Buriani Amina Chifupa!

Status
Not open for further replies.
Mwanakijiji, tafadhali usiliendeleze jambo hili; kubaliana na ufafanuzi wake tusonge mbele.

I am not sure about that naona kwa akili yake anajua kuwa WAGALA ni MASISTA ambao kwa tafsiri yake kakashifiwa

huyu bwana hana kusomnga mbele yeye anapenda ku creat something out of nothing na saa zingine anaudhi haswa lakini ndio tushakuwa naye humu ndani we mchukulie tuu hivyo
 
Nimesoma article mbili zinazoniashiria mimi kudhani kuwa Amina alikuwa anaumwa muda mrefu na alikuwa anajuwa kuwa atakufa hivi karibuni. Article ya kwanza ni habari iliyoandikwa kwenye Habari Leo ya Ijumaa tarehe 29 June, 2007. Kwenye habari hii aya ya 7 hadi ya 9 inasema hivi


Maneno niliyoweka rangi yanaonyesha kuwa Amina alianza kuumwa muda mrefu yaani mwezi wa nne akingali na bado hajapewa talaka na mumewe ambayo ilitokea siku ya May 6, 2007. Na katika kuumwa huko inanyesha Amina alijuwa kuwa hatapona na ndiyo maana akamkumbushia babu yake kuhusu kiwanja cha kuzikwa.


Article ya pili ni eulogy ya Amina iliyoandikwa na Mheshimiwa Zitto kwenye gazeti la Tanzania Daima la tarehe 28 Juni .Paragraph ya tatu kutoka mwisho kwenye eulogy hiyo inasema hivi:

Siku hiyo ya tarehe 6, Mei ndiyo Amina alipopewa ile talaka yake. Sentensi niliyopigia rangi (kama ni kweli yalikuwa maneno yake) inaonyesha kuwa alikuwa anajua kuwa sasa uhai wake unafikia ukingoni.


Je mnadhani kuwa wakati umefika kukubaliana na kauli ya kaka yake marehemu, yaani Sheikh Hussein Chifupa aliyosema hapa kwenye aya ya 10 mpaka 12 kuwa tusitafute mchawi wala kuilaumu CCM?
Najua kuwa inawezekana kabisa kwamba alikuwa anaongea mambo ya kufa na kuzikwa kwake in general terms bila kutegemea kuwa mauti yangemkuta haraka namna hiyo, n kwamba yawezekana kuna mkono wa mtu umemwangushia mauti in coincidence na maneno yake hayo.

Mungu ilaze pema peponi roho ya marehemu Amina.
 
 
JF Admin, Tafadhali mtendee haki marehemu Amina Chifupa...yametolewa MAPENDEKEZO kwamba ifunguliwe threads ya "Buriani Amina, Aminas legacy etc...Tuomboleze na tumuenzi. Kinachoendelea sasa ni threads zinazo msimanga Marehemu na mengine mengi.
Kwa hili admin naomba urekebishe. Wanaotaka kuendelea Kusimanga wape nafasi. NA SISI TUNAOTAKA KUMUENZI NA KUMUHESHIMU TUPE NAFASI.
This will also act as therapy to most of US who are REAL MOURNERS!
TAFADHALI ADMIN
 
The interviews...to the father and husband by ITV siku ya kuaga msiba were disgusting!Hivi wewe Steven Chuwa haujawahi kufiwa? Eti utamkumbukaje marehemu? marehemu alikufa na nini? Hayo ndio maswali ya kuuliza wafiwa??
Wewe ukifiwa na mkeo utamkumbukaje???????????????
Nini hasa ambacho ulikuwa hukijui???Mbona baba Mwenyekiti alipofiwa na mwanawe hamkuuliza upuuzi?
Please be journalists with a human face!!! Acheni ushabiki usiokuwa na maana.
 
Waungwana,

Wacha wengine tuendelee kuomboleza, muda ukifika tutachangia zaidi.
 
Nashukuru Mama Lao kwa ufafanuzi wako.

Wanaofanya hivyo mnawajua, mnaweza kuwakemea straight forward kwani kipindi cha kumrushia madongo/kumsimanga kilikuwa kile cha Kashfa ya Zitto vs Amina na walifanya kila waliloweza. Inasikitisha nyakati hizi za majonzi watu kuzigeuza nyakati za kufanya wafanyayo. Binafsi sipendezwi lakini nikiri kuwa si jukumu langu pekee kukemea watu wa aina hii. Aidha wale wanaofungua topic za Amina hivi au Amina vile wanakuwa wanakiuka utaratibu.

Hoja za kukandia ama vinginevyo thread mama ya Kashfa nzito Zitto vs Amina ipo kwa ajili ya kufanya vile na wale wenye kuomboleza nakuombeni changieni thru Just in: Amina Chifupa afariki

Vinginevyo Moderators wataonekana wabaya pale watakapoamua kufanya wanavyoona ni sawa. Ni suala la ubinadamu na kuzisoma nyakati.

Shukrani kwa wale walionielewa na pole kwa ambao kunielewa inaweza kuwa ni ngumu.

For JF Management
Invisible
 


....hizo threads ulizozitaja zinafaa na kutosha kuwasilisha simanzi au vijembe.

....zikifunguliwa nyingine itakuwa multiplication of threads,na hazita-serve the purpose inavyotakiwa.

....zaidi ya hivyo..ni mawazo tu...si unajua watu tumetofautiana!
 
Kwa hiyo wewe unaona ni sawa "kumsimanga"?Jamani tuwe na ubinadamu...Biinti wa watu alale salama. I am not happy na hivi vijembe. And waht are getting out of all this?????????????/
Admin thread zimechanganyika mno my request ni kupost zile
zinazomuenzi -kama yale mashairi, etc peke yake
Ikishindikana kabisa change heading ya Just in..to Buriani Amina.
 
Mama Lao,

Nitafanya kazi ya kuziunganisha zile zenye kumuenzi pamoja na zile zenye mlengo tofauti nitaziweka kwingineko. Naomba nikiri kuwa hii si kazi ndogo na inataka hekima katika kutambua dhamira za mwandishi na athari za kuhamisha kwake.

Naelewa kusudio lako ni zuri na binafsi (mimi kama mimi) naliunga mkono lakini ieleweke wazi litatugharimu muda mwingi mimi pamoja na wenzangu. Tupe muda kiasi utaona mambo yanaenda sawa.

Am out of this for now.
 

....mbona unanichokonoa maneno?miye sipendi wala sijawahi kumsimanga huyo binti...labda pale alipokosa hishima!

....halafu,yeye kama binadamu mwingine yeyote,alikuwa na mapungufu yake na mema na uwezo wake vilevile. infact,aliwazidi hata hao wanaomsema! upo hapo?

....sasa dada yangu,kupishana mawazo kidogo...nisikutie simanzi zaidi!pole na msiba...wenzio tushapoa! tulikuwa na joto hasa tuliposikia kakata roho.

asaalam aleykhum!
 



Jamani Kuweka Picha Hii Kwenye Gazeti La Uhuru Kama Kutoa Taarifa Ya Kipifo Cha Mpendwa Wetu Ni Sawa Au Wamekosea?
 
RIP Amina

Sote tunaelekea huko, wewe umetangulia; Mola ailaze roho yako mahala pema, Amen
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…