Burna Boy aonesha ukubwa wake Afrika na kidunia

Burna Boy aonesha ukubwa wake Afrika na kidunia

Diamond platnumz juzi tu hapa kafanya performance AfroNation na watu wameimba nae nyimbo zake. Kitendo cha kupiga show pale kinaweza kuwafungulia njia wasanii wengine wa nyumbani tukawaona kwenye fest zinazokuja miaka ya mbele.
Hizi perfomance za wanamusic wa Tanzania kwenye matamasha zipo siku nyingi tu na walishakwenda wengi. Mpaka wapiga mnanda walishakwenda.
 
Burna Boy usiku wa jana ameonesha ukubwa wake kidunia baada ya kufanikiwa kuujaza uwanja wa London kwa mara ya pili mfululizo na kuweka historia.

Uwanja huo maarufu duniani unaingiza mashabiki 80,000 na mauzo ya tiketi Burna Boy amepata zaidi ya dola milioni 8 ambazo ni zaidi ya billion 20 fedha halali za Kitanzania, jamaa kakusanya ndani ya usiku mmoja [emoji24]so poa aisee.

Diamond Platnumz bado ni msadii mdogo Afrika, siku akijaza uwanja wa O2 Arena au huo wa London, ndio rasmi sasa tutamuita msanii mkubwa Afrika.

PIA SOMA
- Burna Boy awa msanii wa kwanza kutoka Afrika kujaza Uwanja Marekani
Mwamba nazikubali nyimbo zake,,,ila siku hizi nikimsikia zinakuja tu zile stori za pdidy
 
Burna Boy usiku wa jana ameonesha ukubwa wake kidunia baada ya kufanikiwa kuujaza uwanja wa London kwa mara ya pili mfululizo na kuweka historia.

Uwanja huo maarufu duniani unaingiza mashabiki 80,000 na mauzo ya tiketi Burna Boy amepata zaidi ya dola milioni 8 ambazo ni zaidi ya billion 20 fedha halali za Kitanzania, jamaa kakusanya ndani ya usiku mmoja [emoji24]so poa aisee.

Diamond Platnumz bado ni msadii mdogo Afrika, siku akijaza uwanja wa O2 Arena au huo wa London, ndio rasmi sasa tutamuita msanii mkubwa Afrika.

PIA SOMA
- Burna Boy awa msanii wa kwanza kutoka Afrika kujaza Uwanja Marekani
hii nafasi angepata yule mtoto wa tandale nahisi umoja wa uvccm wangepita kila mkoa kumshuruku mama kaupiga mwingi kutangaza utalii
 
hii nafasi angepata yule mtoto wa tandale nahisi umoja wa uvccm wangepita kila mkoa kumshuruku mama kaupiga mwingi kutangaza utalii

Kuna kipindi msiwalaumu wasanii wa Bongo yetu kuwa UVCCM. Nchi imejaa makunguru kila mtu anaficha ubawa wake, ukijifanya kimbelembele kutetea maslahi ya wananchi, yakikukuta wananchi wenyewe watakukataa
 
Diamond platnumz juzi tu hapa kafanya performance AfroNation na watu wameimba nae nyimbo zake. Kitendo cha kupiga show pale kinaweza kuwafungulia njia wasanii wengine wa nyumbani tukawaona kwenye fest zinazokuja miaka ya mbele.
Sio mara ya kwanza, mara ya pili wala ya tatu kwake kufanya performance afronation! Ameperform kwenye hilo jukwaa kila mwaka tangu amepata umaarufu! Mziki wetu kwenda kimataifa bado safari ni ndefu mno! Jiulize asingekuwepo Diamond kuhusu swala la kimataifa nani angekuwa anatuwakilisha sio Tz ni EA nzima! Af kibaya zaidi hamna msanii mwingine mwenye dalili ya kufika level alizofika Diamond😂..Nigeria wana new blood ambazo tayari zimeenda international hivyo hata kina Davido na Kina Burna wakiacha kuimba kuna watu watawakilisha nchi yao kimziki ila njoo bongo sasa🤣🤣
 
