HAKUNAMATATA
JF-Expert Member
- Jun 29, 2017
- 996
- 2,267
R.I.H
Rest In Hell
Rest In Hell
Wale huandika RIP huwa hakuna neno lingine kama marehemu yuko upande wa pili?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wale huandika RIP huwa hakuna neno lingine kama marehemu yuko upande wa pili?
Wale huandika RIP huwa hakuna neno lingine kama marehemu yuko upande wa pili?
Kama anaye-deal na bodaboda anaitwa jambazi, na wale ambao kuna siku walituvamia benki wakiwa na AK47 pamoja na mabomu ya kurusha kwa mkono tuwaitaje?!
Huyo ni mwizi tu anayetumia silaha dhidi ya raia wasio na silaha... pumbavu zake!
[emoji44][emoji44][emoji44][emoji44][emoji44]
Nlikutana naye siku moja
Nlikuwa natoka big John alafu nlikuwa mitungi
Kuna jamaa akanionesha Ukisikia kambale ndy hyo
Ova
ulivotaja hilo jina nimekumbuka moja kwa moja ...documentary ya vita vya kageraMimi nimekuja haraka haraka nikadhani ni Brigedia Jenerali Chacha Marwa "Kambale"
Wale huandika RIP huwa hakuna neno lingine kama marehemu yuko upande wa pili?
Mkuu Mimi nakuelewa saana na harakati za mjiniNlikutana naye siku moja
Nlikuwa natoka big John alafu nlikuwa mitungi
Kuna jamaa akanionesha Ukisikia kambale ndy hyo
Ova
Huyu kambale amenikumbusha Jambazi moja sugu alikuwa anaitwa Ramadan ngonji!Mkuu Mimi nakuelewa saana na harakati za mjini