BURIANI Sultan Jamshid BIN Abdulla BIN Khalifa (1926 - 2024)

Najalibu kuwaza,what is so special about this Arab/Muslim reader? Yani mgeni aliyekuja aka watawala, mkawa vijakazi wake, Leo hii mnaonesha mahaba kwake! Kwamba mnaona ni Bora aje awatawale tena!!?
Kuna miundombinu Ali Jenga? Elimu, afya,uchumi, nk, au ndio Stockholm Syndrome, you fall in love with ur oppressors, kuna wa Swahili weusi waliperekwa utumwani Arabia, wakaishia kuminywa makende ili wasizaliane! Ili haliwapi tsbu kisa tu, ya uislam/uarab?
Mkrsito yoyote,anaona myahudi kama super race, taifa la Mungu, hata liuwe vipi watoto na wana wake wa Gaza, kwa mkrsito ni sawa tu, wayahudi hawa hawa, kipindi cha apartheid SA, waliwatumia watu weusi kwenye majaribio ya dawa za sumu!
Watu weusi mna shida gani vichwani?
Kwanini dini zinawafanya mnakuwa mazombi,?
 
Vile ukute hata waingereza waliotutawala walikuwa watu poa tuu,
 
Hapo cjaelewa kuhusu Mohamed shamte na Huyo Sultan
 
Juan...
Stockholm Syndrome na utawala wa Sultani Zanzibar havioani.

Wala Sultani hakuwatesa raia wake.

Isome historia ya Zanzibar kabla na baada ya mapinduzi.
 
Hapo cjaelewa kuhusu Mohamed shamte na Huyo Sultan

Serikali iliyopinduliwa si ya Sultani , ni serikali iliyochaguliwa kihalali chini ya Tume huru ya uchaguzi , na wala haikupinduliwa ilivamiwa na Nyerere. Ni kama leo hii useme serikali ya King charles imepinduliwa uingereza wakati serikali ya uingereza haiongozwi na King Charles , inaongozwa na Stammer na ni ya chama cha Labour.
 
Hujajibu swali vizuri, nimeuliza kuhusu Sultan na Na huyo waziri mkuu , mapinduzi yalifanyka kwa Sultan au Waziri mkuu?
 
Kwan wamakonde nao si waislam? Hata hao wazee ambao mliwahoji kwenye icho kitabu wote ni waislamu... Naona unajaribu sana kuficha ukwel uo kwa kusema eti wamakonde, Sema wamakonde waislamu... Ingawa hii nayo si kwel

Ukisikiliza mahojiano na Shekhee Mahsin atasikia anasema kwa mdomo wake siku ya Mapinduzi watu walivamia ghala la silaha wakiwa na mikuki.... yaan Tanganyika tupange Mapinduzi kisha tuwape watu mikuki??? Punguza chuki na udini wee mzee.
 
Proved,
Uongozi wa ASP ulishirikiana serikali ya Tanganyika kufanikisha Mapinduzi.

Halikadhalika Makomredi yaani Umma Party walitoa michango wao kuonyesha njia pale walipoingia kati kukomesha mauaji.
Proved? How...!
Kwamba Nyerere aliwapa watu mikuki na mishale wakapindue?
 
Hujajibu swali vizuri, nimeuliza kuhusu Sultan na Na huyo waziri mkuu , mapinduzi yalifanyka kwa Sultan au Waziri mkuu?
Aliyepinduliwa ni waziri Mkuu kwani alikamatwa yeye na mawaziri wake na kufungwa Tanganyika kwa Nyerere kwa miaka zaidi ya kumi.

Sultani alipokelewa na Nyerere kwa zulia jekundu na Muingereza kuleta ndege ya kumchukuwa mpaka Uingereza.

Baadhi ya Waliofungwa baada nchi kuvamiwa na Nyerere ni hawa. Walifungwa bila kufikishwa mahakamani


MAHABUSU WA KISIASA WA MWALIMU NYERERE

Maalim Harun Ustadh
Maalim Mohammed Mattar
Seyyid Hassan Sheikh
Seyyid Mohammed Adnan
Mzee Mohammed Mbaba
Ahmed-Rashad Ali
Hashim Haji Abdalla
Seyyid Hashim Abdalla Baharun
Abdul-Latif Binbrek
Mohammed Shioni
Seyyid Mohammed Mattar
Mohammed Ali Abbas
Ali Abdalla (Admeri)
Ali Jaffer
Ali Khalifa Miskiry
Ali Manara (Mtu wa Tanganyika)
Aman Thani Fairooz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…