Uliyataka
Ethiopia na Eritria walipopigana nani alishinda? Ukichukulia Eritria ni kainchi kadogo.Hivi vi nchi ni vidogo ila majina yao duniani yamekuzwa kutokana na migogoro ya ndani sasa swali langu je wakizipiga Leo wao kwa wao bila taifa jingine kuingilia upande mmoja wapo Nani atapewa kipigo cha mbwa coco
Kagame Vs nkurunzinza who would win??
Sitaki povu Kama una povu pita kimyakimya
Aiseee umenikumbusha rejea nzuri Sana kweli Hawa watu waliwahi kuzichapa ila sikumbuki who emerged a winnerEthiopia na Eritria walipopigana nani alishinda? Ukichukulia Eritria ni kainchi kadogo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante Sana mkuu ila Kama ni maadui wa ndani mbona nkurunzinza pia anao na walitaka hata kumpindua kitu ambacho kwa slim hakikuwahi kutokeakumbe ukimfata mtu pm akikutangaza anakula ban?
rwanda hawana jeuri ya kutwangana na burund coz slim anamaadui wengi ndani kwake
kuna uwezekano wa kupigana kwa ukabila na ikitokea hivyo slim na jamii yake wameumia mapema (kwanza hawatakiwi na majirani zao pili muonekano wao unawatambulisha)
pia burundi yupo vzr aridhini
Sent using Jamii Forums mobile app
Sheria za jf mambo ya inbox ukiyaleta publicly humu unakula bankumbe ukimfata mtu pm akikutangaza anakula ban?
rwanda hawana jeuri ya kutwangana na burund coz slim anamaadui wengi ndani kwake
kuna uwezekano wa kupigana kwa ukabila na ikitokea hivyo slim na jamii yake wameumia mapema (kwanza hawatakiwi na majirani zao pili muonekano wao unawatambulisha)
pia burundi yupo vzr aridhini
Sent using Jamii Forums mobile app
Nutsery schools hazijafunguliwambona kinachoendelea ni kuimpreginentiana?
Kweli,alianza mwenyeweMjinga kaharibu uzi wangu namimi nilisema Kama una povu pita kimyakimya
Jaribio la mapinduzi ya Nkuru lilifanywa na PAKA, Rwanda hapajafanyika jaribio la mapinduzi bali yamefanyika majaribio kadhaa ya kuvamia Ikulu. Hayo hayatangazwiAsante Sana mkuu ila Kama ni maadui wa ndani mbona nkurunzinza pia anao na walitaka hata kumpindua kitu ambacho kwa slim hakikuwahi kutokea
Jibu murua kabisa kuwa kutokea maana kuna watu hawana akili wanacomment comments tuI will impregnate ur biological mom so u can have ur young brother
mbona kinachoendelea ni kuimpreginentiana?
neno jipya kwa kamusiDuuh nimetamka hilo neno lako kidogo nikatike ulimi
safi sana bas fanya hivi kama kuna id ya kike unazijua huwe unaniambia pm mkuuSheria za jf mambo ya inbox ukiyaleta publicly humu unakula ban
Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha we jamaaa wewe mtata Sana hebu anza na faizafoxy Kwanzasafi sana bas fanya hivi kama kuna id ya kike unazijua huwe unaniambia pm mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
ni vigumu saana kwa jeneral kutaka kupindua nchi na akashindwa coz anakuwa anakomandi group kubwa la askariAsante Sana mkuu ila Kama ni maadui wa ndani mbona nkurunzinza pia anao na walitaka hata kumpindua kitu ambacho kwa slim hakikuwahi kutokea