Buriani Amina Chifupa!

Buriani Amina Chifupa!

Status
Not open for further replies.
eeh mambo mpwito mpwito,mheshimiwa naibu waziri,wana dili wa madawa ya kulevya na sasa ni albadri,anyway tukubaliane tumzike dada yetu and then turusi katika mjadala
 
And so she died.
She was so young.
She was so charming.
She was so loved.

But they couldn’t let her live.
She was a threat to them.
She was a thorn in their midst.
She HAD to go.

She had a daring heart.
She had a great love for her country.
She had the guts to tell them off.
She had a strong will.

Oh, what a waste!
She made history,
She made them unconfortable,
She made them sweat.

She risked her life for the welfare of the nation.
She defied all the norms and stood up against cocaine.
She went on stone- faced and provided a list of the big fish involved.
She would not heed to any of their warnings and threats.

Oh, what courage!
She fought a lone and losing battle,
She stood up against a multitude of invisible enemies,
She made enemies even within her own family and friends.

She had her own personal frailties
She had her own humanly weaklings
Just like all other human beings
She was no exception to the rule

We will forever remember her,
We will forever miss her,
We will forever mourn her loss,
We will forever remember her short- lived, and yet rich political experience.

May the Almighty God rest her dear soul in peace,
Amen!
 
Acheni kusingizia dini, dini huwa haziui watu. Ingekuwa watu wanasomeana somo na kufa basi watu wengi sana wangelikufa hapo Tanzania.

Simfahamu huyo Mpakanjia lakini kila ninalosoma naona alikuwa anampenda mkewe na anajali familia yake yote.

Haya mengine wanataka kuondoa attention toka kwa wanasiasa au wauza madawa na kuipeleka kwa familia yake.

Kwa mafia yeyote timing ni kitu muhimu kwao, wamempata Amina wakati alikuwa down na wakati kuna visingizio vingine vingi ambavyo vinaweza kutumika kama chanzo cha kifo chake.

Familia itabidi waangalie sana, wasiingie kwenye mchezo mbaya wa kuficha uozo. I hope watakuwa na courage ya kusema ukweli wote hata kama ukweli huo utauma. Mtu hawezi kupagawa kwa AIDS wakati sasa kuna madawa chungu nzima ya kumfanya aishi miaka yote.
 
Wana JF tumeshtushwa sana na kifo cha Amina Chifupa kilichotokana na ugonjwa wa moyo na malaria (kwa Mujibu wa nukuu ya NIPASHE toka kwa mumewe). Kabla ya hapo wana JF wengi walielezea hofu zao kuhusu uwezekano wa Marehemu Amina kuzimishwa.

Ombi langu kwako Moderator ni kusihi kuwa ufunmgue thread mbili au tatu kuhusiana na yafuatayo ikiwezekana.

Moja, Maoni yote yaliyokwisha tolewa kabla na Wana JF kuhusu hofu zao juu ya maisha ya Amina yafunguliwe thread yake pekee na uchuche maoni yao na kuyaweka kwenye hiyo special thread. Nakumbuka Mwanakijiji alizungumzia hofu yake kuhusu maisha ya Amina na wengine wengi.

Mbili, ifunguliwe thread ya rambirambi ambayo Wana JF wanaopenda watoe rambirambi zao kuhusu maisha ya yaliyofupiswa ya Amina Chifupa. Ombi langu ni kuwa uuondoe upuuzi wowote na mzaha ambao wana JF wengine wanaweza kuandika kwenye thread hii ya rambirambi.

Najua itakugharimu sana lakini nakusihi ufanye ili Wana JF tumuenzi Mpendwa wetu Amina Chifupa.

Naomba kutoa hoja!
 
Amina umejitenga,kufaumetangulia.
Kama ua unafunga,baada ya kuchanua.
Nakuombea manani,upumzike salama.

R.I.P Binti mchapakazi.
 
RIP Amina Mpakanjia. Tutafakari yale mema aliyofanya, wapi ameachia na sisi tuendeleze.
 
naunga mkono hoja, ingawa nakiri kuwa haitokuwa kazi rahisi kuchuja yote.
Nimefungua thread yangu ya rambirambi kwa hishma ya marehemu nayo ishawekwa katika ile ingine japo nlijua kuwa ipo, ila yangu niliiona tofauti; sioni vibaya kama moderator kwa hekma yake kaona ziunganishwe
 
Mama Lao, selemani, binti Maria, mpo kazini nyie na kwa kuwa ni karibu na mwisho wa mwezi basi mmekuwa extra motivated.
Wana JF tuendelee na kuombeleza na kutafuta ukweli. Tukisema tusubiri mazishi ndiyo tuanze itakuwa kama yule spy wa Urusi, hamna anayemzungumzia sasa.
 
