gallow bird
JF-Expert Member
- Aug 10, 2024
- 3,915
- 6,272
Karume mtu wa malawi,alihamia zanzibar akiambata na baba wa kambo karume wa congo belgium (drc)Wazawa kwani karume sio mzawa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Karume mtu wa malawi,alihamia zanzibar akiambata na baba wa kambo karume wa congo belgium (drc)Wazawa kwani karume sio mzawa?
Una kichwa kizito,au roho mtakatifu hajakutokea!?Hujajibu swali vizuri, nimeuliza kuhusu Sultan na Na huyo waziri mkuu , mapinduzi yalifanyka kwa Sultan au Waziri mkuu?
Chizi wewe majini yanakusumbuaUna kichwa kizito,au roho mtakatifu hajakutokea!?
Jinga kabisa hilo jituDuu! Kwahiyo upo radhi ungetawaliwa na Sultan kutoka Oman kuliko kujitawala?
Niliwahi kwenda Zanzibar, nilitembelea jumba moja hivi liko pembeni ya mji nikaambiwa ilikuwa nyumba ya mke wa Sultan. Kulikuwa na choo kiko ghorofani, kile choo hakina kishomo ila kwa kwa chini kuna makalai ambayo alikuwa anapewa mtumwa mweusi. Kazi ya huyo mtumwa mweusi ilikuwa kudaka haja kubwa ya malkia kwa kutumia yale mabeseni!! Alikuwa haruhusiwi kuangalia juu, akijisahau akaangalia juu anauliwa!!Najalibu kuwaza,what is so special about this Arab/Muslim reader? Yani mgeni aliyekuja aka watawala, mkawa vijakazi wake, Leo hii mnaonesha mahaba kwake! Kwamba mnaona ni Bora aje awatawale tena!!?
Kuna miundombinu Ali Jenga? Elimu, afya,uchumi, nk, au ndio Stockholm Syndrome, you fall in love with ur oppressors, kuna wa Swahili weusi waliperekwa utumwani Arabia, wakaishia kuminywa makende ili wasizaliane! Ili haliwapi tsbu kisa tu, ya uislam/uarab?
Mkrsito yoyote,anaona myahudi kama super race, taifa la Mungu, hata liuwe vipi watoto na wana wake wa Gaza, kwa mkrsito ni sawa tu, wayahudi hawa hawa, kipindi cha apartheid SA, waliwatumia watu weusi kwenye majaribio ya dawa za sumu!
Watu weusi mna shida gani vichwani?
Kwanini dini zinawafanya mnakuwa mazombi,?
Niliwahi kwenda Zanzibar, nilitembelea jumba moja hivi liko pembeni ya mji nikaambiwa ilikuwa nyumba ya mke wa Sultan. Kulikuwa na choo kiko ghorofani, kile choo hakina kishomo ila kwa kwa chini kuna makalai ambayo alikuwa anapewa mtumwa mweusi. Kazi ya huyo mtumwa mweusi ilikuwa kudaka haja kubwa ya malkia kwa kutumia yale mabeseni!! Alikuwa haruhusiwi kuangalia juu, akijisahau akaangalia juu anauliwa!!
Leo hii watu weusi waliofanyiwa ushetani huo na waarabu wamesahau! Wanawaabudu watu walewale kizazi kilekile na kuwaita watu wema!! Laana gani hii!!
Hii mbona ni hoja ya kijinga,nyerere alinusurika kupinduliwa,kwame nkurumah alipinduliwa
Kwani nyerere na hao wote walikuwa watakatifu? wewe ndo mjinga kupindukiaHii mbona ni hoja ya kijinga,nyerere alinusurika kupinduliwa,kwame nkurumah alipinduliwa
Mzee wetu hao nguruwe aliokua anawinda Sultani alikua anawafanya nini mana hapo kwenye kuwinda nguruwe tu ndo pamenikosha😂Much...
Mipango ya mapinduzi ilifanyika Tanganyika na Zanzibar.
