti, ukifanya kama yeye unakuwa hujamtetea marehemu, japo unamjibu yeye, wasomao ni wengi
 
Mistake tuwaseme marehemu bujre. Ruge na Mengi matatizo yao yalifahamika long time kitambo. Mfano Mengi alishaanza kuharibikiwavakili na familia ililifahamu hilo, Ruge ndio usiseme, it was just a matter of time kama nanihi wake ambaye walikuwa wakijadili Mani ataanza kuondoka. Do not insinuate things, Ali may have died due to a lot of cause, depression including, soon we are going to hear what have been going on within Mufuruki family, stay tuned
Hata wewe wakitaka kukueliminate wanapata file lako kamili toka kwa doctor wako, alafu wanapitia mulemule, ili jamii isishituke. Kama una akili utanielewa
 
Hata wewe wakitaka kukueliminate wanapata file kamili Lako toka kwa doctor wako, alafu wanapitia mulemule, ili jamii isishituke. Kama una akili utanielewa

Ali kajifia, amekufa, kama yeyote atakavyokufa, Ali hajaliwa na yeyote labda laana ya mama yake au depression. Voac ilikuwa mali yake? Yeye ni mmoja wa walionyan'anywa Vodacom na chama chao?Acha ku insinuate mambo ambayo hayapo. Msidieni Ali kwa kwenda kumuombea msamaha kwa mama
 
Nyani Ngabu,
Where is the logical inconsistency? Is it a mere inconsistency or a contradiction? You mentioned both.

Let's dissect this like a Godelian knot.
 
domokaya,
Kumsifia sana maana yake ni nini?

Mimi nishawahi kumsema vibaya Ali Mufuruki hapa kwa kumshabikia Magufuli wakati Magufuli ni anti business president, na mpaka Ali Mufuruki mwenyewe akabanwa kijinga na TRA kama vile ni mtu anayekimbia kulipa kodi.

Sasa kumsifia sana kunaanzia wapi na kunaishia wapi?

Mtu alikuwa inspiration, mfanyabiashara mkubwa, tumefanya naye biashara kubwa, unataka tukutajie biashara tulizofanya naye?

The guy wa chairing the CEO roundtable, up there with the Mengis and Bakhressas.

The guy was at least attempting to cohere and point the way forward, unataka kuoneshwa kajenga barabara kama Magu?

The guy was among the 5 richest Tanzanian, paying taxes at that level, with net worth over $100 million.

Watu wakimsema inspiration tu, unataka kuuliza kaifanyia nini nchi?
 
Kiranga,

Bado siekewi kwa nini hasira hizi, jibu tu kaifanyia nini nchi, basi. Si wote ni ma CEO, si wote ni wafanya biashara, wengine sisi in wakulima wa viazi ulaya, tunajiona muhimu kwa vile vibanda vya chips vipo all over the country. Tunaamini tukiacha kulima nchi itatikisika, hatujawahi kumsikia Ali. Tunashangaa na kujiuliza, hyu Ali kalifanyia mini Taifa? Tuelekezeni basi kwa staha ninyi ma CEO, watu muhimu kuliko sisi wakulima tusiojua kitu. Nimefurahi kufahamu aikuwa tajiri mamba tano nchini
 
Barbarosa,
Kumwita kwenye mjadala lazima mumlipe si chini ya milioni 2. Huwezi kumlinganishahuyu na marehemu Mengi,hapa Zitto amekosea,mengi alikuwa mtu wa watu,huyu alikuwa wa matajiri.
 
Kama ndie mmiliki wa Zuku basi hata mimi nishakula pesa yake maana Zuku ndio kampuni ya kwanza kuniajiri baada ya kuhitimu Chuo kikuu, kwa wakati ule maslahi yale yalikua mazuri japo nlikula mshahara wa mwezi mmoja tu nikasepa zangu baada ya ukiritimba wa pak..a mmoja wa kihindi aliekua boss wangu
Ndg hujawahi kuona hata Wafanyakazi wa king'amuzi cha Zuku ambacho Marehemu ni mali yake.?
 
Yani mtu kubargain bei ndio umehitimisha ana tatizo la kipesa? Hizi ni akili za wapi?
If you see an iceberg you only see 10% forgetting 90% below the surface of the ocean.
i have known the late for the past 15yrs. only few have been said,
 
Kama ndie mmiliki wa Zuku basi hata mimi nishakula pesa yake maana Zuku ndio kampuni ya kwanza kuniajiri baada ya kuhitimu Chuo kikuu, kwa wakati ule maslahi yale yalikua mazuri japo nlikula mshahara wa mwezi mmoja tu nikasepa zangu baada ya ukiritimba wa pak..a mmoja wa kihindi aliekua boss wangu
The best i know ni kuwa Ali aliamua kuifunga Kampuni ya kuuza ving'amuzi vya ZUKU kwa kuhujumiwa na wazawa.
 
Bado siekewi kwa nini hasira hizi, jibu tu kaifanyia nini nchi, basi. Si wote ni ma CEO, si wote ni wafanya biashara, wengine sisi in wakulima wa viazi ulaya, tunajiona muhimu kwa vile vibanda vya chips vipo all over the country. Tunaamini tukiacha kulima nchi itatikisika, hatujawahi kumsikia Ali. Tunashangaa na kujiuliza, hyu Ali kalifanyia mini Taifa? Tuelekezeni basi kwa staha ninyi ma CEO, watu muhimu kuliko sisi wakulima tusiojua kitu. Nimefurahi kufahamu aikuwa tajiri mamba tano nchini
Hasira? hata nikipiga chafya wewe utaona hasira.

Na kwa nini ni muhimu aifanyie nchi chochote?

Nchi gani? Kuna nchi hapo?

Unaweza kujadiliana nami hoja kwa hoja?

Nimekuuliza hapo juu, kwa nini ni muhimu aifanyie chochote nchi, hujajibu.

Ni kwa sababu hujaelewa swali? Hujui kusoma? Umeruka tu swali kwa sababu huna jibu?

Hapo unaona mjadala au hasira? Maana mimi naweza kutumia style ya rapid fire Socratic questions, wewe usiyeijua ukaona hasira.

Nikabaki siwezi kujadiliana na watu wengine, ukiwabana kwa maswali magumu, wanasema mara chuki, mara hasira.

Wakati hamna wattage ya kuweza ku register kumpa mtu hasira.

Do not flatter yourself, you are not at that level.
 
Back
Top Bottom