Hebu fafanua . Ni Nani anayeingia Burundi kutwaa viwanja vha ndege na kuikaba FARDC ... na kuzuia kasi ya M23 kwenda Kinshasa?Tayari imepatikana hoja nzito kuingia Burundi kutwaa viwanja vyote vya ndege ili kuikaba FARDC jeshi la serikali la DR Congo isiweze kuitumia Burundi kuwa kichaka cha logistic ( yaani kutumika kama kitovu cha ugavi wa chakula, silaha, zana, askari wa serikali ya Congo, na kuzuia kasi ya M23 kwenda Kinshasa
Rwanda mkuu.Kwenu wapi!
OkRwanda mkuu.
Tayari imepatikana hoja nzito kuingia Burundi kutwaa viwanja vyote vya ndege ili kuikaba FARDC jeshi la serikali la DR Congo isiweze kuitumia Burundi kuwa kichaka cha logistic ( yaani kutumika kama kitovu cha ugavi wa chakula, silaha, zana, askari wa serikali ya Congo, na kuzuia kasi ya M23 kwenda Kinshasa
Hajui wahutu ni 85% ya raia wote wa Burundi huku watutsi wakiwa 14% ya raia wote wa Burundi. Na si Burundi tu hata rwanda ni hivyo hivyo. Siku mambo yakiharibika watutsi watapata tabu sana ndani ya hizo nchi.Naelewa hilo lakini na wewe jaribu kuelewa andiko langu inahitaji tena nikueleweshe mkuu?
Unahoji kiaskari sana aiseeHebu fafanua . Ni Nani anayeingia Burundi kutwaa viwanja vha ndege na kuikaba FARDC ... na kuzuia kasi ya M23 kwenda Kinshasa?
Pole mkuu. Huyo jamaa habari yake alivoiandika imenichanganya. Ila mimi sio askari wala mgambo. Ni shabik tu ninayefuatilia huu mtanange.Unahoji kiaskari sana aisee
Ni kweli lakini kufunga mpaka ujue nayoi ni shughuli pevu - inahusisha na mataifa mengine n.k. pia njia za porini zipo.Hajui wahutu ni 85% ya raia wote wa Burundi huku watutsi wakiwa 14% ya raia wote wa Burundi. Na si Burundi tu hata rwanda ni hivyo hivyo. Siku mambo yakiharibika watutsi watapata tabu sana ndani ya hizo nchi.
Tanzania inatakiwa kufunga mipaka kama ni msaada wa ukimbizi wasaidiwe huko huko kwenye nchi zao maana wanapewa hifadhi halafu wanawatelea wenyeji shida.
Mr. Slim atasikika akiwataka waachiwe
View: https://x.com/bless_link/status/1890707010196586948
Pichani, ni video. Inasemekana watu hao wanapelekwa uwanjani chini ya ulizni wa vyombo vya dola.
Msako mkali mjini Bujumbura, unaendelea. Wanaokamatwa, ni wale wenye lafudhi za Kinyamlenge na kinyarwanda, wanaohisiwa kuwa watutsi.
Kama ikitokea taarifa hizo zikadhibitishwa kikamirifu, Basi Burundi na kwenyewe kutakuwa na jambo.
Na wataachiwa kweli.Mr. Slim atasikika akiwataka waachiwe
Takwimu zako na mawazo haviendani.Hajui wahutu ni 85% ya raia wote wa Burundi huku watutsi wakiwa 14% ya raia wote wa Burundi. Na si Burundi tu hata rwanda ni hivyo hivyo. Siku mambo yakiharibika watutsi watapata tabu sana ndani ya hizo nchi.
Tanzania inatakiwa kufunga mipaka kama ni msaada wa ukimbizi wasaidiwe huko huko kwenye nchi zao maana wanapewa hifadhi halafu wanawatelea wenyeji shida.
Kila anaikisiwa kuwa mtutsi,anakamatwa. Bado haijajulikana kama lengo ni kurudishwa kwao au jambo lingine. Sema tu, rais ameshaonywa, ahakikishe wako salama.Wamekusanywa kwaajili ya Nini?
Waliku wahamiaji Haram sio raiahakuna cha ajabu, maana hata TANZANIA tulifanya hivyo hivyo kwa Watutsi pia mwaka 2014 kwenye mikoa ya mipakani
tuliwakusanya kisha tukafanya Mass Deportation to Rwanda
Si kweli. Wengi wao waliokimbia juzi.Hawana hata wiki. Baada ya Goma kuangukia mikononi mwa M23, walianza kunyanyaswa, alioweza kukimbia, ndo hapo walipofikia. Mbona wanyarwanda wapo na hawajaguswa!Waliku wahamiaji Haram sio raia