Hiyo tutakuja kujua baadae kama hakuna atakaye kuja kudai.. Maana isije kuwa kama Mozambique ambapo serikali zilizopita zilichukua mikopo mikubwa ya kificho Na sasa msala umeisanukia serikali ya sasa Na tayari mmoja ya watoto wa former President wa Mozambique sasa kimemuwakia
Sent using
Jamii Forums mobile app