Mchimba Chumvi
JF-Expert Member
- May 19, 2016
- 2,244
- 5,500
Sawa sio mda utaukuta kwenye ule uzi wa beth kule international🤣🤣🤣 Acha tujaze server max anaingiza mpunga kupitia sisi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa sio mda utaukuta kwenye ule uzi wa beth kule international🤣🤣🤣 Acha tujaze server max anaingiza mpunga kupitia sisi
Nitawashitaki bora hata uende kwa Analogia MalengaSawa sio mda utaukuta kwenye ule uzi wa beth kule international
Stupid Africa, nachukia sana hizi ishu kutokea Afrika, UFARANSA wanafadhili mapinduzi kila kukicha ili wachukue madini kwenye nchi hizo. FRANCO PHONE ni wapumbavu sana.
Mambo ya kishenzi kila kukicha,na kote mapinduzi yalikofanyika hakuna cha maana wala unafuu wa maisha umeletwa.
Hapo ni majeshi kutafuta tuu vyeo vya kisiasa na kutafutia familia zao Kazi ila wananchi wajinga wataishia kushangilia na kuambulia hewa.
Binafsi ni mmja wa watu naopinga kabisa majeshi kwenye siasa maana hata wakiharibu hakuna cha Kuwafanya wameshika silaha.
Hii tabia imekithiri Sana kwenye Nchi za francophone.
Stupid Africa, nachukia sana hizi ishu kutokea Afrika, UFARANSA wanafadhili mapinduzi kila kukicha ili wachukue madini kwenye nchi hizo. FRANCO PHONE ni wapumbavu sana.
Sudan ilisababishwa na maandamano ya wananchi mzeeSudan mbona mapinduzi yalifanyika au na vurugu za Somalia?. Viongozi wa Africa wajinga ikiwemo Tanzania.
Sudan ilisababishwa na maandamano ya wananchi mzee
MA.TA.CORE YA MERMER YACORE.Mabeyo na yeye anasubiri Nini?
Hebu fanya Jambo mzee mwenzangu
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Kazi iendelee.Miafrika ndio tulivyo.
Njoo ukalie msumali dogo Kama unawashwaMA.TA.CORE YA MERMER YACORE.
Ngoja waendelee kulipuana tuone kama watapata huo ufumbuzi maana na wewe unaunga mkono kulipuana badala ya kujadiliana.Wewe unaongea ukiwa haupo Buekina Fasso. Burkina Fasso mgogoro wao umeanza zamanj sana tangu kuuawa kwa Thomas Sankara, kwa hivyo bado hawajapata ufumbuzi.
Yako mbona yako sealed na tope kabisa ila tuu huwezi jiona.Ushauri pekee n'aoweza kukupatia ni kwamba: FUMBUA MACHO YAKO! You seem to have been slumbering for too long!
Jeshi halina hilo jukumu la kuwalinda raia na mali zao.Amechelewa sana kupinduliwa; why wait for so long? Do the right thing at the right time! Mnajivuta mno nyie jeshi! Msisahau kwamba mpo kwa ajili ya kuwalinda raia na mali zao. Watawala wakiwa walafi na wabinafsi, wafurumusheni haraka kunako alfajiri na mapema!
CC: CDFMbali na kusema Rais Roch Kabore amepinduliwa Jeshi Nchini humo pia limesema Bunge limevunjwa na Mipaka ya Taifa hilo imefungwa.
Uamuzi huo umesainiwa na Luteni Kanali Paul-Henri Sandaogo Damiba. Jeshi limesisitiza Mapinduzi yamefanyika bila ghasia na watu wanaoshikiliwa wapo sehemu salama.
Kauli ya Jeshi inakuja baada ya siku mbili za sintofahamu na hofu katika Mji Mkuu wa Nchi hiyo, Ouagadougou ambapo risasi zimekuwa zikisikika.
===
Burkina Faso's army said on Monday it had ousted President Roch Kabore, suspended the constitution, dissolved the government and the national assembly, and closed the borders.
The announcement, signed by Lieutenant Colonel Paul-Henri Sandaogo Damiba and read by another officer on state television, said the takeover had been carried out without violence and that those detained were at a secure location
The statement was made in the name of a previously unheard of entity, the Patriotic Movement for Safeguard and Restoration or MPSR, its French language acronym.
"MPSR, which includes all sections of the army, has decided to end President Kabore's post today," it said.
It cited the deterioration of the security situation and what it described as Kabore's inability to unite the nation and effectively respond to the challenges it faces.
The army broadcast came after two days of confusion and fear in the capital Ouagadougou, where heavy gunfire erupted at army camps on Sunday, with soldiers demanding more support for their fight against Islamist militants.
Kabore's whereabouts were unknown on Monday after heavy gunfire was heard in the area around his residence overnight.
Earlier, Kabore's party said he had survived an assassination attempt, but gave no details.
Before the army statement, the African Union and the West African bloc ECOWAS both condemned what they called an attempted coup in Burkina Faso, saying they held the military responsible for Kabore's safety.
Source: Reuters
Sio kwa bara ni kwa nchi zinazoongea kifaransa ndizo zinaaibisha Afrika kutwa mapinduziSio habari ya kushangaza kwa bara hili