Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 13,864
- 35,079
- Thread starter
- #41
Na kwa sheria za kijeshi mapinduzi yakushindwa wanakula shaba dah maskinini vigumu saana kwa jeneral kutaka kupindua nchi na akashindwa coz anakuwa anakomandi group kubwa la askari
sasa huyo niyombare alishindwa sababu hakupata support( yalikuwa mapinduzi ya wauni wachache tu wenye vimbelembele kama ilivyotokea gabon)
Sent using Jamii Forums mobile app