Dini itakusaidia nini katika maisha ikiwa unabagua watuUjamaa...
Waislam wanajua kuwa serikali inajua.
Waislam tegemeo letu ni kuwaelimisha wananchi wote wajue tatizo linaloikabili nchi yetu.
Serikali ndiyo ya kuwapa Waislam majibu si yule ambae ananufaika na dhulma iliyopo.
Mradi wewe ushatufahamu sisi tumetosheka.
''Hawashauli,'' ''Kufikili,'' ''Ikwilili,'' ''busala...''
Ulikua sahihi eau ni muunganiko wa falme kama 5 sikosei Dubai ni nchi na mji aka City stateUpo sahihi, nimekuja kujua mwaka juzi..nikijua Dubai ni nchi, kumbe ni UAE...na Mji mkuu sio hata Dubai.
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Walienda kuiba nyama tuWavaakobazi sio wakuwachekea ukiwachekea utavuna mabua..wengi ni brainwashed sana na uwezo mdogo wa kufikiri kama huyu mzee mleta uzi.
Sasa mnaenda kuvunja mabucha ya nguruwe yanawahusu nini kama huli kitu kaa tulia..wanapenda sana chokochoko hawa viumbe.
Ni imani isiyopenda amani bali fujo na chuki ndio msingi wa hii imani.
#MaendeleoHayanaChama
Alikuwa mla nguruwe tuHuyo Hassan Chikusa kwanini alihatarisha kazi yake kisa Mabucha ya kitimoto?
Mpuuze huyo mzee..illusion za udini zinamchanganya akili.Hiyo Sheria ya kutokufungua mabucha ni Kwa Dar tu au Tanzania nzima? nauliza hivi kwasababu huku Arusha tuna kula kitimoto kuliko nyama yoyote na Kila mtaa ukienda utakuta mabucha Sasa inakuwaje Sheria iwe Kwa Dar peke yake
Wakupuuza huyo..anaweka chuki na ukristo hajui ukristo na kama maji usipo unywa utauoga.Huyu Mzee ni mdini sana na mwenye chuki na ukiristu
#25Huyu Mzee ni mdini sana na mwenye chuki na ukiristu
Ah wapi alimwingiza mwenzie mkengeafu ye akala konaJe na wewe ulishiriki katika hiyo Shura kwa Mtoro kama ulivyomuahidi Chikusa?
Nimesoma mada yako Mzee wangu...Mashallah ni nzuri Sana....na nimefurahishwa na harakati za Sheikh Kassimu na nimehuzunishwa na mapito aliyopitia pia...lakini alipambana kadri ya uwezo wake..Allah amstiri moja wake.Hui...
Nimewasilisha mada nzima Kenyatta University kuhusu sakata la kuvunjwa kwa mabucha ya nguruwe.
Mimi ukiniulliza kwa nini hili lilitokea nitakwambia kuwa serikali ililishughulikia vibaya tatizo hili.
Watendaji walikosa busara.
Binafsi nimeona viongozi wameshindwa kusimamia mamlaka Yao....ilikuwa ni ishu rahisi Sana na kutafuta ufumbuzi wake na ndio maana baada ya kuona wameboronga wakajificha ktk kivuli cha kuleta habar mpya kuwa hao wahuni walitaka kuiangusha serikali...upumbavu mtupuEinstein,
Namna yangu ya uandishi ni tofauti sana.
Huenda kwenye mambo yanayoeleza hali za nyakati.
Ningeandika vinginevyo taazia hii isingechemsha watu kama unavyoona.
Nimeeleza tukio la mabucha na msimamo wa serikali na vipi Waislam walivyosimama kuikabili serikali.
Nimewaleta BBC, wahariri wa magazeti na jinsi viongozi wa nchi kuanzia Rais, Waziri Mkuu, Waziri wa Mambo ya Ndani na Katibu wa CCM walivyolishughulia tatizo la mabucha.
Yako mengi.
Lakini nia yangu ni kukutaka wewe msomaji uhiangaishe akili yako na hivyo kuwapima hawa viongozi.
Viongozi walitupa lawama kwengine na kusema kuwa waliovunja mabucha nia yao ilikuwa kupindua serikali.
Je, huoni kuwa hapo yapo mengi ya kujifunza?
Kongole kwako mkuuNi hivi hakuna kitu muhimu kwa mwanadamu na Serikali kama kujua falsafa uliyoiamini na kuifata.
Kuna falsafa ya Mungu na Falsafa za Wanadamu.
Kazi moja kubwa ya falsafa za Wanadamu ni kugawa jamii ktk makundi makuu mawili.
1. Binadamu aliyekamilika.
2. Binadamu nusu.
Binadamu aliyekamilika wanafalsafa wanasema ndiye anaepaswa kuwa kiongozi.
Na binadamu nusu ni yule mtawaliwa.
Kwa uoni wangu hali ya waislam tokea Uhuru na sasa matokeo ya kukumbatia falsafa ya ujamaa na itikadi ya Usekyula bila kujua madhara yatayayowakuta.
Ninyi ni watawaliwa na ndio kwa maana mko mnakimbilia siti za nyuma ktk bus.
Ujamaa ni imani kama zilivyo imani nyengine. Ujamaa ni imani isiyoamini uwepo wa Mungu. Na Usekyula ni kujitenga serikali na dini.
Tunahitaji kuwa na Falsafa mpya ya nchi.
Falsafa na itikadi itakayounganisha imani ya uwepo wa Mungu na kuheshimu haki za kila mtu wakiwemo wenye imani za dini.
Na kwamba hakuna anayefaidika au kupungukiwa kwa sababu ya imani yake.
