Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Kampeni za uchaguzi wa urais utakaofanyika Mei 20 zimeanza leo, Aprili 28 nchini Burundi. Mgombea urais kupitia chama tawala CNND-FDD, Evariste Ndayishimiyena na Agathon Rwasa wa chama cha upinzani, CNL wamezindua kampeni zao
Mkuu wa Tume ya Uchaguzi (CEN), Pierre Claver Kazihise, amewaonya vikali wale wote watakaokwenda kinyume na sheria, huku waziri wa afya akiwakumbusha wagombea na raia kuzingatia kanuni za kuepukana na ugonjwa wa #COVID19
Mgombea wa chama tawala tayari amepata uungaji mkono kutoka vyama vya FNL kinachoongozwa na Jaques Bigirimana, muungano wa COPA, na wafuasi wa UPRONA wanaounga mkono kundi la Isidore Mbayahaga
Waziri wa Usalama Alain Guillaume Bunyone amewataka wagombea kujiepusha na kauli za uchokozi zinazoweza kuhatarisha usalama
Kampeni hii iloanza leo itamalizika Mei 17 . Wagombea 7 kiti cha urais wameorodheshwa na CENI, mgombea wa chama tawala, Evariste Ndayishimiye, na wa chama cha upinzani cha CNL, Agathon Rwasa, wakitabiriwa kuchuwana vikali
Mkuu wa Tume ya Uchaguzi (CEN), Pierre Claver Kazihise, amewaonya vikali wale wote watakaokwenda kinyume na sheria, huku waziri wa afya akiwakumbusha wagombea na raia kuzingatia kanuni za kuepukana na ugonjwa wa #COVID19
Mgombea wa chama tawala tayari amepata uungaji mkono kutoka vyama vya FNL kinachoongozwa na Jaques Bigirimana, muungano wa COPA, na wafuasi wa UPRONA wanaounga mkono kundi la Isidore Mbayahaga
Waziri wa Usalama Alain Guillaume Bunyone amewataka wagombea kujiepusha na kauli za uchokozi zinazoweza kuhatarisha usalama
Kampeni hii iloanza leo itamalizika Mei 17 . Wagombea 7 kiti cha urais wameorodheshwa na CENI, mgombea wa chama tawala, Evariste Ndayishimiye, na wa chama cha upinzani cha CNL, Agathon Rwasa, wakitabiriwa kuchuwana vikali