Burna Boy awasili Marekani na kupokelewa na P. Diddy

Burna Boy awasili Marekani na kupokelewa na P. Diddy

Wengine kufanya maovu sawa na ya Diamond haiondoi ukweli kuwa Diamond alifanya maovu wala haiwezi kuondoa lawama kuwa Diamond alifanya maovu.Kwani rafiki ikitokea diamond peke yake amepelekwa mahakamani kwa kuunga mkono maovu aliyofanya bladifakeni, Diamond anaweza kujitetea huko mahakamani kuwa hana hatia kwa sababu hata wasanii wengine walifanya maovu hayohayo?

Two wrongs can't make a right.Wengine kufanya maovu yaleyale aliyofanya Diamond haizuii wala haitoi kibali cha kuzuia Diamond kulaumiwa na kuhukumiwa.
Conclusion yangu ni kua issue ni Diamond ila sio kusupport ccm au magufuli.
Maana mimi nilikua anti-the late lakini nikija kwa diamond alipokosea nilichukia na haikuondoa ushabiki wangu kwake.
 
Conclusion yangu ni kua issue ni Diamond ila sio kusupport ccm au magufuli.
Maana mimi nilikua anti-the late lakini nikija kwa diamond alipokosea nilichukia na haikuondoa ushabiki wangu kwake.
Maoni yako hayawezi kuondoa fact kuwa mtu yeyote anaeunga mkono maovu ni mtu mbaya na anatakiwa kukemewa na kutokuungwa mkono.Diamond aliunga mkono maovu aliyokuwa anafanya Magufuli kwa hiyo ukweli ni kwamba Diamond ni mtu mbaya na hapaswi kuungwa mkono.Hii ni fact na wala siyo maoni yangu.
 
Maoni yako hayawezi kuondoa fact kuwa mtu yeyote anaeunga mkono maovu ni mtu mbaya na anatakiwa kukemewa na kutokuungwa mkono.Diamond aliunga mkono maovu aliyokuwa anafanya Magufuli kwa hiyo ukweli ni kwamba Diamond ni mtu mbaya na hapaswi kuungwa mkono.Hii ni fact na wala siyo maoni yangu.
Ni maoni yako rafiki. Sababu huwezi niambia diamond peke yake ndio anastahili hiko unachosema
 
Nilipoona ile video mikaona mmmmhhh....hapa maji yashakuwa mengi unga kidogo kwakweli.
Tatizo domo anataka kushindana na kila mtu badala ya kushindana na watu wa levo zake au waliomzidi...lkn mara kiba mara harmonize sijui mwijaku[emoji3525][emoji3525][emoji3525]...anasahau kwamba ana vipengele na wa[emoji1184]
Sasa ndugu yangu Mond kuwa Nominee kwenye hizo tuzo kwako imekuwa nongwa ajitoe aje kushindanishwa na wakina aslay?
 
Sasa ndugu yangu Mond kuwa Nominee kwenye hizo tuzo kwako imekuwa nongwa ajitoe aje kushindanishwa na wakina aslay?
Kwa iyo reply yako inaonesha hata hujaelewa nilichoandika..
 
Ni maoni yako rafiki. Sababu huwezi niambia diamond peke yake ndio anastahili hiko unachosema
Kwani hapa duniani watu hawapaswi kumlaumu Magufuli kama dikteta kisa wanapaswa kumlaumu Kagame na Museven pia?Yaani unataka unipangie kuwa nisimlaumu Magufuli kama dikteta kisa simlaumu Kagame na Museven?Yaani unataka kunipangia kuwa ili nimlaumu Magufuli kama dikteta basi napaswa nimlaumu pia Museven,kagame,Idd Amini na Hitler?Logic za wapi hizi rafiki?
 
Lkn mambo bado jamani sangoma anaweza kubadilisha ubao,tandale ika shine....mtakimbia mji huu[emoji16]
 
Hivi rayvan alishachukuaga hii tuzo kama upcoming artist BET nakumbuka, dai hii tuzo anaitamani nusu kufa lakini ndiyo hivyo alijichanganya kuingia kwenye siasa na kuchagua upande ule wa manjano
Ile petition yenu vipi? [emoji23]
 
Maoni yako hayawezi kuondoa fact kuwa mtu yeyote anaeunga mkono maovu ni mtu mbaya na anatakiwa kukemewa na kutokuungwa mkono.Diamond aliunga mkono maovu aliyokuwa anafanya Magufuli kwa hiyo ukweli ni kwamba Diamond ni mtu mbaya na hapaswi kuungwa mkono.Hii ni fact na wala siyo maoni yangu.
Una haki ya mawazo yako hata kama ni kinyesi kibichi ila ni haki yako.
It's your house and you live in it, so you can shit on the floor.....
 
We pimbi unaonekana hata shule ukwenda wewe. Kwani dunia nzima saa hizi usiku. Kama kwenu sa hizi usiku we hapa unafanya nini? shsksndhdhdksksnsasks
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]tuliza wenge wote tuko ulaya maana kama muda uliokua unapost upumbavu wako na mimi nilikua macho waliokua wamelala ndo wako Africa
 
Akose kabisa huyu zuzu..alimsifia Sana mwendazake-mshamba kwenye show yake ya kigoma..nakumbuka Kila baada ya wimbo mmoja alikuwa anaanza kumsifia alafu anamalizia kwa kumsifia bashite mteka watu..(show ilikuwa Ni kusifu na kuabudu) shenzy kabisa huyu kijana
Usipangie watu maisha, unachokipenda kwa makengeza wenu sio lazima kila mtu akipende.

Kupangia maisha watu wasiokujua, ndo uzuzu wenyewe.
 
Ni yeye peke yake? Mbona kina alikiba hamuwasemi kama wamepoteza kitu [emoji854]
Yani kikubwa zaidi wengi wao ni team Kiba, uanaharakati uchwara ni kichaka cha kujifichia tu.
 
Kwa hiyo mnafurahia yeye kukosa tuzo!
Haya kakosa,kwenu mnaongezewa nini sasa

Ova
 
Kwani ni msanii pekee yake diamond aliyeunga mkono juhudi?
Mbona wasani ni wengi tu wapo wengine mpaka walijifanya makomando kutembea na kamba,mbona hamwalaumi!
Hebu acheni zengwe kama kuna lingine mseme

Ova
 
Back
Top Bottom