BURIANI Sultan Jamshid BIN Abdulla BIN Khalifa (1926 - 2024)

Duu! Kwahiyo upo radhi ungetawaliwa na Sultan kutoka Oman kuliko kujitawala?

kwani hivi sasa tunajitawala ?? Si tunatawaliwa na kijana kutoka Mkuranga aliyewekwa na Magufuli , Mtanganyika mwenzake , kwa kuuliwa watu ??
 
lengo la kanisa soma hicho kitabu utaliona ni kupiga vita uislamu ,

na Lukuvi kaeleza wazi kanisani dhamira yao
Hebu kuwa na reasoning kama msomi na tujadili kilichopo hapa..
Achana na ngano za manyema, idrisa na mtoro.
 

Si mapinduzi ni uvamizi wa Nyerere , msikilize Lukuvi na marehemu Samwel sitta wanavyosema


View: https://www.youtube.com/watch?v=YZyzPDAUc6A

View: https://www.youtube.com/watch?v=NjG8kqVAovc&pp=ygUoc2Ftd2VsaSBzaXRhIGFraW9uZ2VsZXphIGt1aHVzdSB6YW56aWJhcg%3D%3D

View: https://www.youtube.com/watch?v=vEmN617bMJ0&pp=ygUPbHVrdXZpIGthbmlzYW5p
 
Hebu kuwa na reasoning kama msomi na tujadili kilichopo hapa..
Achana na ngano za manyema, idrisa na mtoro.

lengo la kanisa soma hicho kitabu utaliona ni kupiga vita uislamu ,

na Lukuvi kaeleza wazi kanisani dhamira yao


 
lengo la kanisa soma hicho kitabu utaliona ni kupiga vita uislamu ,

na Lukuvi kaeleza wazi kanisani dhamira yao


View attachment 3189975
Na hilo lilifanikiwa pata picha uislamu usingethibitiwa Tanzania.. ingekuwaje, pigia mfano wa nchi nyingine ambapo uislamu uliachwa free kutekeleza mambo yake
 
Na hilo lilifanikiwa pata picha uislamu usingethibitiwa Tanzania.. ingekuwaje, pigia mfano wa nchi nyingine ambapo uislamu uliachwa free kutekeleza mambo yake

usingethibitiwa ndio nini ??
 
lengo la kanisa soma hicho kitabu utaliona ni kupiga vita uislamu ,

na Lukuvi kaeleza wazi kanisani dhamira yao


View attachment 3189975
Pia jaribu kufikiri vyema hapa mada ni usultani wa zanzibar na sultanate..
Na hiko kitabu ni cha kanisa na siasa za tanzania bara..
Wapi na wapi?!
 
Pia jaribu kufikiri vyema hapa mada ni usultani wa zanzibar na sultanate..
Na hiko kitabu ni cha kanisa na siasa za tanzania bara..
Wapi na wapi?!

Unasahau uliuliza kitu gani au ndio unaanza kutoelewa kiswahili ??
 
Halafu akakimbilia kuishi uingereza kwa waliohusika kumwondoa?
Can you imagine rais Saddam (RIP) angekimbilia kuishi Marekani?
 
Dah aisee inasikitisha sana mkuu, huyu mzee nilikuwa namuona wa maana kumbe ni mtu hopeless kabisa, kuna watu wapo radhi kutawaliwa mpaka leo.

Wakati wa utumwa ulikuwepo? Jibu swali, yani mzungu au kanisa lenu litakapotoa historia nanyi mnaipokea kama ilivyo bila kufanya utafiti wowote hahaaaaa, nyie watu hatari sana
Tena huyo lukuvi, sijui mama anakwama wapi kumpa nafasi tena
 
Huyu Ali Mwinyi Tambwe Kumbe alikuwa jasusi toka kipindi cha mkoloni?....ndio maana basi alihusika na hii shughuli hata huko Zanzibar.
 
Jemshid hakupindulia na watu wake, bali walikuwa wavamizi kutoka Tanganyika wakiongozwa na mganda
Vipi kuhusu umma party chini ya kina Babu hao hawakuwa Wazanzibari?
 
Huyo Jamshid adhabu Kali inamhusu yeye na mababu zake Kwa kutoka kwao Oman na kuja kutawala nchi ya watu wengine alaaniwe

Uislamu ni dini yakweli, na ukifa hali ya kuwa ni muislamu, ukatenda mema na ukaachana na maovu basi wewe ni wa peponi, ukifa haliyakua ni kaafir basi makazi yao ni jahannam
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…