Sio mara ya kwanza, mara ya pili wala ya tatu kwake kufanya performance afronation! Ameperform kwenye hilo jukwaa kila mwaka tangu amepata umaarufu! Mziki wetu kwenda kimataifa bado safari ni ndefu mno! Jiulize asingekuwepo Diamond kuhusu swala la kimataifa nani angekuwa anatuwakilisha sio Tz ni EA nzima! Af kibaya zaidi hamna msanii mwingine mwenye dalili ya kufika level alizofika Diamond😂..Nigeria wana new blood ambazo tayari zimeenda international hivyo hata kina Davido na Kina Burna wakiacha kuimba kuna watu watawakilisha nchi yao kimziki ila njoo bongo sasa🤣🤣

Huyo ndio peke yake lakini wanavyompiga vita sijui kawaibia nini? Halafu nafikiri pamoja na kufanya kazi kwa bidii lakini jamaa ni humble sana ndio maana unamwona wanaija, wakongo na wasauzi hawana noma nae.
 
Huyo ndio peke yake lakini wanavyompiga vita sijui kawaibia nini? Halafu nafikiri pamoja na kufanya kazi kwa bidii lakini jamaa ni humble sana ndio maana unamwona wanaija, wakongo na wasauzi hawana noma nae.
Nani anampiga vita??kwamba kuna mtu huwa anamnyima tiketi ya ndege anapotaka kwenda kufanya show??

Haya mambo hayahitaji excuse zaidi ya kukaza malinda tu,wenzetu wana factor nyingi sana zinazowarahisishia hili,sio kila siku kukimbilia kusema support tz hakuna.support gani inahitajika!!!mtu ana stream mamilion youtube,sportfy,nk support gani inahitajika zaidi ya hiyo??

Watu wamemaliza kufanya kwa upande wao ndani ya nchi humu,huko nje ni yeye na team yake waparapatue mpaka kieleweke,sio kulilia huruma muda wote.

Ukitoa wanigeria kwa upande wa music,hakuna nchi nyingine africa ambayo wasanii wake wanakoroma nje ya africa,sababu kubwa kabisa ni idadi yao nje ya nchi,na hata ndani ya nchi yao.watu 300mln wana impact kubwa sana kulinganisha na watu 60mln ktk kufanya jambo linalofanana.

Ndio maana akina harmonize walisema musix wa tz nje bado sana,asije akakudanganya mtu kuna kitu anafanya kuuweka sawa,hakuna kilichofanyika.
 
Nani anampiga vita??kwamba kuna mtu huwa anamnyima tiketi ya ndege anapotaka kwenda kufanya show??

Haya mambo hayahitaji excuse zaidi ya kukaza malinda tu,wenzetu wana factor nyingi sana zinazowarahisishia hili,sio kila siku kukimbilia kusema support tz hakuna.support gani inahitajika!!!mtu ana stream mamilion youtube,sportfy,nk support gani inahitajika zaidi ya hiyo??

Watu wamemaliza kufanya kwa upande wao ndani ya nchi humu,huko nje ni yeye na team yake waparapatue mpaka kieleweke,sio kulilia huruma muda wote.

Ukitoa wanigeria kwa upande wa music,hakuna nchi nyingine africa ambayo wasanii wake wanakoroma nje ya africa,sababu kubwa kabisa ni idadi yao nje ya nchi,na hata ndani ya nchi yao.watu 300mln wana impact kubwa sana kulinganisha na watu 60mln ktk kufanya jambo linalofanana.

Ndio maana akina harmonize walisema musix wa tz nje bado sana,asije akakudanganya mtu kuna kitu anafanya kuuweka sawa,hakuna kilichofanyika.

Mkuu mbona unanilisha maneno ambayo sijasema. Yaani paragraphs zote unanijibu mimi au unachangia mada tu?
 
Back
Top Bottom