Burundi waanzisha Mwenge wao, Waomba mafuta ya Mwenge wa Tanzania. Je, Watapata amani?

figganigga

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
25,724
Reaction score
55,906
Burundi waanzisha Mwenge wao, Waomba mafuta ya Mwenge wa Tanzania. Je, Watapata amani?

Nimeshuhudia Mwenge wa Burundi ukikagua shule ya Buraza Gitega ilojengwa 1974 hadi leo bati hazijabadilishwa.

Mwenge wa Burundi 🇧🇮 unamulika wazembe, wala rushwa na wanaotaka kupindua nchi🤣

Je, Tanzania ikiwapa Mafuta yalobaki kutoka kwenye mwenge, watafikia malengo?

Mwenge wameupa jina la Intwara rumuri. Haina uhusianobna Rumuli ya Bukoba huko Kagera
Your browser is not able to display this video.
 
Mwenge ni mungu wa sisi tusiomjua Mungu.
Ukiwashwa Dar es salaam unamulika mipaka yote ya Tanzania,mwenge ni mungu wa Tanzania.
Hao Warundi wasipokuwa makini watajikuta nchi yao imekuwa koloni la Tanzania.
 
Wawaambie wananchi wao watumie kondom maana zile sherehe huwa hazimuachi mtu hivihivi mimbamimba sana,ka gono fulani hivi na ka HIV kwa mbali..😅
 
Wakimbizi wa Kirundi baada kurejea kwao wameiga huu upuuzi nasubiria na wao waige na majina ya timu za YANGA na SIMBA kwenye ligi yao.

Burundi irudishwe kwa watawala wake halali wa Kitutsi hawa Wahutu hawajiwezi.
 
Wamejiiñiza kwenye uchawi wenye laana nzito sana
 
Hivi kwanini wasijiunge nasi hawa, tuunde shirikisho?
 
Hongera sana Wana Burundi Kwa kuiga uhuru torch hakika mtapata uhuru,amani na utulivu tunaofurahia TANZANIA
 
RUMULI=KIHAYA=KIRUNDI
MWENGE=KISWAHILI
 
Itabidi na CCM wakafungue tawi huko Burundi.
 
Hii stori ni kweli au porojo za Mtaani?maana imeelezewa kimasihara sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…