BURIANI Sultan Jamshid BIN Abdulla BIN Khalifa (1926 - 2024)

BURIANI Sultan Jamshid BIN Abdulla BIN Khalifa (1926 - 2024)

Duu! Kwahiyo upo radhi ungetawaliwa na Sultan kutoka Oman kuliko kujitawala?

kwani hivi sasa tunajitawala ?? Si tunatawaliwa na kijana kutoka Mkuranga aliyewekwa na Magufuli , Mtanganyika mwenzake , kwa kuuliwa watu ??
 
lengo la kanisa soma hicho kitabu utaliona ni kupiga vita uislamu ,

na Lukuvi kaeleza wazi kanisani dhamira yao
Hebu kuwa na reasoning kama msomi na tujadili kilichopo hapa..
Achana na ngano za manyema, idrisa na mtoro.
 
Kutokana na bandiko la Mohamed Said anatanabaisha kuwa utawala wa kisultan Zanzibar ulijaa haki, heri, amani na upendo kwa watu wote.

Sasa naomba kuuliza, kama huo utawala wa kisultan ulikuwa mzuri;

a) Vitabu na simulizi juu ya ukoloni wa Masultan ni vitu vya uongo?

b) Biashara ya utumwa iliyokuwa inafanyika chini ya utawala wa kisultan nayo tulidanganywa?

c) Uonevu, dhuluma na kila aina ya ukatili vilivyokuwa vinafanywa na utawala wa kisultan kumbe na hayo tulidanganywa?

d) Kama utawala wa kisultan Zanzibar ulikuwa wa haki na mwema, kipi kilipelekea watu kufanya mapinduzi?.

Si mapinduzi ni uvamizi wa Nyerere , msikilize Lukuvi na marehemu Samwel sitta wanavyosema


View: https://www.youtube.com/watch?v=YZyzPDAUc6A


View: https://www.youtube.com/watch?v=NjG8kqVAovc&pp=ygUoc2Ftd2VsaSBzaXRhIGFraW9uZ2VsZXphIGt1aHVzdSB6YW56aWJhcg%3D%3D


View: https://www.youtube.com/watch?v=vEmN617bMJ0&pp=ygUPbHVrdXZpIGthbmlzYW5p
 
Hebu kuwa na reasoning kama msomi na tujadili kilichopo hapa..
Achana na ngano za manyema, idrisa na mtoro.

lengo la kanisa soma hicho kitabu utaliona ni kupiga vita uislamu ,

na Lukuvi kaeleza wazi kanisani dhamira yao


1735731941450.png
 
lengo la kanisa soma hicho kitabu utaliona ni kupiga vita uislamu ,

na Lukuvi kaeleza wazi kanisani dhamira yao


View attachment 3189975
Na hilo lilifanikiwa pata picha uislamu usingethibitiwa Tanzania.. ingekuwaje, pigia mfano wa nchi nyingine ambapo uislamu uliachwa free kutekeleza mambo yake
 
Na hilo lilifanikiwa pata picha uislamu usingethibitiwa Tanzania.. ingekuwaje, pigia mfano wa nchi nyingine ambapo uislamu uliachwa free kutekeleza mambo yake

usingethibitiwa ndio nini ??
 
lengo la kanisa soma hicho kitabu utaliona ni kupiga vita uislamu ,

na Lukuvi kaeleza wazi kanisani dhamira yao


View attachment 3189975
Pia jaribu kufikiri vyema hapa mada ni usultani wa zanzibar na sultanate..
Na hiko kitabu ni cha kanisa na siasa za tanzania bara..
Wapi na wapi?!
 
Pia jaribu kufikiri vyema hapa mada ni usultani wa zanzibar na sultanate..
Na hiko kitabu ni cha kanisa na siasa za tanzania bara..
Wapi na wapi?!

Unasahau uliuliza kitu gani au ndio unaanza kutoelewa kiswahili ??
 
