Dodoma leo
JF-Expert Member
- Jan 7, 2021
- 1,336
- 1,658
Wakuu nauliza bus gan Zur linalotoka iringa asubuh kuelekea mwanza.nataka linaloanzia iringa mjini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lipo kapricon iringa mwanza, ila kwa ushauri kama unataka luxury sogea apo dodoma utapata bus nzuri maana zipo nyingi, Satco, Allys, Bright line, Isamilo n.k pia unaweza kusubiri ya kutok mbeya fikoshi, primier ila utafika umechoka sana, pia kuna super feo kutoka songea.Wakuu nauliza bus gan Zur linalotoka iringa asubuh kuelekea mwanza.nataka linaloanzia iringa mjini.
Linaondka SAA ngapi hapa mjinLipo kapricon iringa mwanza, ila kwa ushauri kama unataka luxury sogea apo dodoma utapata bus nzuri maana zipo nyingi, Satco, Allys, Bright line, Isamilo n.k pia unaweza kusubiri ya kutok mbeya fikoshi, primier ila utafika umechoka sana, pia kuna super feo kutoka songea.
Jaman Jaman iringa imepoa hiv.Kifupi hakuna.
Utatakiwa uunge linalotokea either mbeya au Songea.
Au ujisogeze dodoma hapo.
Siwez Safar ndefu hivyo niianze SAA sita...Nakushauri ukihitaji gari nzuri nenda dodoma na ukishindwa panda Kapricon, tafadhali usijichanganye usubiri za Mbeya kuna kunguni mpaka mlangoni
Kifupi hakuna.
Utatakiwa uunge linalotokea either mbeya au Songea.
Au ujisogeze dodoma hapo.
Lipo, premier na IsamiloKifupi hakuna.
Utatakiwa uunge linalotokea either mbeya au Songea.
Au ujisogeze dodoma hapo.
Yanaanzia mbeya hayo uliyoyataja.Lipo, premier na Isamilo
Saa 12 asubuhi inatoka iringaLinaondka SAA ngapi hapa mjin
Salvation Nayo inaenda mwanza mkuu?Unaweza ulizia Salvation lipo vzur sana