macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Hivi unaelewa tofauti kati ya Chanjo na Dawa? Uliwahi kuskia kuna chanjo inayokinga kwa asilimia 100? Ukiambiwa chanjo ina efficacy ya 90% unaelewa maana yake? Upumbavu mwingine ni wa kujitakia.Hivi unaelewa tofauti ya chanjo na dawa?
Uliwahi kusikia kuna chanjo ya malaria?
Umewahi kusikia mtu mwenye chanjo ya malaria amekufa kwa malaria?
Jifunze zaidi kwanza uongeze maarifa.
Pole sana ndugu yangu. Jipe moyo mkuu. Ni wengi wamepoteza maisha lakini watu wanalichukulia hili suala kwa ushabiki wa kijinga kabisa.Wakati uviko umeniweka kitandani wiki 5 huyu mzee nae nikasikia anaumwa, hata siamini nimeponaje na huyu mzee ambaye alikuwa anapata huduma bora kuliko mimi ameenda, kiukweli delta imenitesa na hata siaminj nimeponaje, nimepita kwenye bonde la utuli wa mauti.
Yes .Ila jamaa ni mfano wa kuigwa walikaa jela tokea 1983 hadi 1995.Ila alivyotoka kaja uraini kapambana na bado akatoboa kimaisha. Mungu ampumnzishe kwa amani.Ndo alikuwa kwenye Kesi ya kumpindua Nyerere?
Ficha upumbavu wako basi? Chanjo haifanyi kazi kwa mtu ambaye tayari ni mgonjwa. Infact chanjo inahitaji wiki tatu mpaka nne (baada ya sindano ya pili kama siyo ya sindano moja) ili ianze kufanya kazi.Kwani baada ya mahojiano mtu hawezi kuchanjwa? Kwani chanjo inahitaji maandalizi ya mwaka, si masaa tu? Unashindwa kuelewa nini hapo mkuu.
Nadhani watu washikane mieleka, waliochanja na wasiochanjaPovu la nini sasa😂😂😂
Utata wote unaoizunguka chanjo hautokani na kitu chochote bali ujinga. Serikali ilitakia kutia nguvu nyingi kuelimisha watu juu ya hili. Sasa huyu yupo JF. Vipi asiyejua kusoma na kuandika?Ficha upumbavu wako basi? Chanjo haifanyi kazi kwa mtu ambaye tayari ni mgonjwa. Infact chanjo inahitaji wiki tatu mpaka nne (baada ya sindano ya pili kama siyo ya sindano moja) ili ianze kufanya kazi.
Tusisahau kua huyu mzee alikua amechanja na bado covid imeondoka nae. Utasikia ngonjera za ukichanja inapunguza maumivu ama kulazwa ama vifo, sasa huyu mzee kafariki vipi na alikua amechanjwa?
Nimeona chats zake na Msingwa msemaji wa serikali akilalamika kwamba ugonjwa unatesa sana huku wataalam wa chanjo wanakwmabia ukichwanjwa
Hii itakuwa mwisho wa ubishiNadhani watu washikane mieleka, waliochanja na wasiochanja
Dah..vyeo hivi..Msigwa anamwita Hans Poppe Kaka!!😳😳Tusisahau kua huyu mzee alikua amechanja na bado covid imeondoka nae. Utasikia ngonjera za ukichanja inapunguza maumivu ama kulazwa ama vifo, sasa huyu mzee kafariki vipi na alikua amechanjwa?
Nimeona chats zake na Msingwa msemaji wa serikali akilalamika kwamba ugonjwa unatesa sana huku wataalam wa chanjo wanakwmabia ukichwanjwa hutateseka.View attachment 1932771
Ni YeyeeNaomba kuuliza mkuu hivi huyu Hans pop ndiye Yule anayetajwa kwenye kesi ya uhaini ya mwaka 1982?
Ulitaka amuite vipi?Dah..vyeo hivi..Msigwa anamwita Hans Poppe Kaka!![emoji15][emoji15]
Inawezekana akawa brother wake. Msigwa kama yuko nearly 50 ni sahihi kumuitaa kaka.Dah..vyeo hivi..Msigwa anamwita Hans Poppe Kaka!!😳😳
Msigwa ni mtoto kwa Late Hans PoppeUlitaka amuite vipi?
Msigwa ni mtoto kwa Late Hans PoppeInawezekana akawa brother wake. Msigwa kama yuko nearly 50 ni sahihi kumuitaa kaka.
Kama si siasa basi hadi sasa hizo chanjo zingekuwa bado zinaendelea na majaribio.Yaani wa bongo mmeleta ushabiki wa mpira na wasiasa kwenye chanjo. Chanjo ni suala la kisayansi. Huwezi okotezaokoteza points huku na huko.
Lakini mmeligeuza kuwa ushabiki waliochanja dhidi ya wasiochanja. Ni ujinga mkubwa sana.
Teknolojia imekua sana. Kuunda chanjo ni fasta tu.Kama si siasa basi hadi sasa hizo chanjo zingekuwa bado zinaendelea na majaribio.
Sasa mbona zimepitishwa kidharula? nazungumzia majaribio ya chanjo.Teknolojia imekua sana. Kuunda chanjo ni fasta tu.
Kupitishwa kwa dharura haimaanishi si bora au si salama. Kuna dawa kibao zilifanyiwa majaribio yote na kupitishwa, lakini baada ya miaka mingi sokoni Ikatolewa sababu ya madhara. Dawa nyingi za ukimwi ziliokuwa zinatumika mwanzo haiztumiki tena leo, sababu zimekuwa na madhara makali.Sasa mbona zimepitishwa kidharula? nazungumzia majaribio ya chanjo.