Naunga mkono hoja...na kama inawezekana pia ile hotuba yake ya madawa ya kulevya iwekwe...Nimeisoma tena leo kwa makini....itabaki daima!She was very clear....on drugs and the future of the nation.
Ni lazima tumuenzi dada huyu...napendekeza thread iitwe...BURIANI AMINA CHIFUPA...
Hata kama amekufa..
She is one of my sheroes!!!
Nenda salama Dada Amina you did your task.Mapambano yanaendelea...
 
Mungu ailaze pema roho ya Amina. Shujaa hafi bali huwa ni mwanzo wa nguvu mpya ya mapambano. Hakuna aliye msafi kama yupo msafi na awe wa kwanza kumpiga Mawe. Vinginevyo lile aliloanzisha kwa manufaa ya vijana wa kitanzania liendelezwe na wenye moyo
 
Mbona kila kitu kipo?

Fine, I will do as requested. Thanks and am out!
 
Labda familia ya marehemu watake ifanyike independent postmortmen examination ku clear air
 
.

Familia itabidi waangalie sana, wasiingie kwenye mchezo mbaya wa kuficha uozo. I hope watakuwa na courage ya kusema ukweli wote hata kama ukweli huo utauma. Mtu hawezi kupagawa kwa AIDS wakati sasa kuna madawa chungu nzima ya kumfanya aishi miaka yote.


This is a very important point mzee. Wanafamilia watatusaidia sana hapa. Lakini nimesoma kwenye Nipashe tayari familia kupitia kwa Bwana Mpakanjia wameshasema kwamba kifo cha Amina kimetokana na malaria kali na kisukari! So, ni kama vile mchezo umeisha. The rest is conspiracy. Who can dare to differ with the family members on death matters?
 
kwa kweli ametangulia mbele ya haki, Inauma sana kwa Binti mdogo kupoteza maisha kwa kupigania haki za Watanzania hasa Vijana. Tukumbuke kuwa amepoteza maisha katika siku ya KUPAMBANA NA DAWA ZA KULEVYA.

May Allah Rest her Soul in Eternal Peace, Amin.
 
Nashindwa kuamini hata baada ya masaa 12 toka tulipotangaziwa kuwa Amina hatuko naye tena...nasikia woga, woga wa ni kitu au namnagani hasa dunia hii ya tuishimo inaweza kuwa katili kiasi hiki. Hata kama Amina (Mungu ailaze roho yake mahala pema peponi) alikuwa na mapungufu kiasi gani - mbona yalikuwa ya kibinadamu tu??? HAKUSTAHILI KUFA JAMANI.

Lugalo ni Hospitali ya jeshi; hivi hata na hawa wanajeshi wanthubutu kuwa upande wa mijahiri na mibeduhi hii inayo maliza watu kwa uroho wa pesa? Pesa ni makaratasi jamani tukumbuke hukumu ya huko alikotangulia huyu dad yangu.

Lugalo jamani, tuelezeni ni daktari gani aliyekuwa naye kipindi choote? Wasidanganye ngoma, mbona watu wana ngoma na wanadunda miaka zaidi ya 15?

Amina dadangu nitakukumbuka daima.........!!
 
Goodbye Tanzania's Rose

you ever grow in our hearts.
You were the grace that placed itself
where lives were torn apart.
You called out to our country,
and you whispered to those in pain.
Now you belong to heaven,
and the stars spell out your name.
And it seems to me you lived your life
like a candle in the wind:
never fading with the sunset
when the rain set in.
And your footsteps will always fall here,
along Tanzania's greenest hills;
your candle's burned out long before
your legend ever will.
Loveliness we've lost;
these empty days without your smile.
This torch we'll always carry
for our nation's golden child.
And even though we try,
the truth brings us to tears;
all our words cannot express
the joy you brought us through the years.
Goodbye Tanzania's rose,
from a country lost without your soul,
who'll miss the wings of your compassion
more than you'll ever know.
 
Nashindwa kuamini hata baada ya masaa 12 toka tulipotangaziwa kuwa Amina hatuko naye tena...nasikia woga, woga wa ni kitu au namnagani hasa dunia hii ya tuishimo inaweza kuwa katili kiasi hiki. Hata kama Amina (Mungu ailaze roho yake mahala pema peponi) alikuwa na mapungufu kiasi gani - mbona yalikuwa ya kibinadamu tu??? HAKUSTAHILI KUFA JAMANI.
Ligalo ni Hospitali ya jeshi; hivi hata na hawa wanajeshi wanthubutu kuwa upande wa mijahiri na mibeduhi hii inayo maliza watu kwa uroho wa pesa? Pesa ni makaratasi jamani tukumbuke hukumu ya huko alikotangulia huyu dad yangu.
Lugalo jamani, tuelezeni ni daktari gani aliyekuwa naye kipindi choote? Wasidanganye ngoma, mbona watu wana ngoma na wanadunda miaka zaidi ya 15?
Amina dadangu nitakukumbuka daima.........!!


Hiyo taarifa ya daktari inayozungumzia ngoma umeipata wapi? Ama una-refer "madaktari wa JF"?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom