Buriani Amina Chifupa!

Status
Not open for further replies.
na ndiyo maana wana JF wengi wanaomba kuwa matokeo ya uchunguzi wa mwili wa Marehemu Amina Chifupa yawekwe bayana ili tujue nini kilimkuta binti huyu, lakini cha kustaajabisha ni kuwa kuna watu wanataka tusahau ya kale na tuangalie yaliyo mbele yetu. Lakini ukweli una baki pale pale kuwa huyu binti malazi aliyokuwa nayo wengi wanayasikia mitaani tu, hakuna chombo wala taasisi iliyoweza kueleza bayana nini kinamsumbua.
Naendelea kumuombea Mheshimiwa Amina Chifupa apate pumziko la milele, Amina.
 
Jamani at the end of the day source ya kifo hiki ni dhambi ya uzinzi. Hao akina walimchukia kwa sababu ya uzinzi baada ya kuwatema (dhambi hiyo). Isingekuwa ni hii dhambi ya uzinzi mume wake asingempa talaka kwa hiyo asinge-collapse na leo tungekuwa naye. Jamani dhambi ya uzinzi mbaya sana. Mungu amrehemu huyu binti, na atuepushe na dhambi ya uzinzi!

Binti Maria, ingekuwa kule kwetu mwanakwerekwe tungesema umepata kibwengo!!!! acha hizo, si ubinadamu, hekima wala busara ya kawaida kumuongelea marehemu kwa lugha fedhuli hiyo!! kumbuka UTU BUSARA, UJINGA HASARA!!
 
Angalia hiyo timeline: Mpakanjia akithibitisha kutengana naye Mei 6, mwaka huu. May 8 ndiyo siku ambayo Amina alikuwa aongee na waandishi wa habari, kumbe siku hiyo hiyo ndiyo akapata magonjwa hayo ya ajabu ajabu.
 
Je Raisi amevunja protokali?

sasa hivi nimetoka kusikiliza BBC idhaa ya kiswahili ambapo Raisi Kikwete alikuwa mgeni rasmi katika kuadhimisha miaka 50. Nilitegemea kuwa raisi kabla ya kuanza speech yake ambayo ni speech yake ya kwanza tokea kiongozi wa taifa Amina afariki, walau angeomba wasimame dakika 1 kumkumbuka lakini waaapi. Ameendelea na hotuba yake bila kugusia kwa wana afrika mashariki kuwa Tanzania tumepoteza mbunge? Naomba anaejua protokali aniweke sawa
 
si mjuzi sana wa protokali,ila kama binadamu mwingine alipaswa kufanya hilo. Ila naskia ametuma salaam za rambirambi na kumpamba marehemu kwa Spika
 
Huyu baa amina nimemsikia katika interview moja leo kasema binti yake alikuwa anasumbuliwa na malaria pamoja na kisukari ambacho haelewi amepata wapi kisukari hicho
 
Kichuguu,
mie nadhani tunazungumza lugha mmoja,there something fish on the whole issue.
 
Hi jamani madai kuhusu Nchimbi ni proved au ni tuhuma tu. kwa nini tunamuhukumu mapema. Tusubiri tupate proof. Hivi ikitokea ahusiki hamuoni ni makosa kwetu sisi wana JF kumtuhumu mtu kwa kutumia kigezo cha fununu?
 
he's a possible suspect or person of interest if u will !! kuna probable cause, reasonable doubt ! Nchimbi must be behind sumthing in this, pamoja na ex-hubby wake. kwa nini mpakanjiwa aseme ni mkewe wakati alimpa talaka hadharani ? kumbe still alikuwa anampenda eeh.
 
Nuru, tutapata vipi proof bila kuwa na uchunguzi huru? Unakubaliana na mapendekezo yangu ya kuwa na uchunguzi huru? Bw. Mpakanjia mwenyewe mara baada ya mke wake kufariki jana jina la kwanza alilotaja kwa majuto ni hilo hilo la "Nchimbi" akimaanisha kuwa isingekuwa huyo bwana asingemuacha mkewe hadharani hivyo na labda haya yote yangeweza kuepukika.
 


Kweli? Basi ni swala la muda tu, kila kitu kitawekwa hadharani.
 
We hear/believe what we want to hear/believe, if we hear otherwise we question the source and require scientific proof to make us believe; we require no scientific evidence but instinct to believe what we want to hear.

The family of the late Chifupa (R.I.P) has categorically mentioned the cause of the death of our beloved, but yet some of us would like to hear a political cause to believe. We are determined to either hear or create one in order to feed our prejudgments. In a process what the Chifupas hold about the cause of the death doesn't matter at all. Thus, the worst enemy of us is our own beliefs and most important, our prejudgements.
 
Naona sasa EN naye ajiuzulu umwenyekiti wa UCCM maana kila kijana akijitokeza kugombea nafasi kwenye hiyo jumuiya ni MAREHEMU au KICHAAAAAA... Nani wa kumwambia ATOKE???? Tumechoka sasa na huyu PhD Feki... JK kweli analiona hili au ndo mzee wake wa kamati ya ufundi????
 
Mgonjwa, unfortunately (or fortunately) scientific proof is independent of belief or hearing! What science can establish emperically and categorically does not depend on a hearsay or on what somebody has said. If for example Amina died of natural causes other than Malaria or Diabetes then science can show that conclusively and it'll validate what the family has said so far and any person with an open mind will accept that. However, if science were to establish that something other than natural cause was involved then, even if 100 family members were to swear on the Quran or Bible that it was mafua or malaria that killed her, haitabadilisha ukweli wa kisayansi.

It is for this reason then, we are calling the Tanzanian government to request immediate assistance from the New Scotland Yard to render their expertise in this issue and with that to allow NSY to conduct independent pathological and toxicological examinations of the deceased body so that any any claim of foul play or anything other than natural causes may be refuted. Would you agree that if the government were to allow such an investigation it'll send a clear message that there is nothing in the closes and there is nothing to hide? Would you join me and others to call for the government to ask the family to delay the burial so that such an investigaton would take place?
 

Kamati ya ufundi iliyotumika kumzidi kete SAS.
 
Please Mwanakijiji
Create another petition against the Government to establish an independent inquiry against this tragedy of our beloved Sister AC..... Full Support
 
jamani angalieni dini !! petition haiweze kupita simple as that. mimi pia napenda sana ipite lakini huo ndio ukweli.
 
Hei Kada
Tumpe facts Dr Slaa....aliwashe Bunge Dodoma kwamba wawakilishi wake wameomba uchunguzi wa Kina.......... Ila naye apewe ulinzi sasa
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…