Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Hamna adabu.
Watu wako msibani nyie marehemu anawalowesha chupi?
Nenda Nkurunziza. Mambo yako si madogo.
Samahani bro😉
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamna adabu.
Watu wako msibani nyie marehemu anawalowesha chupi?
Nenda Nkurunziza. Mambo yako si madogo.
Sikusema mimi mkuu.du..... huyu mtoa taarifa noma sana!
"Like his close friend John Magufuli of Tanzania, Nkurunziza had refused to impose restrictions in the small and poor African country, allowing sporting events and mass political rallies to go ahead".
chief, mimi nimesema mtoa taarifa, sijasema ni wewe!Sikusema mimi mkuu.
Bila samahani.Samahani bro[emoji6]
Watu wengine wanapata kura sio kwa sera, bali kwa alama wanazoacha mioyoni.Amewacha Alama kwenye mioyo ya wanawake wengi
Du hiyo kaliWatu wengine wanapata kura sio kwa sera, bali kwa alama wanazoacha mioyoni.
Yani wanawake wanaweza kumuangalia handsome wakasema huyu sera zake sikubaliani nazo, au hata sizijui, lakini nataka kumuona kwenye TV kila siku tu.
Na kwa hilo tu, nampa kura yangu.
Kikwete alipata sana hizi kura.Du hiyo kali
Hivi unawezaje kumuomboleza Nkurunzinza ?.......There was little public show of mourning on the streets as the country began a seven-day mourning period. .... Erythrocyte
Na mkewe walim-poison?Covid ina singiziwa tu ..jamaa wame mpoison
HAPANA, ameua wengi abaki madarakani. acha lifilie kwa mbali na shetani alipokee kwenye ufalme wake! Hauna eti oh maiti haswemwi vibaya,shenzi zake, wakati ameua wanangu bila kosa eti hasemwi vibaya!Hivi unawezaje kumuomboleza Nkurunzinza ?
Haujui kuwa katika suala la kufanya mapinduzi hata mkeo anaweza kuwa puppet wa kukuangamiza?Na mkewe walim-poison?
Hii ndio sasa, na walitaka ondoa familia yake yoteCovid ina singiziwa tu ..jamaa wame mpoison
Daah hii conspiracy theory haina tofauti na kusubiria utajiri kutoka forever living/Q-net.Haujui kuwa katika suala la kufanya mapinduzi hata mkeo anaweza kuwa puppet wa kukuangamiza?