Buriani Rashid Mbuguni, Mzalendo aliyedhulumiwa kiwanda amekufa hajaona haki

Magufuli alikuwa ni "Mnyama"Kama wanyama wengine ndani ya Barala Afrika ....
Magufuli alikuwa ni shetani kwenye mwili wa mwanadamu.
Nimeshasema magufuli alikuwa shetani mwenye jicho moja na pembe kichwani. Matendo yake maovu ndiyo yanaakisi ushetani wake.

Hakuna Mtanzania mwingine including w UHURU JR ambaye anaweza kuua wananchi wenzie kama panya buku
 
Unawezaje raia kujibinafsisha mali ya umma?

Mamlaka ziko wapi mpaka ujichukulie AIRTEL? Au DTV
 
Wewe sasa jkipaji ndiyo uulete huo upande wa pili. Who alleges must prove
 

Sasa si bora huyo fisadi anayetoa visent kwa walala hoi... hao ambao si mafisadi wamewafanyia nini walala hoi?
Tufanye mfano pm Majliwa si fisadi, hadi sasa kawafanyia nini walala hoi??
 
If such are the priests, God bless the congregation.
 
Kingine nimesikia Akiba Cormecial kuna mmalawi kainunua...sijui hii ikoje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…