Buriani Hassan Chikusa msomi mkimya

Mzee makala yako ni ndefu lakini haujatueleza "USOMI" wa Hassani Chikusa kwamba alikuwa na elimu gani ya juu? ya dini au secular, ila maelezo yako yameegemea kwenye harakari za waislamu kuvunja mabucha na kupambana na polisi.
Mimi nimesoma kutafuta sehemu aliyoelezea usomi wake kama mada inavyosema sikuelewa. Nikahamia kwenye comments za mabucha yaliyojengwa kuwafuata wateja wa kitimoto......
 
Mimi nimesoma kutafuta sehemu aliyoelezea usomi wake kama mada inavyosema sikuelewa. Nikahamia kwenye comments za mabucha yaliyojengwa kuwafuata wateja wa kitimoto......
Huyu mzee katupanga
 
Mjuni Lwambo na mimi niombee radhi kwa mzee wangu Mohamed Said humu kuna utani sometimes kwaio aniwie radhi kama nimemkosea
 
Mimi nimesoma kutafuta sehemu aliyoelezea usomi wake kama mada inavyosema sikuelewa. Nikahamia kwenye comments za mabucha yaliyojengwa kuwafuata wateja wa kitimoto......
Inaonekana alikuwa msoni wa dini maana hata masters hajaeleza kama alikuwa nayo
 

Na wewe andika makala zako za uanachama wako wa Cham cha wapiga punyeto, kila mtu na kitengo chake.
 
Ni wazi agenda kuu ya vurugu za kiislamu ni kuitaka SERIKALI IWE YA KIISLAMU (KUIPINDUA). Viongozi wote walikuwa sahh kwa nafasi zao.. Ila mjifunze kutafuta vitu logical vya kuanzia vurugu zenu... sio ivyo vya kitoto mnavyosimamia.

Mliosoma tumieni usomi wenu kuwaeleza wenzenu namna ya kujenga hoja zenye nguvu. Ili lengo lenu litimie
 
Tafakari madhara yanayoweza kutokea kwa udini wako hacha haya hakuna anayependezwa
 
Mujuni,
Mimi ndiye wa kukutaka radhi wewe.

Nilikuja kujua kuwa ni Einstein si wewe na nikasahihisha kwa kumwandikia yeye.

Soma post utaona nimeandika Mujuni.

Samahani sana kaka yangu.
Tuko sote.

Hapa siwezi kuwa na mjukuu ni umri wa wanangu.

Wajukuu zangu hakuna aliyevuka miaka saba.

Mimi nina miaka 70.
 
Tafakari madhara yanayoweza kutokea kwa udini wako hacha haya hakuna anayependezwa
Bora...
Hapa swali la udini halipo kwangu pana tatizo la dhulma.

Naona umekasirika unaandika "udini wako," lugha ya ghadhabu.

Lipo tatizo la baadhi ya watu walio madarakani kutumia imani zao kuwabagua wengine.

Hakakia hili kwetu halipendezi ndiyo unaona hapa naandika nikitumia jina langu halisi na picha zangu zipo hapa.

Hulijui tatizo hili kwa hiyo ungetafuta ukweli kwanza kabla ya kuandika.

Mimi nina ushahidi.

Ukiwa unapenda naweza nikakuwekea hapa.
 
Sky...
Soma post #280.
Lina jibu la baadhi haya uliyoeleza hapa.

Waislam hatuna ujinga wa kuwa tufanye vurugu kupindua serikali iwe ya Kiislam.

Kwanza tufanye hayo kwa mafunzo yapi?

Uislam haufunzi hivyo.

Pili Waislam ndiyo walikuwa mstari wa mbele katika kupigania uhuru wa Tanganyika.

Soma kitabu cha Abdul Sykes (1998).

Unazungumza usomi.

Prof. Hamza Njozi kaandika kitabu "Mwembechai Killings..." (2002) serikali imekipigq marufuku kwa kuhofia ukweli kufahamika.

Soma rejea nilizotaja hapa zitakusaidia kulielewa tatizo.
 
Zilongwa Mbali ,Zitendwa Mbali.
 
Unanishangaza sana kusema "Mjini Dar es salaam kulikuwa na mabucha 29 ya kuuza nguruwe kwenye sehemu wanazoishi waislamu na hii ilikuwa kinyume na sheria"
Naomba unijibu maswali yafuatayo
1) Sheria namba ngapi ya nchi hii inakataza watu kuuza nguruwe katika maeneo wanayoishi waislamu?
2) Ilitungwa na bunge gani, mwaka gani na ilisainiwa na Rais gani ili iwe sheria?
3) Tanzania Kuna "maeneo ya waislamu na maeneo ya wakristu?
4) Baada ya vurugu zote hizo waislamu walishinda nini? Mabucha yaliindoka? Kuuza nguruwe Tanzania kulipigwa marufuku? Au ulaji wa nguruwe ulikatazwa?
5) Huyo jamaa alipata faida gani baada ya kufukuzwa kazi NBC na akarudi mtaani akaanza kukaa kwenye vibaraza?

Kitu ambacho ninasikitika kuhusu wewe ni kuwa mbaguzi, sijawahi kuona unaleta mada ya kumsifia mkristo hapa. You are living at the past. Mbaya zaidi, siku hizi waislamu ndo wanaongoza kula nguruwe. Mimi nawafahamu waislamu zaidi ya 50 wanakula nguruwe hasa. Fanya utafiti, kwanini mwezi wa ramadhan mauzo ya nguruwe yanashuka? Jibu unalo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…