Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Peter Richard Mwendamseke alikuwa kijana mjasiriamali, akijikita zaidi kwenye mifumo wa mawasiliano.
Pia Peter Richard Mwendamseke alikuwa ni mdau mkubwa wa burudani na michezo.
Hakika wana Mbeya wamempoteza kijana wao mahiri.
Mungu ailaze Roho ya marehemu mahala pema. Amina