Huyo mtu ni mwanamuziki wa kiki, hana ukubwa wowote.Sema hata wa kwetu anajitahidi sana.Maana nikiangalia km domo asingekuwepo ni nani angekua anawajambisha wanaija kiba ama nani jamani...
kinachotuangusha sisi ni lugha ila vipaji vipo vingi sanaSema hata wa kwetu anajitahidi sana.Maana nikiangalia km domo asingekuwepo ni nani angekua anawajambisha wanaija kiba ama nani jamani...
Uwekezaji mdogo uchumi mdogokinachotuangusha sisi ni lugha ila vipaji vipo vingi sana
Nyimbo tunazoimba maudhui yake ni ya kibongo ziaidi kuliko za kimataifa.kinachotuangusha sisi ni lugha ila vipaji vipo vingi sana
Na mondi angeendelea kushikana na wanaija wana connection kubwa sana kwa sasa .kinachotuangusha sisi ni lugha ila vipaji vipo vingi sana
Kwa kweli. Wabongo tupo wachache mbele lakini pia hata support hatupeani ase. Sio ng’ambo tu hata ndani pia hatupendani.Wanigeria Dunia nzima Kila sector wapo na wanapeana support.
hawa ndio wachawi wenyewe, hao wasio na kiki hapa Tanzania wamemzidi kitu gani kwenye mafanikio ya muziki?Huyo mtu ni mwanamuziki wa kiki, hana ukubwa wowote.
Kitu kingine naija artist walishaama muda mrefu kufanya mziki wa playback sisi bado tunaendelea naoNadhani content pia ina matter.... Kama unabisha angali vitu wanavyoimba
Kila la kheri zake
Hili limejaa ukweli. Wengi wanaoingia kwenye show kama hii unakuta wana asili ya Nigeria au West Afrika. Show kama hizi hazijazi wazungu au watu wa mataifa mengine kwa wingi.Diaspora size pia ina mater, maana wansigeria wamejaa hapo uk
Mimi live miziki nayopendelea ni ile ya inayo-involve wapiga vyombo kama magitaa nk. Ndiyo maana bado nitaendelea kuwaheshimu kina Msondo.Kitu kingine naija artist walishaama muda mrefu kufanya mziki wa playback sisi bado tunaendelea nao