fact lkn hapo kwenye mbinu sina imani nae
swala la silaha za kisasa kwa rdf pia sio kweli ni mwaka jana tu ndio kanunua BM-21 ambazo kwa nchi za sadc wanazo since miaka ya sabini
usa haibi madini congo ana miliki migodi ispokuwa anatumia njia kama za acacia kuiba
mossad walikuja kugundua hawana uwezo wa kupenya EA bila tanzania
kuhutubia wajeda wa us sio jambo kubwa kivile hawa usa walishawai kumtuma luten jeneral wao amletee tuzo mwakibolwa kama kamanda bora wa vikosi vya mizinga africa
kidogo jeshi la slim lina nidhamu kuliko la nkuru pia hawa usa na israel hawanaga rafiki wa kudumu rejea walivyo muuza savimbi
Sent using
Jamii Forums mobile app