Tetesi: Burundi, wanaosadikika kuwa wanyarwanda na wa Congo wenye asiri ya kinyarwanda, wakusanywa uwanjani

Tetesi: Burundi, wanaosadikika kuwa wanyarwanda na wa Congo wenye asiri ya kinyarwanda, wakusanywa uwanjani

Tayari imepatikana hoja nzito kuingia Burundi kutwaa viwanja vyote vya ndege ili kuikaba FARDC jeshi la serikali la DR Congo isiweze kuitumia Burundi kuwa kichaka cha logistic ( yaani kutumika kama kitovu cha ugavi wa chakula, silaha, zana, askari wa serikali ya Congo, na kuzuia kasi ya M23 kwenda Kinshasa
Hebu fafanua . Ni Nani anayeingia Burundi kutwaa viwanja vha ndege na kuikaba FARDC ... na kuzuia kasi ya M23 kwenda Kinshasa?
 
Tayari imepatikana hoja nzito kuingia Burundi kutwaa viwanja vyote vya ndege ili kuikaba FARDC jeshi la serikali la DR Congo isiweze kuitumia Burundi kuwa kichaka cha logistic ( yaani kutumika kama kitovu cha ugavi wa chakula, silaha, zana, askari wa serikali ya Congo, na kuzuia kasi ya M23 kwenda Kinshasa

mbona Tanzania tulifanya hivyo hivyo mwaka 2014 ila jeshi la watutsi halikuja kutupiga na kutwaa viwanja vya ndege vya Tanzania ?
 
Naelewa hilo lakini na wewe jaribu kuelewa andiko langu inahitaji tena nikueleweshe mkuu?
Hajui wahutu ni 85% ya raia wote wa Burundi huku watutsi wakiwa 14% ya raia wote wa Burundi. Na si Burundi tu hata rwanda ni hivyo hivyo. Siku mambo yakiharibika watutsi watapata tabu sana ndani ya hizo nchi.

Tanzania inatakiwa kufunga mipaka kama ni msaada wa ukimbizi wasaidiwe huko huko kwenye nchi zao maana wanapewa hifadhi halafu wanawatelea wenyeji shida.
 
Hiyo Video Wanao Ongea Ni Wakongo Sio Warundi
Nahisi hao niwatu walio jitolea Kujiunga na M23 Huko Goma
 
Hajui wahutu ni 85% ya raia wote wa Burundi huku watutsi wakiwa 14% ya raia wote wa Burundi. Na si Burundi tu hata rwanda ni hivyo hivyo. Siku mambo yakiharibika watutsi watapata tabu sana ndani ya hizo nchi.

Tanzania inatakiwa kufunga mipaka kama ni msaada wa ukimbizi wasaidiwe huko huko kwenye nchi zao maana wanapewa hifadhi halafu wanawatelea wenyeji shida.
Ni kweli lakini kufunga mpaka ujue nayoi ni shughuli pevu - inahusisha na mataifa mengine n.k. pia njia za porini zipo.
 
Mr. Slim atasikika akiwataka waachiwe
Na wataachiwa kweli.
Raisi wa Burundi alietangaza kuwa Rwanda ina mpango wa kuvamia Burundi, na kwamba yupo tayari, baada ya kuona kinachoendelea huko alikohamishia jeshi lake, ametangaza kwamba ameisha ongea na Rwanda na huo mpango haupo tena!!!😀😀😀😀
 
Hajui wahutu ni 85% ya raia wote wa Burundi huku watutsi wakiwa 14% ya raia wote wa Burundi. Na si Burundi tu hata rwanda ni hivyo hivyo. Siku mambo yakiharibika watutsi watapata tabu sana ndani ya hizo nchi.

Tanzania inatakiwa kufunga mipaka kama ni msaada wa ukimbizi wasaidiwe huko huko kwenye nchi zao maana wanapewa hifadhi halafu wanawatelea wenyeji shida.
Takwimu zako na mawazo haviendani.

Uzuri hamjui heka heka za vita, mnahisi ni disco.
 
Waliku wahamiaji Haram sio raia
Si kweli. Wengi wao waliokimbia juzi.Hawana hata wiki. Baada ya Goma kuangukia mikononi mwa M23, walianza kunyanyaswa, alioweza kukimbia, ndo hapo walipofikia. Mbona wanyarwanda wapo na hawajaguswa!
 
Back
Top Bottom