Mtu mwema hawezi fanyiwa mapinduzi wewe mzee hata mkijaribu lazima mfeliCity Owl,
Jitulize na soma taazia ya Sultan Jamshid.
Nazungumza kuhusu damu iliyomwagika Zanzibar.
Ama kuhusu historia ya uhuru wa Tanganyika...
Nisikilize hapo chini:
View: https://youtu.be/VFbn-fjnZE4
Mtaliban...ye ni nani kwangu mimi mtanzania
Kutokana na bandiko la Mohamed Said anatanabaisha kuwa utawala wa kisultan Zanzibar ulijaa haki, heri, amani na upendo kwa watu wote.
Sasa naomba kuuliza, kama huo utawala wa kisultan ulikuwa mzuri;
a) Vitabu na simulizi juu ya ukoloni wa Masultan ni vitu vya uongo?
b) Biashara ya utumwa iliyokuwa inafanyika chini ya utawala wa kisultan nayo tulidanganywa?
c) Uonevu, dhuluma na kila aina ya ukatili vilivyokuwa vinafanywa na utawala wa kisultan kumbe na hayo tulidanganywa?
d) Kama utawala wa kisultan Zanzibar ulikuwa wa haki na mwema, kipi kilipelekea watu kufanya mapinduzi?.
Mtu mwema hawezi fanyiwa mapinduzi wewe mzee hata mkijaribu lazima mfeliCity Owl,
Jitulize na soma taazia ya Sultan Jamshid.
Nazungumza kuhusu damu iliyomwagika Zanzibar.
Ama kuhusu historia ya uhuru wa Tanganyika...
Nisikilize hapo chini:
View: https://youtu.be/VFbn-fjnZE4
Mtu mweusi ni mtumwa tangu kuzaliwa kwake, hebu angalia hilo andiko utashangaa kuambiwa ni mtu mweusi huyo anayeshabikia utawala wa mwarabu mgeni aliyewatumikisha wenyeji weusi kama mbwa!Mtoa mada ni jibaba jeusi tii kama mkaa ila linashobokea waarab, yaani mada yake linamaanisha lipo tayari huyo sultan angeendelea kutawala tu, jinga kabisa.
Iyo ilikuwa siasa na propaganda ya waarabu wenyewe ili kuwa brainwash wazanzibar wabantu kuwa wao walitendewa mema ili wawaunge mkono wakitaka kurudi baada ya mapinduziHayo unayaamini wewe, kuna siku sikumbuki kama ni twitter au facebook ilipostiwa picha ya Zanzibar ya enzi hizo imeenea waarabu. Watanganyika wengi waliwashutumu kuwa waliuza watumwa Ila wazanzibari walipinga kuwa muarabu hakuhusika na utumwa wa Zanzibar zaidi ya historia kupindishwa na waingereza
Hapo niliona kuna tofauti kubwa sana kati ya watanganyika na wazanzibar kwa jinsi wanavyoutuzamia utawala wa waarabu visiwani humo.
Kwa hiyo mzee Mohammed anachokiandika si ajabu ndio mtazamo halisi wa wazanzibari wengi
Mapinduzi ya kipumbavu, na wanaoendeleza mapinduzi haya na kuyaita matukufu basi hawako sahihi, niwashauri tu wasome dini.Mtu mwema au ufalme utokanao na watu kamwe hauwezi pata upinzani au mapinduzi kutoka kwa watu wake.
Ukiona ufalme umepinduliwa jua ni ufalme aliojipa madaraka wenyewe,umeua na kuumiza,umeleta madhira kwa watu hadi watu wakauchoka na kuamua kuleta mapinduzi.
Huyo sultan ni moja kati ya watawala walio umiza sana wazanzibar kwa kuwafanya watumwa katika nchi yao,wakati huo yeye sio mzawa halisi wa visiwa hivyo bali ni uzao wa watesi kutokea omani.
Daima mapinduzi matukufu ya enziwe kutoa utawala haramu wa sultani.
Na wewe acha shobo kwa makafiri wa kizayuni na makafiri wa kizunguWazanzibari huwa muna shobo sana kwa waarabu, wapeni visiwa basi wawaoe kabisa.
