Burundi: Kampeni za uchaguzi zaanza rasmi nchini

Burundi: Kampeni za uchaguzi zaanza rasmi nchini

Tuwape wiki 2

Jr[emoji769]
Uzuri kule hata wakiumwa nchi nzima hutaona takwimu zao za maambukizi zikiongezeka sanasana watazikwa kwa ma-greda mchana na usiku kucha.

Mwaka 2019 WHO iliripoti nusu ya population ya Burundi wameathirika na Malaria,sasa hapo Covid ikigonga hodi ndo basi tena.

Bahati mbaya tu ni kwamba watu wa Kigoma/Ngara wajiandae kisaikolojia kuletewa Covid na watu wa Burundi.
 
Alafu baadae wanaomba Msaada kujikwamua kwenye Janga
[emoji38][emoji38][emoji38]
Hapo ndipo utasikia Trump anasema pesa za walipa kodi wa Marekani hazitaenda kutibu Shithole country.
 
Duuuuh! This is Africa
Adi corona ina shangaa .ime kuja wapi uku ..
Korona inajilia tu huo umati

Sent using Jamii Forums mobile app
Acheni unafiki! Mnajifanya kushangaa wakati Tanzania kuna mikusanyiko mikubwa sana makanisani, misikitini, masokoni, minadani, kwenye stand za mwendokasi, bar, vijiweni e.t.c
 
Hii kitu tungefanya Tanzania sasa! Muda huu kelele kila kona ya dunia, Watz wanataka kutuua, wanakiburi etc. Hakuna nchi ya mzungu inayoongea kwa Burundi, wapo kimyaaaaaa! Nasubiri August nione itakavyokuwa maana na sisi ndio Campaign zitaanza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu
Burundi naona wao hawana corona maana kampeni za uchaguzi mkuu wanafanya kama kawaida.

Ukiangalia mgombea wa CNDD-FDD anavojaza watu utashangaa mgombea wao ni general Evariste Ndayishimiye watu wanajazana hatari na hawana tahadhari yoyote ya corona hawana mask wala nini.

Njoo pia kwa mgombea mwingine wa CNL ndugu Agathon Rwasa nae hujaza watu wengi pia na naona uchaguzi huu wa kiraia utafanyiaka kwa amani na utulivu lakini naoana kama vile hawana habari na corona maana ile mikusanyiko ni hatari sana inatisha.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Back
Top Bottom