Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Apumzike kwa amani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Apumzike kwa amaniTutakukumbuka milele milele yote, hakikanulikuwa mtu mwema na mwalimumwema.
Daima ulituonya, kutukanya na kutuasa.
JamiiForums watakukumbuka kwa ucheshi na vibweka vyako. Uliniasa nisi disclose ID yako na iendelee kubaki kificho.
Hi-Lo tumelitenda kwa nguvu ya Mungu atupaye Leo na kesho.
Lala kwa amani Ninja
View attachment 3107372
🤣🤣🤣 kumekuchaaaAlikuinya,kukuasa na kufanyaje,mtoto mdogo huyo alikuonyaje we babu
Alinionya nyoko, nyoko, nyoko
Alinionya nyoko, nyoko, nyoko
Duh...Wewe ndo bujibuji nyamaume!una id hii
Kwani mimi ni Mzee kiasi gani?Alikuinya,kukuasa na kufanyaje,mtotoKwa mdogo huyo alikuonyaje we babu
Kaenda Zion kuvuta pumziKwahiyo Sanga alikua mlaini?
Tutakukumbuka milele milele yote, hakikanulikuwa mtu mwema na mwalimumwema.
Daima ulituonya, kutukanya na kutuasa.
JamiiForums watakukumbuka kwa ucheshi na vibweka vyako. Uliniasa nisi disclose ID yako na iendelee kubaki kificho.
Hi-Lo tumelitenda kwa nguvu ya Mungu atupaye Leo na kesho.
Lala kwa amani Ninja
View attachment 3107372
Ni msiba wetu sote.. Kuna mdau alisema wewe ndio umetanguliaTutakukumbuka milele milele yote, hakikanulikuwa mtu mwema na mwalimumwema.
Daima ulituonya, kutukanya na kutuasa.
JamiiForums watakukumbuka kwa ucheshi na vibweka vyako. Uliniasa nisi disclose ID yako na iendelee kubaki kificho.
Hi-Lo tumelitenda kwa nguvu ya Mungu atupaye Leo na kesho.
Lala kwa amani Ninja
Huyu ndo gilly gru?So sad aisee,nitamis moment za uwepo wako Gil,hukuwa na baya
Vijana wadogo wanavuta tatizo ni nini?Tutakukumbuka milele milele yote, hakikanulikuwa mtu mwema na mwalimumwema.
Daima ulituonya, kutukanya na kutuasa.
JamiiForums watakukumbuka kwa ucheshi na vibweka vyako. Uliniasa nisi disclose ID yako na iendelee kubaki kificho.
Hi-Lo tumelitenda kwa nguvu ya Mungu atupaye Leo na kesho.
Lala kwa amani Ninja