acha dharau mzeeHivi Burundi nayo ina jeshi lake, au wamekopa kutoka Congo wakawavalisha sare mpya?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
acha dharau mzeeHivi Burundi nayo ina jeshi lake, au wamekopa kutoka Congo wakawavalisha sare mpya?
Sawa sitawadharau tenaacha dharau mzee
Tutatoa dozi nzito mwezi mzima?Burundi ni bora ingesubiri jeshi la Jumuia ya Afrika Mashariki kwenda kusuluhisha mgogoro na kama fldr na red tabara watajifanya vidume tutatoa Dozi nzito ya mwezi mzima.
Halafu anakuambia yy ni mTZ ila anaijua rwanda sababu anaendesha maloriTutatoa dozi nzito mwezi mzima?
Naona umeshindwa kujificha sasa mrwanda.
Sasa ulikuwa unakataa nini uraia wako?
Richard
Kweni Jeshi la East Africa ni Rwanda pekee kuna Kenya Tanzania Uganda Rwanda Burundi na Somalia.Tutatoa dozi nzito mwezi mzima?
No man's landje nan atakuwa kawaruhusu hao wanajeshi w bwana Slim ? Burundi wwna terms ba DRC
Tatizo lake anafikiri watu ni wajinga. Halafu watutsi wa Rwanda walivyo wajinga wote wanatumia mbinu hiyo hiyo moja.Halafu anakuambia yy ni mTZ ila anaijua rwanda sababu anaendesha malori
Usifikiri watu ni wajinga.Kweni Jeshi la East Africa ni Rwanda pekee kuna Kenya Tanzania Uganda Rwanda Butundi na Somalia.
Wewe Mwarabu una utanzania gani mpaka uhoji mimi utanzania wangu?!ninyi ndio maana Trump na Netanyahu anawashughulikia.Usifikiri watu ni wajinga.
Wewe siyo mtanzania, periodt!
Rwanda imempeleleka pungufu ya hao?Hivi, kweli inawezekana raisi wa nchi apeleke wanajeshi elfu kumi vitani nchi nyingine? Hapa kuna watu wanaenda kupimana uwezo si bure.
Itakuwa wanajuwa kuishi vizuri na jamii.View attachment 3227593
Hao wanajeshi wa Burundi wapo huko kitambo ila DRC haisemi kwa kuwa wanapigania interests za Wahutu pamoja na waasi wa wa Rwanda waliojificha DRC.
Idadi kubwa ya raia wa Burundi na rwanda wengi ni wahutu na Burundi inaongozwa na mhutu hivyo hata kukitokea machafuko ya ndani watutsi ambao ni wachache wanakalishwa tu. Kwa rwanda kikinuka watutsi wamekwisha maana wameifanya rwanda kuwa nchi ya watutsi licha ya wao kuwa wachache sana.Aisee hili nililisema kuna jamaa lilibweka vibaya mno ,nikamwambia Mrundi ni mpiganaji mzuri sana na kona zote hizo nae anazijua lakini pia hana maadui wa ndani wa kivile kama ilivyo kwa Pk,
Ambapo kwa vyovyote vile Chigali ikianza kupigwa direct wataibuka watu wengine hatutajua wametoka wapi kumshindilia vizuri Pk
Huyo sio Mtanzania. Ni mtutsi wa rwanda.Usifikiri watu ni wajinga.
Wewe siyo mtanzania, periodt!
Km ni ukubwa Rwanda ina ukubwa gani, acheni kumkuza hilo jinga PK ameshapigana vita ya wazi wapi?Kichekesho! Kama congo kubwa inanyukwa na rwanda, burundi ni kitu gani kwa rwanda? Kagame anaona burundi ni underdog tu akiamua anaifyagia asubuhi tu
Na wahutu mko wangapi humu, Tshesekedi ana nafasi za kazi mnakaribishwaWatutsi wamejaa humu, utaona comment zao
Naona imekugusa.Na wahutu mko wangapi humu, Tshesekedi ana nafasi za kazi mnakaribishwa
Nafurahi mnavyopewa kichapo na M23😂😂Naona imekugusa.