Burna Boy awasili Marekani na kupokelewa na P. Diddy

Burna Boy awasili Marekani na kupokelewa na P. Diddy

Maoni yako hayawezi kuondoa fact kuwa mtu yeyote anaeunga mkono maovu ni mtu mbaya na anatakiwa kukemewa na kutokuungwa mkono.Diamond aliunga mkono maovu aliyokuwa anafanya Magufuli kwa hiyo ukweli ni kwamba Diamond ni mtu mbaya na hapaswi kuungwa mkono.Hii ni fact na wala siyo maoni yangu.
Mbona wakina kiba,konde,nandy,na wasanii wengi waliunga mkono juhudi watu hawawasemi

Ova
 
Leo msanii kutoka Nigeria ambae anatamba duniani kwa sasa Burna Boy amewasili nchini Marekani na kupokelewa na mkongwe wa muziki nchini humo P. Diddy. Hii inaonesha wazi mshindi wa tuzo za BET katika kipengele cha Best International Act ni Burna Boy. Na kwa sasa yupo nchini Marekani akisubiri kukabidhiwa tuzo yake jumatatu.

Hongera sana Burna Boy kwa kuwa mshindi unastahili sana. Na pole za dhati zimuendee bwana Diamond Platnumz na washiriki wengine walioshindwa. Asiekubali kushindwa si mshindani 👀

View attachment 1830036
P. Diddy na Burna Boy wakisalimiana kwa furaha na upendo 😉
Mna wazimu nyie Diamond Atua Marekani Kwaajili Ya Tuzo Za BET -Video - Global Publishers
 
Maoni yako hayawezi kuondoa fact kuwa mtu yeyote anaeunga mkono maovu ni mtu mbaya na anatakiwa kukemewa na kutokuungwa mkono.Diamond aliunga mkono maovu aliyokuwa anafanya Magufuli kwa hiyo ukweli ni kwamba Diamond ni mtu mbaya na hapaswi kuungwa mkono.Hii ni fact na wala siyo maoni yangu.
Huyu mchagga huwa ni mpuuzi kazi kuangalia wowowo tu
 
Mbona wakina kiba,konde,nandy,na wasanii wengi waliunga mkono juhudi watu hawawasemi

Ova
Kwa hiyo unataka kunipangia kuwa nisimlaumu Sabaya kuwa ni kiongozi muovu kisa simlaumu yule DC wa Rorya ambae alikuwa anabinya watu mbupu au kisa simlaumu DC Ally Hapi ambae hana adabu kwa wastaafu na pia ni mnyanyasaji mkubwa wa wananchi anawachapa hadi viboko?Logic za wapi hizi?!
 
Kwa hiyo unataka kunipangia kuwa nisimlaumu Sabaya kuwa ni kiongozi muovu kisa simlaumu yule DC wa Rorya ambae alikuwa anabinya watu mbupu au kisa simlaumu DC Ally Hapi ambae hana adabu kwa wastaafu na pia ni mnyanyasaji mkubwa wa wananchi anawachapa hadi viboko?Logic za wapi hizi?!
Point hapa ni je kwani mondi pekee yake alikuwa msani anayeinadi ccm,si wapo wengine

Ova
 
Hivi rayvan alishachukuaga hii tuzo kama upcoming artist BET nakumbuka, dai hii tuzo anaitamani nusu kufa lakini ndiyo hivyo alijichanganya kuingia kwenye siasa na kuchagua upande ule wa manjano
Atakosa tuzo Ila kamwe haiwezi kua kwa sababu ya siasa.
 
Point hapa ni je kwani mondi pekee yake alikuwa msani anayeinadi ccm,si wapo wengine

Ova
Umeelewa nilichoandika?Nimekuambia kuwa huwezi kunipangia kuwa nisimlaumu Sabaya kuwa ni kiongozi mbovu kisa wapo akina DC Ally Sapi ambao ni viongozi wabovu pia lakini siwalaumu.
 
Umeelewa nilichoandika?Nimekuambia kuwa huwezi kunipangia kuwa nisimlaumu Sabaya kuwa ni kiongozi mbovu kisa wapo akina DC Ally Sapi ambao ni viongozi wabovu pia lakini siwalaumu.
Basi mzee mwenzangu wa kupenda misambwanda,tufanye yameisha

Ova
 
Umeelewa nilichoandika?Nimekuambia kuwa huwezi kunipangia kuwa nisimlaumu Sabaya kuwa ni kiongozi mbovu kisa wapo akina DC Ally Sapi ambao ni viongozi wabovu pia lakini siwalaumu.
mkuu kwan anayegawa tuzo ni mkeo mpaka akusikilize ww? waulize wakina kigogo na maria sarungi ile petition yao iliishia wapi... walizani BET ni Mama Samia, wale hawapelekeshwi na mihemko ya wapinzani uchwara
 
Hiki ni nini ? 🤣🐒🤸👇

Magufuli vitendo, sio maneno maneno
Tunampa kitengo kwa kufika malengo,
Ameziba mapengo kwa upendo,
Magufuli namba wani iyeeh 🎶



BLADIFAKENII alikuwa ni namba wanii katika kuteka,kuua,kutesa,ukabila,udini,ubaguzi wa rangi,wizi wa kura,kuua uhuru wa kujieleza na kadhalika.
1098090.jpg
 
Kuna mtu namuhitaji hapa ni deal nae vilivyo. Maan alizidi kuchachawa, sasa leo ntamtuliza wenge. [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwani hapa duniani watu hawapaswi kumlaumu Magufuli kama dikteta kisa wanapaswa kumlaumu Kagame na Museven pia?Yaani unataka unipangie kuwa nisimlaumu Magufuli kama dikteta kisa simlaumu Kagame na Museven?Yaani unataka kunipangia kuwa ili nimlaumu Magufuli kama dikteta basi napaswa nimlaumu pia Museven,kagame,Idd Amini na Hitler?Logic za wapi hizi rafiki?
Mkuu kuna watu humu comments zao utadhani hawana hata akili ya kuvukia barabara 😄😄

Atakuchosha bure huyo
 
Back
Top Bottom