Burkina Faso: Jeshi lampindua Rais Kabore. Lasimamisha Katiba na kuvunja Serikali

Burkina Faso: Jeshi lampindua Rais Kabore. Lasimamisha Katiba na kuvunja Serikali

Acha uongo. Viongozi waumize wananchi Halafu wakipinduliwa mnawasingizia wazungu. Tuwaongoze watu vizuri tuone watapinduliwa.
Mapinduzi mengi kuna mkono wa wazungu , na pasipo na mkono wa wazungu utasikia wanaiwekea hiyo serikali vikwazo mpk jeshi likabidhi madaraka kwa wananchi , refer Mali coupe de tat na vikwazo vya AU , wkt AU hiyo hiyo ilikuwa kimya kwny mapinduz mengi tu before , AU inatumika kama kivuli cha UN siku hz kuendesha siasa za magharibi barani Afrika bila sisi kujua
 
Amechelewa sana kupinduliwa; why wait for so long? Do the right thing at the right time! Mnajivuta mno nyie jeshi! Msisahau kwamba mpo kwa ajili ya kuwalinda raia na mali zao. Watawala wakiwa walafi na wabinafsi, wafurumusheni haraka kunako alfajiri na mapema!
Unaamanisha wafanye ya Burkinafaso
 
Alishindwa vipi kula na wanajeshi huo.
We ukuona jiwe alivyowapendelea wajeda
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa wanajeshi wa kule hawataki uongo na unafiki.
 
Jeshi halina hilo jukumu la kuwalinda raia na mali zao.
Kazi ya jeshi ni kulinda mipaka ya Nchi ,hili swala la kukimbilia madaraka ya kisiasa kwa visingizio vya kipuuzi ni uhuni..

Eti jeshi linasema usalama ulizorota,sasa Kazi yao ilikuwa inakwamishwa na Rais?

Hawa wanajeshi walishaonja utamu wa siasa toka enzi za kina Sankala,ni ujinga kwa raia wa kawaida kushangilia kwa sababu hakuna cha maana watafaidika chini ya wanajeshi.

Wakiiba pesa huna cha Kuwafanya na wala hawakaguliwi,Sasa hapa mtu unashangilia nini?
 
View attachment 2094825

View attachment 2094826

Mbali na kusema Rais Roch Kabore amepinduliwa Jeshi Nchini humo pia limesema Bunge limevunjwa na Mipaka ya Taifa hilo imefungwa.

Uamuzi huo umesainiwa na Luteni Kanali Paul-Henri Sandaogo Damiba. Jeshi limesisitiza Mapinduzi yamefanyika bila ghasia na watu wanaoshikiliwa wapo sehemu salama.

Kauli ya Jeshi inakuja baada ya siku mbili za sintofahamu na hofu katika Mji Mkuu wa Nchi hiyo, Ouagadougou ambapo risasi zimekuwa zikisikika.

=====

Burkina Faso's army said on Monday it had ousted President Roch Kabore, suspended the constitution, dissolved the government and the national assembly, and closed the borders.

The announcement, signed by Lieutenant Colonel Paul-Henri Sandaogo Damiba and read by another officer on state television, said the takeover had been carried out without violence and that those detained were at a secure location

The statement was made in the name of a previously unheard of entity, the Patriotic Movement for Safeguard and Restoration or MPSR, its French language acronym.

"MPSR, which includes all sections of the army, has decided to end President Kabore's post today," it said.

It cited the deterioration of the security situation and what it described as Kabore's inability to unite the nation and effectively respond to the challenges it faces.

The army broadcast came after two days of confusion and fear in the capital Ouagadougou, where heavy gunfire erupted at army camps on Sunday, with soldiers demanding more support for their fight against Islamist militants.

Kabore's whereabouts were unknown on Monday after heavy gunfire was heard in the area around his residence overnight.

Earlier, Kabore's party said he had survived an assassination attempt, but gave no details.

Before the army statement, the African Union and the West African bloc ECOWAS both condemned what they called an attempted coup in Burkina Faso, saying they held the military responsible for Kabore's safety.

Source: Reuters
Hivi waafrika hua wanadhani kupindua Rais ni sifa? Na wananchi utakuta yanashangilia bila kujua kesho yao ikoje
 
Hivi waafrika hua wanadhani kupindia Rais ni sifa? Na wananchi utakuta yanashangilia bila kujua kesho yao ikoje
Watu maskini waliokata tamaa ndio huwa wanashangilia mambo ambayo hakuna kitu watanufaika..

Zaidi ni hasara juu ya hasara,kuishi kwa amri,hakuna kukosoa wala kuandamana,mnawekewa vikwazo uchumi unavurugika lakini wao majeshi wanawakamua na maisha yao yanaendelea kuwa ya Neema.
 
Back
Top Bottom