Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni yeye peke yake? Mbona kina alikiba hamuwasemi kama wamepoteza kitu [emoji854]Diamond baada ya kukubali kushirikiana na maovu ya BLADIFAKENII alipoteza kila kitu.
View attachment 1830339
Tunaopiga maranyingi hizi kura tumeenda shule na utambue sikila mwenye simu janja anaweza ingia mitandaoni nakupiga kura ...inawezekana akina SARUNGI kampeni yao ikopoaHeading imekaa kinafiki sana.
Uliona wapi Alikiba akiimba kuwa bladifakenii ni baba lao?Ni yeye peke yake? Mbona kina alikiba hamuwasemi kama wamepoteza kitu [emoji854]
Sababu yako haina mashiko!! Kitakachomfanya asishinde sio kwa sababu eti yupo CCM, na ndio maana hata ile petition yenu, waandaaji wa tuzo wameona ni ujinga tu!!
Kuimba babalao kumbe ndio issue[emoji849]. Nikajua kisa kampeni za sisiemu. Aisee rafiki hapo nimeelewa chuki ni kwa diamond alone sio kisa alishiriki kampeni. Maana kuimba ni kazi yake na ana maamuzi ya kuimba anachotakaUliona wapi Alikiba akiimba kuwa bladifakenii ni baba lao?
Huo muda uzungumze kwa diamond peke yake tu? Wasanii wengine wao muda kwao ni bubuMuda utazungumza, muda ni mwalimu muda mzuri, so kaa kwa kutulia
Kisa siyo kampeni za CCM wala yeye kuwa CCM bali tatizo ni kumuunga mkono bladifakenii ambae alikuwa na systematic kampeni ya kuteka,kutesa,kuua,ukabila,ukanda,ubaguzi wa rangi,kuua demokrasia,kuua uhuru wa kujieleza na kadhalika.Unapokuwa unamuunga mkono mtenda maovu nawe unakuwa ni mtenda maovu pia.Kuimba babalao kumbe ndio issue[emoji849]. Nikajua kisa kampeni za sisiemu. Aisee rafiki hapo nimeelewa chuki ni kwa diamond alone sio kisa alishiriki kampeni. Maana kuimba ni kazi yake na ana maamuzi ya kuimba anachotaka
Sawa. Je katika wasanii wa Tanzania ni yeye peke yake? Mbona hizo kampeni sizikii kwa harmonize, alikiba, nandy na wengineo maana nao walishiriki. Tena na walitambiana baada ya kupewa zile kofia na the late. Au mabaya ni kwa mmoja tu kwa wengine masafi??. Ndio swali langu hiloKisa siyo kampeni za CCM wala yeye kuwa CCM bali tatizo ni kumuunga mkono bladefakenii ambae alikuwa na systematic kampeni ya kuteka,kutesa,kuua,ukabila,ukanda,ubaguzi wa rangi,kuua demokrasia,kuua uhuru wa kujieleza na kadhalika.Unapokuwa unamuunga mkono mtenda maovu nawe unakuwa ni mtenda maovu pia.
Haijalishi ukubwa wa tuzo, lakini rayvan alifaniliwa kunyakua toka BET thats was my pointTuzo ya Rayvann ilikuwa ni viewers choice..haina lolote hiyo tuzo..i.e hadhi ndogo
Hii ya International act ni kubwa
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Imeisha hiyoPole sana Mond
Mond akienda lima mawese ujue kuna fursa ya mabilioni kaiona...anaweza kua mkulima mzuri na mkubwa sana.Ngoja tusubiri zitakavyoanza kujisifu humu na kule twitter,
Kuna nyumbu moja nimeiona hapo juu, inasema akikosa tuzo anarudi Kigoma kulima mawese!
Nilichogundua nyumbu wengi wanasumbuliwa na matatizo mawili ya msingi,
Uelewa mdogo na chuki, hivi vitu usipoweza kuvibalance lazima uonekane kituko.
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Kah
Wanaija wanakubalika sana USA,sie wacha tukalie majungu na uchawi,badala ya kumsapoti kijana wetu,ndio kwanza tunaendekeza chuki,kisa tunaona wivu,Leo msanii kutoka Nigeria ambae anatamba duniani kwa sasa Burna Boy amewasili nchini Marekani na kupokelewa na mkongwe wa muziki nchini humo P. Diddy. Hii inaonesha wazi mshindi wa tuzo za BET katika kipengele cha Best International Act ni Burna Boy. Na kwa sasa yupo nchini Marekani akisubiri kukabidhiwa tuzo yake jumatatu.
Hongera sana Burna Boy kwa kuwa mshindi unastahili sana. Na pole za dhati zimuendee bwana Diamond Platnumz na washiriki wengine walioshindwa. Asiekubali kushindwa si mshindani 👀
View attachment 1830036
P. Diddy na Burna Boy wakisalimiana kwa furaha na upendo 😉
Wengine kufanya maovu sawa na ya Diamond haiondoi ukweli kuwa Diamond alifanya maovu wala haiwezi kuondoa lawama kuwa Diamond alifanya maovu.Kwani rafiki ikitokea diamond peke yake amepelekwa mahakamani kwa kuunga mkono maovu aliyofanya bladifakeni, Diamond anaweza kujitetea huko mahakamani kuwa hana hatia kwa sababu hata wasanii wengine walifanya maovu hayohayo?Sawa. Je katika wasanii wa Tanzania ni yeye peke yake? Mbona hizo kampeni sizikii kwa harmonize, alikiba, nandy na wengineo maana nao walishiriki. Tena na walitambiana baada ya kupewa zile kofia na the late. Au mabaya ni kwa mmoja tu kwa wengine masafi??. Ndio swali langu hilo
Kigogo siku hizi hana hoja kabisa, hata zile za kijinga jinga hana[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Kah
Dai na vigagula wenzake wasione hiiLeo msanii kutoka Nigeria ambae anatamba duniani kwa sasa Burna Boy amewasili nchini Marekani na kupokelewa na mkongwe wa muziki nchini humo P. Diddy. Hii inaonesha wazi mshindi wa tuzo za BET katika kipengele cha Best International Act ni Burna Boy. Na kwa sasa yupo nchini Marekani akisubiri kukabidhiwa tuzo yake jumatatu.
Hongera sana Burna Boy kwa kuwa mshindi unastahili sana. Na pole za dhati zimuendee bwana Diamond Platnumz na washiriki wengine walioshindwa. Asiekubali kushindwa si mshindani 👀
View attachment 1830036
P. Diddy na Burna Boy wakisalimiana kwa furaha na upendo 😉