Burna Boy aonesha ukubwa wake Afrika na kidunia

Burna Boy aonesha ukubwa wake Afrika na kidunia

Aigle

JF-Expert Member
Joined
Jul 4, 2020
Posts
1,540
Reaction score
7,973
Burna Boy usiku wa jana ameonesha ukubwa wake kidunia baada ya kufanikiwa kuujaza uwanja wa London kwa mara ya pili mfululizo na kuweka historia.

Uwanja huo maarufu duniani unaingiza mashabiki 80,000 na mauzo ya tiketi Burna Boy amepata zaidi ya dola milioni 8 ambazo ni zaidi ya billion 20 fedha halali za Kitanzania, jamaa kakusanya ndani ya usiku mmoja [emoji24]so poa aisee.

Diamond Platnumz bado ni msadii mdogo Afrika, siku akijaza uwanja wa O2 Arena au huo wa London, ndio rasmi sasa tutamuita msanii mkubwa Afrika.

PIA SOMA
- Burna Boy awa msanii wa kwanza kutoka Afrika kujaza Uwanja Marekani
 
Simba la masimba dangote

diamond platnumz

rais wa wasafi.

niliwahi kuwa na rafiki kule Nigeria pindi nimemtembelea katika mji wao wa Kaduna akanieleza wasanii wao wa Nigeria ni support inawabeba lakini kwa kipaji diamond platnumz anastahili anajua Sana.
 
Diamond platnumz juzi tu hapa kafanya performance AfroNation na watu wameimba nae nyimbo zake. Kitendo cha kupiga show pale kinaweza kuwafungulia njia wasanii wengine wa nyumbani tukawaona kwenye fest zinazokuja miaka ya mbele.
 
Back
Top Bottom