Prof Griff
JF-Expert Member
- Aug 29, 2008
- 6,772
- 5,258
Karma had it's way with him. He died as a disgraced and broken man.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndjabu...Karma had his way with him. He died as a disgraced and broken man.
Malipo ni hapahapa duniani Mzee MS. Sidhani alitegemea kupata umauti wake katika mazingira ya kuwa chini ya ulinzi au rumandeNdjabu...
Shamte kastirika hadi umauti wake hakuna hata sekunde moja alinyongeka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Siyo uncle wangu mzee wangu ni uncle na huyo member anaitwa Elli mimi naye nilimsoma kwenye uzi wa taarifa ya kifo cha Shamte ila uzi wenyewe ni huu3 Angels,
Pole sana ndugu yangu.
Nimesoma na nimeelewa uliyoandika.
Naomba uniwekee link nisome mjadala wote.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu siyo uncle wangu kwa hiyo sifahamu chochote ni uncle wa member mwenzetu ElliPole sana ndugu lakini huyu mjomba wako hii haki miliki alisajiri...kama alisajiri huo ndio ushahidi wa haki yake vinginevyo ni ngumu kuamini!
Ndjabu...Malipo ni hapahapa duniani Mzee MS. Sidhani alitegemea kupata umauti wake katika mazingira ya kuwa chini ya ulinzi au rumande
Pole sana Mohamed Said, sipati picha maumivu wanayopitia familia , ndugu, na jamaa wa Shamte, ukizingatia bado ndugu zao wengine wako jela, Mungu awasimamie , awajaze nguvu kwa kipindi hiki kigumu.
Nimefanya kazi kwenye kampuni ya Katani Ltd na huyu bwana Gidion Seng'enge nimetumia kitabu chake Cha Maelezo Muhimu kwa Mkulima mdogo wa mkonge kufundisha wakulima. Jina hilo halijanitoka. Kuhusu kudhurumiwa kwakweli sifahamu chochote. Kwa ujumla Shamte ni binadamu anayo mapungufu kama binadamu wengine. Tumsamehe na tumuombee, amefanya mengi mazuri, aliwasaidia wakulima wa Hale, Mwelya, mgombezi, magoma, na Magunga kuwa kipato cha kudumu kupitia mkonge. Nina hakika serikali isingefanya alivyofanya Shamte, zaidi wangemuuzia mwekezaji mmoja na wananchi wasingeambulia chochote
Rodrick...Kuna watu wengi wanafanya dhuruma Ila wanajificha kwa mgongo wa dini hapa simuhusishi marehemu Shamte maana sijui undani wake nitakuwa naongelea majungu Ila Kuna mmoja alikuwa jaji na anasema me. Nyerere hakumpa ujaji sababu ya dini yake ni wakili maarufu na mtu wa dini lakini undani wake sio Kama unavyojulikana na wengi Ila siku akifariki utasikia sifa nyingi alikuwa mwema mtu wa dini kumbe uongo mtupu
Aiseee!!Hiyo habari ya mazao yatokanayo na mkonge mfano huo umeme kuna mdau alisema ilikuwa kazi ya uncle wake na alidhulumiwa na huyu jamaa.
Nimesoma hii mada na nimeonganisha dots za kurudishwa kwa mali za mkonge hapo tanga.Mkuu Shamte si yule waliomtumhu kwa uhujumu uchumi? Jamaa ni bright kwa kweli nilimuona ITV Dakika 45 alizungumzia korosho nikasema huyu baba sijui kama hawajampa kesi na kweli wakampatia jamani, maana alisema ukweli mchungu.
fafanua kdgo mkuuNimesoma hii mada na nimeonganisha dots za kurudishwa kwa mali za mkonge hapo tanga.
Marehemu Wakili Mussa kwikwima alikudhulumu nini mwanaspoti Rodrick? Nimeona mahala kwingine ukimnangaKuna watu wengi wanafanya dhuruma Ila wanajificha kwa mgongo wa dini hapa simuhusishi marehemu Shamte maana sijui undani wake nitakuwa naongelea majungu Ila Kuna mmoja alikuwa jaji na anasema me. Nyerere hakumpa ujaji sababu ya dini yake ni wakili maarufu na mtu wa dini lakini undani wake sio Kama unavyojulikana na wengi Ila siku akifariki utasikia sifa nyingi alikuwa mwema mtu wa dini kumbe uongo mtupu