Burna Boy ni zaidi ya Wizkid na Davido kwa sasa?

Simi mzuri sana kwa sasa karibu atamtupa Tiwa ....ila burna japo wakitambo sana lkn ana uwezo mkubwa wa kunata na beat ingawa beat karibu zote zifanana

Kwangu mimi ngoma kali ya burna kwa sasa ni "another story" baada ya "on the low " kuisha muda wake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…