BURIANI Sultan Jamshid BIN Abdulla BIN Khalifa (1926 - 2024)

BURIANI Sultan Jamshid BIN Abdulla BIN Khalifa (1926 - 2024)

Najalibu kuwaza,what is so special about this Arab/Muslim reader? Yani mgeni aliyekuja aka watawala, mkawa vijakazi wake, Leo hii mnaonesha mahaba kwake! Kwamba mnaona ni Bora aje awatawale tena!!?
Kuna miundombinu Ali Jenga? Elimu, afya,uchumi, nk, au ndio Stockholm Syndrome, you fall in love with ur oppressors, kuna wa Swahili weusi waliperekwa utumwani Arabia, wakaishia kuminywa makende ili wasizaliane! Ili haliwapi tsbu kisa tu, ya uislam/uarab?
Mkrsito yoyote,anaona myahudi kama super race, taifa la Mungu, hata liuwe vipi watoto na wana wake wa Gaza, kwa mkrsito ni sawa tu, wayahudi hawa hawa, kipindi cha apartheid SA, waliwatumia watu weusi kwenye majaribio ya dawa za sumu!
Watu weusi mna shida gani vichwani?
Kwanini dini zinawafanya mnakuwa mazombi,?
Niliwahi kwenda Zanzibar, nilitembelea jumba moja hivi liko pembeni ya mji nikaambiwa ilikuwa nyumba ya mke wa Sultan. Kulikuwa na choo kiko ghorofani, kile choo hakina kishomo ila kwa kwa chini kuna makalai ambayo alikuwa anapewa mtumwa mweusi. Kazi ya huyo mtumwa mweusi ilikuwa kudaka haja kubwa ya malkia kwa kutumia yale mabeseni!! Alikuwa haruhusiwi kuangalia juu, akijisahau akaangalia juu anauliwa!!

Leo hii watu weusi waliofanyiwa ushetani huo na waarabu wamesahau! Wanawaabudu watu walewale kizazi kilekile na kuwaita watu wema!! Laana gani hii!!
 
Niliwahi kwenda Zanzibar, nilitembelea jumba moja hivi liko pembeni ya mji nikaambiwa ilikuwa nyumba ya mke wa Sultan. Kulikuwa na choo kiko ghorofani, kile choo hakina kishomo ila kwa kwa chini kuna makalai ambayo alikuwa anapewa mtumwa mweusi. Kazi ya huyo mtumwa mweusi ilikuwa kudaka haja kubwa ya malkia kwa kutumia yale mabeseni!! Alikuwa haruhusiwi kuangalia juu, akijisahau akaangalia juu anauliwa!!

Leo hii watu weusi waliofanyiwa ushetani huo na waarabu wamesahau! Wanawaabudu watu walewale kizazi kilekile na kuwaita watu wema!! Laana gani hii!!

Hadithi hizo mnapewa na yule Nabii wenu Tito ?? Sultani hakumpiga risasi Lissu wala kumpoteza Bin Saanane wala kutupa watu Coco beach wala wakati wa uchaguzi hakukodi majeshi Burundi kuja kuiba kura na kuuwa watu
 
Hii mbona ni hoja ya kijinga,nyerere alinusurika kupinduliwa,kwame nkurumah alipinduliwa

Nyerere hakunusurika kupinduliwa , ni kuwa alishapinduliwa , Waliokuja kumsaidia kumrudisha madarakani ni jeshi la Uingereza lililokuweko Kenya.

Ili kulipa ihsani , akawa ni kibaraka wao chini kwa chini mpaka kaenda kufia kwao
 
Much...
Mipango ya mapinduzi ilifanyika Tanganyika na Zanzibar.

Tanganyika sehemu inayoitwa Kipumbwi, Tanga iliwekwa kambi ya Wamakonde kutoka Shamba la Mkonge la Sakura kuwafunza mbinu za kupigana.

Hawa Wamakonde walivushwa kuingia Zanzibar kushiriki uchaguzi na mwaka wa 1964 walishiriki kama askari mamluki kupindua serikali ya Sheikh Mohamed Shamte.
Mzee wetu hao nguruwe aliokua anawinda Sultani alikua anawafanya nini mana hapo kwenye kuwinda nguruwe tu ndo pamenikosha😂
 
Miaka 18 iliyopita niliwahi kuandika hivi

 
Halafu akakimbilia kuishi uingereza kwa waliohusika kumwondoa?
Can you imagine rais Saddam (RIP) angekimbilia kuishi Marekani?
Mpango ulikuwa ni kukaa naye kama mkumbizi tu ,asiweze kuclaim haki ya kufalme.
 
