Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mapinduzi mengi kuna mkono wa wazungu , na pasipo na mkono wa wazungu utasikia wanaiwekea hiyo serikali vikwazo mpk jeshi likabidhi madaraka kwa wananchi , refer Mali coupe de tat na vikwazo vya AU , wkt AU hiyo hiyo ilikuwa kimya kwny mapinduz mengi tu before , AU inatumika kama kivuli cha UN siku hz kuendesha siasa za magharibi barani Afrika bila sisi kujuaAcha uongo. Viongozi waumize wananchi Halafu wakipinduliwa mnawasingizia wazungu. Tuwaongoze watu vizuri tuone watapinduliwa.
Unaamanisha wafanye ya BurkinafasoAmechelewa sana kupinduliwa; why wait for so long? Do the right thing at the right time! Mnajivuta mno nyie jeshi! Msisahau kwamba mpo kwa ajili ya kuwalinda raia na mali zao. Watawala wakiwa walafi na wabinafsi, wafurumusheni haraka kunako alfajiri na mapema!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa wanajeshi wa kule hawataki uongo na unafiki.Alishindwa vipi kula na wanajeshi huo.
We ukuona jiwe alivyowapendelea wajeda
Hata mie nashangaa, yeye hawaoni wenzake wanavyofanya. KhaaaqhMabeyo na yeye anasubiri Nini?
Hebu fanya Jambo mzee mwenzangu
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Namaanisha wa-do the right thing! Ukimuuliza mtu yeyote mwenye akili timamu, atakwambia maana yake halisi.Unaamanisha wafanye ya Burkinafaso
[emoji16][emoji16][emoji16]Mungu atuangalie na sisi huku.... Tunahitaji mabadiliko kama hayo
Mkuu unamuita mwenzio aje aukalie msumari wa inch 8 je akichomwaNjoo ukalie msumali dogo Kama unawashwa
Maana una element zote za ugasho
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Huyo jamaa anashindwa kujua hili n jikwaa huru ananitukania mama yanguMkuu unamuita mwenzio aje aukalie msumari wa inch 8 je akichomwa
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Nando zinazoongoza kwa ujingaSio kwa bara ni kwa nchi zinazoongea kifaransa ndizo zinaaibisha Afrika kutwa mapinduzi
Zinazoongea kiingereza ziko very stable
Kazi ya jeshi ni kulinda mipaka ya Nchi ,hili swala la kukimbilia madaraka ya kisiasa kwa visingizio vya kipuuzi ni uhuni..Jeshi halina hilo jukumu la kuwalinda raia na mali zao.
Ni Rais wa kuchaguliwa,alikuwa awamu ya pili ya uongozi wake.Uyo alopinduliwa kakaa MDA gan madarakani?
Hayawezi kusaidia chadema kushika dola.[emoji16][emoji16][emoji16]
Hivi waafrika hua wanadhani kupindua Rais ni sifa? Na wananchi utakuta yanashangilia bila kujua kesho yao ikojeView attachment 2094825
View attachment 2094826
Mbali na kusema Rais Roch Kabore amepinduliwa Jeshi Nchini humo pia limesema Bunge limevunjwa na Mipaka ya Taifa hilo imefungwa.
Uamuzi huo umesainiwa na Luteni Kanali Paul-Henri Sandaogo Damiba. Jeshi limesisitiza Mapinduzi yamefanyika bila ghasia na watu wanaoshikiliwa wapo sehemu salama.
Kauli ya Jeshi inakuja baada ya siku mbili za sintofahamu na hofu katika Mji Mkuu wa Nchi hiyo, Ouagadougou ambapo risasi zimekuwa zikisikika.
=====
Burkina Faso's army said on Monday it had ousted President Roch Kabore, suspended the constitution, dissolved the government and the national assembly, and closed the borders.
The announcement, signed by Lieutenant Colonel Paul-Henri Sandaogo Damiba and read by another officer on state television, said the takeover had been carried out without violence and that those detained were at a secure location
The statement was made in the name of a previously unheard of entity, the Patriotic Movement for Safeguard and Restoration or MPSR, its French language acronym.
"MPSR, which includes all sections of the army, has decided to end President Kabore's post today," it said.
It cited the deterioration of the security situation and what it described as Kabore's inability to unite the nation and effectively respond to the challenges it faces.
The army broadcast came after two days of confusion and fear in the capital Ouagadougou, where heavy gunfire erupted at army camps on Sunday, with soldiers demanding more support for their fight against Islamist militants.
Kabore's whereabouts were unknown on Monday after heavy gunfire was heard in the area around his residence overnight.
Earlier, Kabore's party said he had survived an assassination attempt, but gave no details.
Before the army statement, the African Union and the West African bloc ECOWAS both condemned what they called an attempted coup in Burkina Faso, saying they held the military responsible for Kabore's safety.
Source: Reuters
Kwa mawazo kama haya ni bora ccm wakae madarakani miaka 200 ijayo.Namaanisha wa-do the right thing! Ukimuuliza mtu yeyote mwenye akili timamu, atakwambia maana yake halisi.
Watu maskini waliokata tamaa ndio huwa wanashangilia mambo ambayo hakuna kitu watanufaika..Hivi waafrika hua wanadhani kupindia Rais ni sifa? Na wananchi utakuta yanashangilia bila kujua kesho yao ikoje
Museveni watu wake wajipange wamtoe.Hilo jeshi linapenda raia wao, kwanini wakimbatie dictator wakati wananchi wanateseka, hao viongozi kama wakina Museveni lazima wapinduliwe