Tanganyika sehemu inayoitwa Kipumbwi, Tanga iliwekwa kambi ya Wamakonde kutoka Shamba la Mkonge la Sakura kuwafunza mbinu za kupigana.
Hawa Wamakonde walivushwa kuingia Zanzibar kushiriki uchaguzi na mwaka wa 1964 walishiriki kama askari mamluki kupindua serikali ya Sheikh Mohamed Shamte.
Mpango ulikuwa ni kukaa naye kama mkumbizi tu ,asiweze kuclaim haki ya kufalme.Halafu akakimbilia kuishi uingereza kwa waliohusika kumwondoa?
Can you imagine rais Saddam (RIP) angekimbilia kuishi Marekani?
propaanda tu hizo.Mwaka 1964 kulikuwa na utumwa Zanzibar? Jamshid usultan wake haukufika hata mwaka mmoja.Najalibu kuwaza,what is so special about this Arab/Muslim reader? Yani mgeni aliyekuja aka watawala, mkawa vijakazi wake, Leo hii mnaonesha mahaba kwake! Kwamba mnaona ni Bora aje awatawale tena!!?
Kuna miundombinu Ali Jenga? Elimu, afya,uchumi, nk, au ndio Stockholm Syndrome, you fall in love with ur oppressors, kuna wa Swahili weusi waliperekwa utumwani Arabia, wakaishia kuminywa makende ili wasizaliane! Ili haliwapi tsbu kisa tu, ya uislam/uarab?
Mkrsito yoyote,anaona myahudi kama super race, taifa la Mungu, hata liuwe vipi watoto na wana wake wa Gaza, kwa mkrsito ni sawa tu, wayahudi hawa hawa, kipindi cha apartheid SA, waliwatumia watu weusi kwenye majaribio ya dawa za sumu!
Watu weusi mna shida gani vichwani?
Kwanini dini zinawafanya mnakuwa mazombi,?
hata Tomas Sankara alipinduliwaHii mbona ni hoja ya kijinga,nyerere alinusurika kupinduliwa,kwame nkurumah alipinduliwa
Hata kama nguruwe ni Haram kwa kula, waliumbwa na Allah. Waliletwa duniani kwa maana, hata kama hawatakiw kuliwa na binadamu unajuaje kama waliletwa kwa ajili ya survival ya wanyama wengine mwituni"
Katika kitabu hiki kuna makala ya Jamshid akiwa na watu wapatao 500 wananchi wa kawaida wanaingia porini kuwinda nguruwe.
Sultan Jamshid anaingia porini kwenye msitu mzito bila ulinzi wowote kuwinda pamoja na wawindaji wenzake wamemzunguka wamebeba mikuki."
Pigs can also be usefully 👇🏿👇🏿👇🏿👇🏿👇🏿Hata kama nguruwe ni Haram kwa kula, waliumbwa na Allah. Waliletwa duniani kwa maana, hata kama hawatakiw kuliwa na binadamu unajuaje kama waliletwa kwa ajili ya survival ya wanyama wengine mwituni
Ukiua nguruwe hao wanayama wengine watakula nini? Unaharibu food chain mwituni
Hawajawahi kuwa na akili hawa wajinga
Niliwahi kwenda Zanzibar, nilitembelea jumba moja hivi liko pembeni ya mji nikaambiwa ilikuwa nyumba ya mke wa Sultan. Kulikuwa na choo kiko ghorofani, kile choo hakina kishomo ila kwa kwa chini kuna makalai ambayo alikuwa anapewa mtumwa mweusi. Kazi ya huyo mtumwa mweusi ilikuwa kudaka haja kubwa ya malkia kwa kutumia yale mabeseni!! Alikuwa haruhusiwi kuangalia juu, akijisahau akaangalia juu anauliwa!!
Leo hii watu weusi waliofanyiwa ushetani huo na waarabu wamesahau! Wanawaabudu watu walewale kizazi kilekile na kuwaita watu wema!! Laana gani hii!!