propag
Najalibu kuwaza,what is so special about this Arab/Muslim reader? Yani mgeni aliyekuja aka watawala, mkawa vijakazi wake, Leo hii mnaonesha mahaba kwake! Kwamba mnaona ni Bora aje awatawale tena!!?
Kuna miundombinu Ali Jenga? Elimu, afya,uchumi, nk, au ndio Stockholm Syndrome, you fall in love with ur oppressors, kuna wa Swahili weusi waliperekwa utumwani Arabia, wakaishia kuminywa makende ili wasizaliane! Ili haliwapi tsbu kisa tu, ya uislam/uarab?
Mkrsito yoyote,anaona myahudi kama super race, taifa la Mungu, hata liuwe vipi watoto na wana wake wa Gaza, kwa mkrsito ni sawa tu, wayahudi hawa hawa, kipindi cha apartheid SA, waliwatumia watu weusi kwenye majaribio ya dawa za sumu!
Watu weusi mna shida gani vichwani?
Kwanini dini zinawafanya mnakuwa mazombi,?
propaanda tu hizo.Mwaka 1964 kulikuwa na utumwa Zanzibar? Jamshid usultan wake haukufika hata mwaka mmoja.
 
"
Katika kitabu hiki kuna makala ya Jamshid akiwa na watu wapatao 500 wananchi wa kawaida wanaingia porini kuwinda nguruwe.

Sultan Jamshid anaingia porini kwenye msitu mzito bila ulinzi wowote kuwinda pamoja na wawindaji wenzake wamemzunguka wamebeba mikuki."
 
Vitabu vyako vjnaingozwa na Heresay
Hakuna historia yeyote uliyoandika haijusiani na Heresay
Ndio maana kuna makosa mengi san kwenye vitabu vyako

Hapa umeandika kama ulizaliwa tumbo moja na sultani, huku hata mwaka wake wa kuzaliwa huujui, umechapia mara 3.

Unaonyesha wewe ni mtumwa wa akili, kuzaliwa katika utumwa na umezeeka katika utumwa wa akili

Je, tueleze utawala wa Sultan ulileta maemdeleo gani kwa mzanzibar, mpaka uone mapinduzi matakatifu ulikuwa mauaji ya kikatili kwa waarabu?

One biggest truth vitabu vyako vitapotea katika historia. Mark my word.

Wazungu na waarabu walitugeuza tlow rate citizen kwenye nchi zetu, huu ukweli mchungu.

Wajinga nao wanazeeka. Pole kwa kuzeeka na ujinga wako. .
 
"
Katika kitabu hiki kuna makala ya Jamshid akiwa na watu wapatao 500 wananchi wa kawaida wanaingia porini kuwinda nguruwe.

Sultan Jamshid anaingia porini kwenye msitu mzito bila ulinzi wowote kuwinda pamoja na wawindaji wenzake wamemzunguka wamebeba mikuki."
Hata kama nguruwe ni Haram kwa kula, waliumbwa na Allah. Waliletwa duniani kwa maana, hata kama hawatakiw kuliwa na binadamu unajuaje kama waliletwa kwa ajili ya survival ya wanyama wengine mwituni

Ukiua nguruwe hao wanayama wengine watakula nini? Unaharibu food chain mwituni

Hawajawahi kuwa na akili hawa wajinga
 
Hata kama nguruwe ni Haram kwa kula, waliumbwa na Allah. Waliletwa duniani kwa maana, hata kama hawatakiw kuliwa na binadamu unajuaje kama waliletwa kwa ajili ya survival ya wanyama wengine mwituni

Ukiua nguruwe hao wanayama wengine watakula nini? Unaharibu food chain mwituni

Hawajawahi kuwa na akili hawa wajinga
Pigs can also be usefully 👇🏿👇🏿👇🏿👇🏿👇🏿
 
Niliwahi kwenda Zanzibar, nilitembelea jumba moja hivi liko pembeni ya mji nikaambiwa ilikuwa nyumba ya mke wa Sultan. Kulikuwa na choo kiko ghorofani, kile choo hakina kishomo ila kwa kwa chini kuna makalai ambayo alikuwa anapewa mtumwa mweusi. Kazi ya huyo mtumwa mweusi ilikuwa kudaka haja kubwa ya malkia kwa kutumia yale mabeseni!! Alikuwa haruhusiwi kuangalia juu, akijisahau akaangalia juu anauliwa!!

Leo hii watu weusi waliofanyiwa ushetani huo na waarabu wamesahau! Wanawaabudu watu walewale kizazi kilekile na kuwaita watu wema!! Laana gani hii!!

MKuu ULilishwa MATANGO PORI
 
Back
Top Bottom