Burundi: Kwanini Viongozi wetu wakuu wameelekeza nguvu zao huko?

Hkuna lolote ni nyumbani kwa kina Meko na Makamo wa rais
 
πŸ™πŸ»πŸ™πŸ»πŸ™πŸ»
 
Kwa tozo hizi ni bora Mungu atutendee miujiza tena
Kwa style hiyo hayo maombi ya kutendewa miujiza hayatoisha, kwa sababu hata hao waombaji ni sehemu ya tatizo pia na ndipo miongoni mwao hutoka hao wanaoombewa wakumbwe na miujiza.
 
Ila huko sio kuzuri tusingeanza kuimba Nyimbo tena
 
Mama anakwepa homa ya tozo mpya, huko Burundi Bora angebaki ashughulikie uchumi aisee
Cariha, Burundi ni muhimu sana kwetu, katika nchi za Afrika Tanzania ni nchi ya kwanza ambayo Burundi inatutegemea katika mahitaji na ni nchi ya 5 katika mfululizo wa nchi zinazotegemewa na Burundi. Angalia mtiririko huu;

1. China
2. Saudia
3. India
4. UAE
5. Tanzania
Hivyo ni mdau muhimu na anafaa kupewa ushirikiano ili kudumisha biashara baina yetu.
Biblia inasema "shika sana ulicho nacho"

Tunapenda kubeza kila kitu, anachofanya raisi katiks hili ni sahihi, hili la miamala sisi ndio tunatakiwa kuonyesha kuwa tumekerwa...tuweke migomo au tuandamane.

Sio kila kitu tusubiri tamko, wao wanafurahia kwani tozo litatimiza malengo yao ya kisiasa. Katika hili kuna wanasiasa watafikia malengo yao aidha positive au negative kama ifuatavyo:
1. Huenda washauri wa raisi wanalenga kumkwamusha, hivyo mambo yakienda kombo watakuwa wamefanikiawa au

2. Endapo raisi na serikali wakalisimamia hili vizuri na mambo yakabamba basi kwa matokeo chanya atakuwa amejiweka nafasi muhimu.

Tuchukue hatua sisi au tusubiri matokeo ni juu yetu.
 
Hahah Burundi hii hii au Kuna nyingine?[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…