Dah aisee inasikitisha sana mkuu, huyu mzee nilikuwa namuona wa maana kumbe ni mtu hopeless kabisa, kuna watu wapo radhi kutawaliwa mpaka leo.Mtu mweusi ni mtumwa tangu kuzaliwa kwake, hebu angalia hilo andiko utashangaa kuambiwa ni mtu mweusi huyo anayeshabikia utawala wa mwarabu mgeni aliyewatumikisha wenyeji weusi kama mbwa!
Iyo ilikuwa siasa na propaganda ya waarabu wenyewe ili kuwa brainwash wazanzibar wabantu kuwa wao walitendewa mema ili wawaunge mkono wakitaka kurudi baada ya mapinduzi
Kutokana na bandiko la Mohamed Said anatanabaisha kuwa utawala wa kisultan Zanzibar ulijaa haki, heri, amani na upendo kwa watu wote.
Sasa naomba kuuliza, kama huo utawala wa kisultan ulikuwa mzuri;
a) Vitabu na simulizi juu ya ukoloni wa Masultan ni vitu vya uongo?
b) Biashara ya utumwa iliyokuwa inafanyika chini ya utawala wa kisultan nayo tulidanganywa?
c) Uonevu, dhuluma na kila aina ya ukatili vilivyokuwa vinafanywa na utawala wa kisultan kumbe na hayo tulidanganywa?
d) Kama utawala wa kisultan Zanzibar ulikuwa wa haki na mwema, kipi kilipelekea watu kufanya mapinduzi?.
Stuxnet alaaniweZilienea habari kuwa anakuja zanzibar kutalii kama raia tu wa kawaida, hizo habari ziliishia wapi?
Waliopanga mapinduzi ni waislam na ndo waliendelea kutawala visiwa au huyo sultan ni mtume kwamba ni Haram kupinduliwa?Hayakua mapinduzi ya halali, wale makafiri laana za Allah ziwe juu yao walifanya uhalifu wakisaidiwa na ndugu yao kafiri kutoka uganda okello kuuwa waarabu/waislamu, leo hii wameshadedi na hukmu inawasubiri makafiri hao, fanya yote ilaa kifo kipo pale pale.
Yale yalikuwa mapinduzi halali ndo maana mpaka Leo yanaitwa mapinduzi matukufuHayakua mapinduzi ya halali, wale makafiri laana za Allah ziwe juu yao walifanya uhalifu wakisaidiwa na ndugu yao kafiri kutoka uganda okello kuuwa waarabu/waislamu, leo hii wameshadedi na hukmu inawasubiri makafiri hao, fanya yote ilaa kifo kipo pale pale.
Je dini inaruhusu masultani?Mapinduzi ya kipumbavu, na wanaoendeleza mapinduzi haya na kuyaita matukufu basi hawako sahihi, niwashauri tu wasome dini.
Allah amrehemu na amuingize katika pepo ndugu yetu jamshid
Okello na nyerere huko waliko mhhh! Adhabu kali inawasubiri kwa kile walichowafanyia waislamu
Huyo Jamshid adhabu Kali inamhusu yeye na mababu zake Kwa kutoka kwao Oman na kuja kutawala nchi ya watu wengine alaaniweMapinduzi ya kipumbavu, na wanaoendeleza mapinduzi haya na kuyaita matukufu basi hawako sahihi, niwashauri tu wasome dini.
Allah amrehemu na amuingize katika pepo ndugu yetu jamshid
Okello na nyerere huko waliko mhhh! Adhabu kali inawasubiri kwa kile walichowafanyia waislamu
Shukrani kwa taarifa hii muhimu sana mkuu. Je, Sultan alikuwa anapendelea Nguruwe aliyetengenezwaje? Roast au wa kuchomwa?
Katika kitabu hiki kuna makala ya Jamshid akiwa na watu wapatao 500 wananchi wa kawaida wanaingia porini kuwinda nguruwe.
issue siyo weusi wa mweka andiko kinachotetewa hapa ni dini. Laiti huyu Sultan angelikuwa wa dini tofauti na mwandishi angelipakwa kila aina ya uovu.Mtu mweusi ni mtumwa tangu kuzaliwa kwake, hebu angalia hilo andiko utashangaa kuambiwa ni mtu mweusi huyo anayeshabikia utawala wa mwarabu mgeni aliyewatumikisha wenyeji weusi kama mbwa!