Libertatem Pugnator
JF-Expert Member
- Aug 24, 2017
- 1,005
- 1,377
Mbona mapema sana jamani 😂😂😂Kwa tozo hizi ni bora Mungu atutendee miujiza tena
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona mapema sana jamani 😂😂😂Kwa tozo hizi ni bora Mungu atutendee miujiza tena
Wanatuletea vitenge,wao wanaingia tz kufuata mise(mbegu za michikichi zinazotoa mafuta) n.k...pia kuna bidhaa nyingi ambazo kwao ni rahisi(bei) kuliko Tz.Kwani Burundi tunauza nini?
Mungu afungamani na watu dhalimu wanaowaibia watu masikini.Mkuu mungu hachelew kujibu maombi tusubili tu yan wenyew wanainjoy maisha sisi wanaendelea kutukandamiza kwa makusud kabisa
Hkuna lolote ni nyumbani kwa kina Meko na Makamo wa raisLeo Rais Samia Suluhu Hassan anaanza ziara ya siku mbili nchini Burundi. Huyu ni kiongozi wa tatu wa juu kutembelea nchi hiyo ndani ya awamu hii ya sita. Alianza Makamu wa Rais Dr. Philip Isidor Mpango akafuata Waziri Mkuu Kassim Majaliwa. Nchi hii inaumuhimu gani kwetu kwa viogozi wetu wakuu kuelekeza nguvu zao huko, je soko lao ni kubwa kuliko nchi nyingine za ukanda wa Maziwa Makuu? au ni sababu za kiusalama.
😁😁😁😁 hebu acha hizo.
Kwa style hiyo hayo maombi ya kutendewa miujiza hayatoisha, kwa sababu hata hao waombaji ni sehemu ya tatizo pia na ndipo miongoni mwao hutoka hao wanaoombewa wakumbwe na miujiza.Kwa tozo hizi ni bora Mungu atutendee miujiza tena
Burundi ni nchi muhimu sana kwani 95% wanaitegemea bandari yetuNi ujinga tu wa viongozi waliopita kushindwa kuufungua mkoa wa kigoma. Vinginevyo burundi ni soko kubwa sana na nirahisi kuingia kule tofauti na nchi kama rwanda na uganda.
Mawese na Sabuni za gwanji mkuu.Kwani Burundi tunauza nini?
Hahah kajamaa mnakapaga kichwa kikubwa buuuure.Ni kukuza mahusiano kati yetu, Rwanda anaogopwa yule jamaa naona katuzidi ujanja tumeona bora tumkimbie tu.
Cariha, Burundi ni muhimu sana kwetu, katika nchi za Afrika Tanzania ni nchi ya kwanza ambayo Burundi inatutegemea katika mahitaji na ni nchi ya 5 katika mfululizo wa nchi zinazotegemewa na Burundi. Angalia mtiririko huu;Mama anakwepa homa ya tozo mpya, huko Burundi Bora angebaki ashughulikie uchumi aisee
Magu angekuwa hai angekwambia alivyoingizwa mjiniKagame Hana ujanja wowote acheni kumkuza bure
Tupo pamoja[emoji116]Burundi ni moja ya nchi zinazotegemea Bandari ya Dar kupitisha bidhaa zao,hivyo ni nchi muhimu kibiashara! Ni vizuri Mama akazidi kuimarisha uhusiano wa nchi yetu na Burundi.
Asante mdau kwa kujibu vema.Cariha, Burundi ni muhimu sana kwetu, katika nchi za Afrika Tanzania ni nchi ya kwanza ambayo Burundi inatutegemea katika mahitaji na ni nchi ya 5 katika mfululizo wa nchi zinazotegemewa na Burundi...
Burundi ni Soko kubwa la Nini? Maana usiandike kama unawasimulia watu wa kijiweni. BURUNDI NI SOKO KUBWA LA NINI?Ni ujinga tu wa viongozi waliopita kushindwa kuufungua mkoa wa kigoma. Vinginevyo burundi ni soko kubwa sana na nirahisi kuingia kule tofauti na nchi kama rwanda na uganda.
Hahah Burundi hii hii au Kuna nyingine?[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Hatuuzi litu kwasababu njia za mawasiliano kule ni duni barabara reli n.k ujinga wa viongozi kupeleka vipaumbepe kusiko sahihi. Inashangaza SGR ilikuwa inapelekwa kwa kagame nchi moja walati burundi kiuahilisia unakua umegusa mkoa wa kigoma na nchi ya DRC