mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Analia lia.Jeshiiii
Kakutana na mtoto wa tandale
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Analia lia.Jeshiiii
Hahaha ila hajafika level za kuvaa vijiko.[emoji16][emoji16]mabati hata Mond anavaa.
.....Oni yo lavu go make me madi Mani...leo nakutoooo...Konde boi they call me number wani, too muchi manii in the banki manii
Kuna mahali kasema alikua ananyonywa au fans ndio mnadai kanyonywaMimi sitalewea chochote mpaka pale ambapo huyo dogo ataonyesha kimziki chochote (hâta kimoja tu) huyo aliyekuwa anamnyonya, vinginevyo ntawaona kama wafa maji tu ambao hamuishi kutapatapa.
Mwaka wa tatu huu tangu atoke kwenye mikono ya wanyonyaji sioni la maana.Tukiachana na swala la yéyé kushindanishwa na Naseeb, sidhani kuna mtu yoyote aneweza kuweka wazi ni kipi ambacho harmo anamzidi Vanny mpaka sasa.
Kwani ni lazima amzidi VannyMimi sitalewea chochote mpaka pale ambapo huyo dogo ataonyesha kimziki chochote (hâta kimoja tu) huyo aliyekuwa anamnyonya, vinginevyo ntawaona kama wafa maji tu ambao hamuishi kutapatapa.
Mwaka wa tatu huu tangu atoke kwenye mikono ya wanyonyaji sioni la maana.Tukiachana na swala la yéyé kushindanishwa na Naseeb, sidhani kuna mtu yoyote aneweza kuweka wazi ni kipi ambacho harmo anamzidi Vanny mpaka sasa.
Nilishangazwa sana na hiliHarmonize anasema mama yake anaishi maisha magumu
Ina maana maisha anayoishi yeye Harmonize NI maigizo?
Kwanini asimsaidie mama yake Kama ana uwezo
[emoji38]He gonna bust his mendula
He gonna bust his mendula
kwa hiyo na wewe ni level za konde. Duuuh! Mwenzako anatengeneza hela kila siku unasema hana la maana.Mimi sitalewea chochote mpaka pale ambapo huyo dogo ataonyesha kimziki chochote (hâta kimoja tu) huyo aliyekuwa anamnyonya, vinginevyo ntawaona kama wafa maji tu ambao hamuishi kutapatapa.
Mwaka wa tatu huu tangu atoke kwenye mikono ya wanyonyaji sioni la maana.Tukiachana na swala la yéyé kushindanishwa na Naseeb, sidhani kuna mtu yoyote aneweza kuweka wazi ni kipi ambacho harmo anamzidi Vanny mpaka sasa.
wew hata la seng'enge hujawh nunua ukavaa.Kuvaa mabati mengi shingoni, kula bange kwa sana ndio anavyomzidi Rayvan
Kwa hizi akili, ukisikia harmonize basi unajua ana hela kuliko raia wote wasio waimba mziki? (Hata kama sio mimi) unataka kusema kwamba Tz hii kama sio MO au Bhakharesa basi hakuna anaewafika hao?😅kwa hiyo na wewe ni level za konde. Duuuh! Mwenzako anatengeneza hela kila siku unasema hana la maana.
Zaidi ya RR ya Dai Ni Nini kingine cha kwake unakijua.
Pambania family yako mkuu. Haya mambo soma km burudani tu. Wale wote Harmonize na Diamond siyo wenzio kimaisha.
Otherwise unambie wewe ni Bakhresa au Mo et al
Unaumia sana mkuu, kwani jamaa kasema uongo? Hapa tunawazungumzia Harmo na Dai, wewe unaleta personal issues😅.wew hata la seng'enge hujawh nunua ukavaa.
Tafuta hela mkuu wale cyo level yako. Utajiumiza bure.
Sawa dada anjelawew hata la seng'enge hujawh nunua ukavaa.
Tafuta hela mkuu wale cyo level yako. Utajiumiza bure.
Huyo ni yule dada msanii wa mmakondeUnaumia sana mkuu, kwani jamaa kasema uongo? Hapa tunawazungumzia Harmo na Dai, wewe unaleta personal issues[emoji28].
Tuambie Harmo kamzid kipi Mond? achana na maswala ya kusema hao sio level zetu.
HaishtuiSawa dada anjela
Wewe Ni kipi ulichoorodhesha ambacho Dai kamzid Harmonize.Unaumia sana mkuu, kwani jamaa kasema uongo? Hapa tunawazungumzia Harmo na Dai, wewe unaleta personal issues😅.
Tuambie Harmo kamzid kipi Mond? achana na maswala ya kusema hao sio level zetu.
This is... ni Anjella?Huyo ni yule dada msanii wa mmakonde