Ujamaa ni Kielezo tosha kuwa ni Vikwazo kwa waislam. Na Serikali ya Ujamaa ni kandamizi na ingawa kuna sheria ndogo za serikali za mitaa inayokataza bucha za nguruwe kuwa karibu na makazi ya watu kama ilivyo kwa baa na kumbi za starehe lkn Serikali za kijamaa hufanya Upendeleo kwa vikundi vya kidini mojawapo?!
2. Na hutunga Sheria na sera zinazozuia uhuru wa kidini kwa wengine!???!
3. Serikali za kijamaa zinawawekea mipaka ya kuafuamini kwa kidini?!?!
4. Na kunyanyasa kwa vikundi vya kidini.
Kuandika historia hii ni hatua moja. Lkn inapotokea wanachama wa CHADEMA wanaungana na vyama vya Kijamaa (CCM na ACT) ktk sakata hili in wazi waislam watahitaji chama kingine kitakachotunza utamaduni, mila na desturi za kila jamii. Ili pale mtz anapoamua kwenda kuishi ktk jamii yenye utamaduni, na mila tofauti na za kwake. Aziheshimu.
Hili ndilo tatizo lililopo kwa tz kwa sasa.
Pale jamii za wachungaji wanapokuja kwa Waswahili na kuwatawala na kutaka kuwalazimisha tamaduni za watu wa mufindi na arusha na mbeya kulala na nguruwe ktk zizi moja wanadhani watu wenye ustaarabu na huo watavumilia.
Na suluhisho ya mambo haya ni tuje na chama kipya kitakachokuja na falsafa mpya. Falsafa ya serikali ya shirikisho.
Kila kanda iwe na serikali iliyo na mamlaka zaidi ya kujiamulia mambo yao wenyewe.
Ukienda arusha hutoshangaa kuona mabucha kila baada ya nyumba 10. Huo in utamaduni wao. Tusiwalazimishe kubadili. Kama vile mufindi nguruwe zinazurura kama mbuzi. Huo ni utamaduni wao.
Lakini wanapokuja ktk mini yenye ustaarabu tofauti wasitake kulazimisha.
Wanapaswa kukubaliana na utamaduni wao.
Manzese na Magomeni watu wanakula sana kitimoto. Sana tu. ..tuanze kutumia akili hivi vichwa si mapambo.Sheria ipo km huamini kaweke pale magomeni au manzese uone nini kitafuatia.
Komeo...Ni maeneo gani maalum kwa ajili ya kuishi Waislamu? Sheikh Rashid alizungumzia huu mkasa wa Kuvunja mabucha ya Nguruwe. Nlikuja kuona ulikuwa ni Umaamuma, ushetani na kutokuelimika. Mtoto alitumwa makusudi akanunue nyama ya nguruwe ili akija ionekane muislamu kisha kauziwa nyama ya nguruwe. But ukitumia tu common sense.
1. Nyama ya Nguruwe bei yake ipo juu.
2. Bucha za Nyama ya Nguruwe haziuzi ya ng'ombe wala mbuzi.
Sasa muuzaji kama alimuuzia mnunuaji nyama ya nguruwe je alijuaje kuwa ni muislamu na hatumii kitimoto?
Je huyo mnunuaji kama alienda moja kwa moja bucha ya nyama ya nguruwe akasema tu nataka nyama kilo 1 muuzaji alikuwa na kosa gani?
Lakini bila chembe ya unafiq hata chembe ni waislamu wangapi wanakula kwa siri kitimoto? Ule mkakati naufahamu sana na baadhi ya wahusika walikuja kukiri baadaye kuwa lengo lilikuwa ni kuzusha chokochoko. Wakirejea na Mkutano uliofanyika Abuja Nigeria miaka hiyo. Na maazimio yake. Na ufadhili ambao ulikuja tolewa na Muamar Ghadaf...
Haya mambo tupo ambao tunayafahamu na hatuuingi mkono sababu ni upuuzi mkubwa sana. Mwinyi alitoa tamko kubwa kipindi kile. Hilo hujaliweka ππππ sababu ni mwenzetu. Umeangalia matamko ya wakristo peke yake.π
Siku zinavyozidi kwenda hata sisi tunakuona umepoteza mwelekeo.tunashindwa kukutetea maana unataka nasi tuanze kuonekana mafala...no way.
Nimecheka sana usiku huu.. wewe una utani na Mzee wetu Mzee Mohamed SaidMzee ulikimbia aisee, haiwezekani uhudhurie shura pamoja na Hassan Halafu Hassani akamatwe we muda mchache usionekane eti umeitwa Nairobi, kumbuka kwenye stori ya kuna shehe mkuu alikamatiwaa njiani akitorokea Nairobi wakamrudisha Dar (ulidai alikuwa anaenda kwenye matibabu)
Einstein,Nimecheka sana usiku huu.. wewe una utani na Mzee wetu Mzee Mohamed Said
Mzee Mohamed SaidEinstein,
Hakuna aliyekimbia.
Kwangu mimi haya si mambo ya kufanya kejeli na maskhara.
Nimekujibu ili ufahamu kuwa nategemea adabu kutoka kwako.
Lakini ikiwa kama unadhani mimi ni mtu wa kuchezewa tafadhali fikiri mara mbili.
Vinginevyo nitasitisha mjadala na wewe.
Siko hapa kukejeliwe.
Mimi ni mtu na heshima yangu.
Lakini kukusaidia ungeweza kuniuliza ilikuwaje sikukamatwa na wengine wakakamatwa.
Hapa kuna stori nzuri ningependa kuieleza.
Tafadhali tambua mimi si muhuni.