eliakeem
JF-Expert Member
- May 29, 2009
- 17,214
- 15,853
- Thread starter
- #41
Hiyo tutakuja kujua baadae kama hakuna atakaye kuja kudai.. Maana isije kuwa kama Mozambique ambapo serikali zilizopita zilichukua mikopo mikubwa ya kificho Na sasa msala umeisanukia serikali ya sasa Na tayari mmoja ya watoto wa former President wa Mozambique sasa kimemuwakia
Sent using Jamii Forums mobile app
sidhani kama mikopo inachukuliwa kwa kificho, kwa maana pale tunapotumia fedha zetu tunajulishwa. Hata kama ni hatua fulani ya mradi ambao baadaye tunategemea tuukamilishe kwa mkopo. Pia kwa upande mwingine, miradi ambayo imepangwa kwa kutekelezwa kwa mikopo, misaada nk natajwa waziwazi.