Burna Boy awasili Marekani na kupokelewa na P. Diddy

Burna Boy awasili Marekani na kupokelewa na P. Diddy

my name is my name

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2015
Posts
2,016
Reaction score
2,397
Leo msanii kutoka Nigeria ambae anatamba duniani kwa sasa Burna Boy amewasili nchini Marekani na kupokelewa na mkongwe wa muziki nchini humo P. Diddy. Hii inaonesha wazi mshindi wa tuzo za BET katika kipengele cha Best International Act ni Burna Boy. Na kwa sasa yupo nchini Marekani akisubiri kukabidhiwa tuzo yake jumatatu.

Hongera sana Burna Boy kwa kuwa mshindi unastahili sana. Na pole za dhati zimuendee bwana Diamond Platnumz na washiriki wengine walioshindwa. Asiekubali kushindwa si mshindani 👀


P. Diddy na Burna Boy wakisalimiana kwa furaha na upendo 😉
 
Usiku wote huu au unalubido uko pekeako kitandani unaleta habari za umbea humu unashtua watu tumelala mkyuundu kweli [emoji67]‍🦽[emoji67]‍🦽[emoji67]‍🦽
We pimbi unaonekana hata shule ukwenda wewe. Kwani dunia nzima saa hizi usiku. Kama kwenu sa hizi usiku we hapa unafanya nini? shsksndhdhdksksnsasks
 
Hahahaha lol! Kama ana akili atabadili mwelekeo. Hizi awards za Africa huwa zinatolewa mapema ila sijui nani mshindi. Show iko kesho BET LIVE kuanzia 3:00am EAT. Naisubiri kwa hamu. Nafurahi kusikia uko poa mimi pia namshukuru Mwenyezi Mungu niko poa kabisa.

Nipo bandugu wangu

Za uzima Rafiki!


Huyu akavune mawese bana amekuwa msumbufu mjini
Akirudi mjini atakuwa na heshima kha
 
Hivi rayvan alishachukuaga hii tuzo kama upcoming artist BET nakumbuka, dai hii tuzo anaitamani nusu kufa lakini ndiyo hivyo alijichanganya kuingia kwenye siasa na kuchagua upande ule wa manjano
Sababu yako haina mashiko!! Kitakachomfanya asishinde sio kwa sababu eti yupo CCM, na ndio maana hata ile petition yenu, waandaaji wa tuzo wameona ni ujinga tu!!
 
Nilipoona ile video mikaona mmmmhhh....hapa maji yashakuwa mengi unga kidogo kwakweli.
Tatizo domo anataka kushindana na kila mtu badala ya kushindana na watu wa levo zake au waliomzidi...lkn mara kiba mara harmonize sijui mwijaku[emoji3525][emoji3525][emoji3525]...anasahau kwamba ana vipengele na wa[emoji1184]
 
Leo msanii kutoka Nigeria ambae anatamba duniani kwa sasa Burna Boy amewasili nchini Marekani na kupokelewa na mkongwe wa muziki nchini humo P. Diddy. Hii inaonesha wazi mshindi wa tuzo za BET katika kipengele cha Best International Act ni Burna Boy. Na kwa sasa yupo nchini Marekani akisubiri kukabidhiwa tuzo yake jumatatu.

Hongera sana Burna Boy kwa kuwa mshindi unastahili sana. Na pole za dhati zimuendee bwana Diamond Platnumz na washiriki wengine walioshindwa. Asiekubali kushindwa si mshindani 👀

View attachment 1830036
P. Diddy na Burna Boy wakisalimiana kwa furaha na upendo 😉
Sawa mwijaku
 
Back
Top Bottom