Burkina Faso: Jeshi lampindua Rais Kabore. Lasimamisha Katiba na kuvunja Serikali

Burkina Faso: Jeshi lampindua Rais Kabore. Lasimamisha Katiba na kuvunja Serikali

mapinduzi ndio njia pekee iliyobaki africa ya kuleta mabadiriko
 
Tanzania wamesharidhika na CCM msiwapindue pindue
 
Alishindwa vipi kula na wanajeshi huo.
We ukuona jiwe alivyowapendelea wajeda
 
Stupid Africa, nachukia sana hizi ishu kutokea Afrika, UFARANSA wanafadhili mapinduzi kila kukicha ili wachukue madini kwenye nchi hizo. FRANCO PHONE ni wapumbavu sana.

Acha uongo. Viongozi waumize wananchi Halafu wakipinduliwa mnawasingizia wazungu. Tuwaongoze watu vizuri tuone watapinduliwa.
 
Mambo ya kishenzi kila kukicha,na kote mapinduzi yalikofanyika hakuna cha maana wala unafuu wa maisha umeletwa.

Hapo ni majeshi kutafuta tuu vyeo vya kisiasa na kutafutia familia zao Kazi ila wananchi wajinga wataishia kushangilia na kuambulia hewa.

Binafsi ni mmja wa watu naopinga kabisa majeshi kwenye siasa maana hata wakiharibu hakuna cha Kuwafanya wameshika silaha.

Hii tabia imekithiri Sana kwenye Nchi za francophone.

Wewe unaongea ukiwa haupo Buekina Fasso. Burkina Fasso mgogoro wao umeanza zamanj sana tangu kuuawa kwa Thomas Sankara, kwa hivyo bado hawajapata ufumbuzi.
 
Stupid Africa, nachukia sana hizi ishu kutokea Afrika, UFARANSA wanafadhili mapinduzi kila kukicha ili wachukue madini kwenye nchi hizo. FRANCO PHONE ni wapumbavu sana.

Sudan mbona mapinduzi yalifanyika au na vurugu za Somalia?. Viongozi wa Africa wajinga ikiwemo Tanzania.
 
Wewe unaongea ukiwa haupo Buekina Fasso. Burkina Fasso mgogoro wao umeanza zamanj sana tangu kuuawa kwa Thomas Sankara, kwa hivyo bado hawajapata ufumbuzi.
Ngoja waendelee kulipuana tuone kama watapata huo ufumbuzi maana na wewe unaunga mkono kulipuana badala ya kujadiliana.

Na huo ujinga wanafanya hao hao wanajeshi,wakina Sankala walikuwa wanajeshi pia.

Mwisho wa siku wanaojiita wananchi ni kusotea kwa kwenda mbele huku wanajeshi wakila maisha.
 
Amechelewa sana kupinduliwa; why wait for so long? Do the right thing at the right time! Mnajivuta mno nyie jeshi! Msisahau kwamba mpo kwa ajili ya kuwalinda raia na mali zao. Watawala wakiwa walafi na wabinafsi, wafurumusheni haraka kunako alfajiri na mapema!
Jeshi halina hilo jukumu la kuwalinda raia na mali zao.
 
Mbali na kusema Rais Roch Kabore amepinduliwa Jeshi Nchini humo pia limesema Bunge limevunjwa na Mipaka ya Taifa hilo imefungwa.

Uamuzi huo umesainiwa na Luteni Kanali Paul-Henri Sandaogo Damiba. Jeshi limesisitiza Mapinduzi yamefanyika bila ghasia na watu wanaoshikiliwa wapo sehemu salama.

Kauli ya Jeshi inakuja baada ya siku mbili za sintofahamu na hofu katika Mji Mkuu wa Nchi hiyo, Ouagadougou ambapo risasi zimekuwa zikisikika.
===

Burkina Faso's army said on Monday it had ousted President Roch Kabore, suspended the constitution, dissolved the government and the national assembly, and closed the borders.

The announcement, signed by Lieutenant Colonel Paul-Henri Sandaogo Damiba and read by another officer on state television, said the takeover had been carried out without violence and that those detained were at a secure location

The statement was made in the name of a previously unheard of entity, the Patriotic Movement for Safeguard and Restoration or MPSR, its French language acronym.

"MPSR, which includes all sections of the army, has decided to end President Kabore's post today," it said.

It cited the deterioration of the security situation and what it described as Kabore's inability to unite the nation and effectively respond to the challenges it faces.

The army broadcast came after two days of confusion and fear in the capital Ouagadougou, where heavy gunfire erupted at army camps on Sunday, with soldiers demanding more support for their fight against Islamist militants.

Kabore's whereabouts were unknown on Monday after heavy gunfire was heard in the area around his residence overnight.

Earlier, Kabore's party said he had survived an assassination attempt, but gave no details.

Before the army statement, the African Union and the West African bloc ECOWAS both condemned what they called an attempted coup in Burkina Faso, saying they held the military responsible for Kabore's safety.

Source: Reuters
CC: CDF
 
Back
Top Bottom