Sultan aliyetoka Oman siyo Jamshid,Jamshid ni kizazi cha mbali sana cha babu wa mababu zake yeye.Sultan wa Oman na Zanzibar ni Seyyid Said aliyefariki 1856.Hapo ufalme wake uligawanywa pande mbili ,Zanzibar alirithi Sultan Majid na Sultan Thuwein ,Oman. JAMSHID alikuwa mswahili na Mtanzania kama sito Fiona na ghilba za CCM.Jamshid alikuwa Sultan kwa mujibu wa katiba,hakuwa mtendaji wa serikali,serikali ilikuwa chini ya waziri mkuu,Mohamed Shamte ambaye mwanaye Adam Shamte amekuwa kada wa kudumu wa CCM.Harakati za uhuru wa Zanzibar zilihusisha ubaguzi wa rangi hivyo chama ZNP kilikuwa karibu zaidi na sultan lakini hata ASP kisingeweza kusajiriwa bila kumtambua sultan kama head of state.Yaliyotokea 1964 ni ghiliba za majirani hasa Tanganyika na waingereza.Zanzibar haikutakiwa tena kuwa sovereign.
Halafu akakimbilia kuishi uingereza kwa waliohusika kumwondoa?
Can you imagine rais Saddam (RIP) angekimbilia kuishi Marekani?
 
Dah aisee inasikitisha sana mkuu, huyu mzee nilikuwa namuona wa maana kumbe ni mtu hopeless kabisa, kuna watu wapo radhi kutawaliwa mpaka leo.

Wakati wa utumwa ulikuwepo? Jibu swali, yani mzungu au kanisa lenu litakapotoa historia nanyi mnaipokea kama ilivyo bila kufanya utafiti wowote hahaaaaa, nyie watu hatari sana

Tena huyo lukuvi, sijui mama anakwama wapi kumpa nafasi tena
 
Much...
Wanachama wote wa TANU walikuwa wanaunga mkono ASP kuanzia mwaka wa 1957 chama kilipoasisiwa.

TANU walikuwa na mtu maalum aliyekuwa akipeleka fedha Zanzibar na ndiye alikuwa mwakilishi wa Mwalimu kwa Karume.

Karume alikuwa akija Dar es Salaam akifikia nyumbani kwa mtu huyu.

Mwalimu akaweka kambi ya Kipumbwi Tanga na akamteua Jumanne Abdallah kuwa Mkuu wa Mkoa wa Tanga na Ali Mwinyi Tambwe Mkuu wa Wilaya.

Ali Mwinyi Tambwe alikuwa mtu wa Mwalimu sana na wakati wa kupigania uhuru alikuwa mkono wake wa kulia.

Ali Mwinyi na Abdul Sykes ndiyo walimjadili Nyerere nyumbani kwa Hamza Mwapachu Nansio vipi wamwingize kugombea nafasi ya President wa TAA 1953 na 1954 TANU iundwe na Mwalimu aongoze mapambano ya kudai uhuru.

Lakini kubwa ni kuwa Ali Mwinyi TANU alikuwa mtu wa Special Branch wakati wa ukoloni.
Kipumbwi ilikuwa chini yake na yeye ndiye aliyemwingiza Mohamed Omari Mkwawa katika harakati za Zanzibar kuelekea uchaguzi wa 1961, 1963 na mapinduzi 1964.

Halikadhalika kwa kazi hii ya Zanzibar Mwalimu alimteua Oscar Kambona kuhakikisha kila kitu kinakwenda sawa na Kambona akafanya kazi hii kwa ufanisi na usiri mkuwa na Abdallah Kassim Hanga.
Huyu Ali Mwinyi Tambwe Kumbe alikuwa jasusi toka kipindi cha mkoloni?....ndio maana basi alihusika na hii shughuli hata huko Zanzibar.
 
Jemshid hakupindulia na watu wake, bali walikuwa wavamizi kutoka Tanganyika wakiongozwa na mganda
Vipi kuhusu umma party chini ya kina Babu hao hawakuwa Wazanzibari?
 
Huyo Jamshid adhabu Kali inamhusu yeye na mababu zake Kwa kutoka kwao Oman na kuja kutawala nchi ya watu wengine alaaniwe

Uislamu ni dini yakweli, na ukifa hali ya kuwa ni muislamu, ukatenda mema na ukaachana na maovu basi wewe ni wa peponi, ukifa haliyakua ni kaafir basi makazi yao ni jahannam
 
Back
Top Bottom