Burundi leader Nkurunziza died of Covid-19 — diplomats

du..... huyu mtoa taarifa noma sana!

"Like his close friend John Magufuli of Tanzania, Nkurunziza had refused to impose restrictions in the small and poor African country, allowing sporting events and mass political rallies to go ahead".
Sikusema mimi mkuu.
 
Du hiyo kali
 
Sura yake na roho yake ni vitu viwili tofauti mara ya kwanza wakati simjui nilijua atakuwa na sura ngumu kumbe alikuwa mcharo balaa
 
Marais wa Afrika ni vichaa! Hata yule rais wa nchi ya asali na maziwa ambae yuko busy majukwaani kulaani matumizi ya barakoa ajiandae, covid-19 is coming for him sooner rather than later
 
Makahaba wanaojifanya wazee wa fursa
 
Haujui kuwa katika suala la kufanya mapinduzi hata mkeo anaweza kuwa puppet wa kukuangamiza?
Daah hii conspiracy theory haina tofauti na kusubiria utajiri kutoka forever living/Q-net.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…