Bus za Sauli miamba ya Nyanda za Juu Kusini

Bus za Sauli miamba ya Nyanda za Juu Kusini

Unayeenda mbeya panda sauli. Hizi Newforce hazina guarantee. Haiwezekan gar ndani ya mwezi accident zinatokea zaidi ya 5. Hio ni hatar sana
 
Sauli ni kampuni inayomilikiwa na bilionea Mtanzania pande za chunya Mbeya. Hapa kati baadhi ya gari zake muhimu zilipotea ghafla tu akibakiwa na gari nne tu lakini bado anajitahidi.

Dereva wake wako makini sana licha ya mwendo wanaotembea. Si rahisi kusikia kampuni hii madereva wakiangusha gari kama ilivyo New Force. Ndio sababu ina mashabiki wake àmbao huwaambii kitu. Ni matumaini yangu gari zake zingine zitarudi na kuanza kazi mara moja
Jumbe kama.hizi hutangulia.kabla ya disaster kufuatia....
 
ABC kwa sasa ndio mwamba wa pande hizi
 
Cummins e
Sauli ni basi na nusu, nilienda nalo mbeya safari ile ilikuwa Safi sana, chuma imechoka kiasi lakini inavopangua Michina mipya kama imesimama..
Wakati wakurudi naenda kukata tiketi nakuta siku tatu mbele chuma imejaa..ikabisi nipande mchina new force basi njiani naona dereva wa new force alijitahidi kupambana sana ila mwisho wa siku sauli ni sauli tu.
Roho iliniuma naona chuma inapotea hiyoooo kama mmesimama.
Hongera zao Sauli
Cummins engine mchina power yake ndogo kwa scania engine
 
Kibiashara za mabus chukua mchina.
Sauli moja unapata Mchina 2 na moja unapewa mkopo.
Mchina anarudisha faida haraka kuliko scania.
 
Kibiashara za mabus chukua mchina.
Sauli moja unapata Mchina 2 na moja unapewa mkopo.
Mchina anarudisha faida haraka kuliko scania.
Upo sahihi lakini pia kwa mtazamo wang mchina atachoka mapema while ushachukua nyingine + services+ administration costs utajikuta unakuja mle mle bora uchukue scania coz zinakaa muda mrefu. Nenda kigoma basi nyingi zina plate namba A aina ya Scania lakini zinapiga tu kazi kama kawaida tofauti na mchina. Mchina wa plate namba A now a days hafurukuti
 
Cummins e

Cummins engine mchina power yake ndogo kwa scania engine
Kabisa kabisa. Mfano. Garu zinazoenda mbeya ukiona gari za sauli au superfeo kapitwa basi ujue ni umakini tu then traffic barabarani. Ila mchina hamna kitu
 
Upo sahihi lakini pia kwa mtazamo wang mchina atachoka mapema while ushachukua nyingine + services+ administration costs utajikuta unakuja mle mle bora uchukue scania coz zinakaa muda mrefu. Nenda kigoma basi nyingi zina plate namba A aina ya Scania lakini zinapiga tu kazi kama kawaida tofauti na mchina. Mchina wa plate namba A now a days hafurukuti
Hatuangalii durability labda kwa biashara za malori.
Kwa mabus wanaangalia return Mchina anaingiza pesa nyingi Mara tatu ya scania kwa siku.
Mfano nauli ya sh elf 50 siti 60.
Scania moja milion 500 ukienda kwa Mchina mikocheni anakupa Mchina 2 na moja nyongeza utarejesha kila mwezi kwa msaada wa hizo mbili.
So kwa Dar Mbeya nauli elf 50 ruti moja mchina utatoa gari tatu yaani siti 180 Mara elf 50 wakati Scania siti 60 mara 50.
So scania utapata milion 3 kwa siku mchina utapata milion 9 kwa siku.
Ndani ya mwaka pesa imerudi umelipa na Ile mkopo wa ya tatu then unavuta gari sita kwa tatu nyongeza ya mkopo.Baada ya miaka 3 unazikata screpa.
Scania hio milion 500 atahitaji miaka 5 ndio arejeshe atadumu miaka 15.
Thus BM, Abood,nk Wana mabus mengi sana kuliko kina Sauli,Rungwe,Dar express wa mascania.
Kwenye comfortability yaani starehe mchina ana mkimbiza scania kwenye uimara na kudumu scania yupo juu lakini arudishi pesa kwa wakati.
 
Mimi team sauli mkuu ,nimezipanda zote hao wakina achimwene. Newforce ,shabiby ,ABC lakin unahisi kama umepanda bua scania unajihisi confontability kabisa scania ni scania mzee ninachojiuliza na wale madereva wake sijui ye aliwatoa wap sio timing Kali zile za overtaking unashangaa tu imeandikwa iache iende
Wengi wamenijibia kila swali na comments. Wengi wanajua kwann sauli ni gari bora sana. Madereva wake wako makini mno. Huwezi kusikia gar za sauli zinapinduka hata siku moja. Haya mambo ya kugonga yapo na yanatokea lakini sio kupindua gari kiasi cha kuhatarisha maisha ya wateja. Scania ni gari nzuri sana. Gari inayomsumbua ambayo nadhani ni kwasababu ya gharama za matengenezo ni ile Benz. Lakini zingine zote Newforce hua wanafurukuta na ataharibu gari zake zote hizi hata miaka 10 ijayo zitaendelea kupiga kazi
 
Mwendo mkali ni hatari. Lama wanakimbia sana basi ni suala la muda tu kuna siku wata watalia. Nashangaa mpaka karne hii kuna malimbukeni bado wanashabikia mabasi yanayokimbia kupitiliza.
Watoto hawa mkuu,ndio maana wanashangilia mchuano mkali barabarani.
 
Nakukumbusha utamu wa sauli upo kitonga dar to mbeya unavorud ye hakai nyuma ya malori eneo lile ni hatar ye anaunga moja kwa moja kukaa nyuma ya malori kitonga ni hatar sana
Mkuu, hata uwe na baiskeli, huwezi kaa nyuma ya roli Kitonga.
Maroli yote yanapopandisha mlima mkali kama Kitonga, huwa yanatumia gia ndogo sana inaitwa crawler. Kwa gia hii hata ukanyage vipi, spidi haizidi kumi. Yani gari inakuwa inaenda pole pole kama kobe.
download.jpeg
 
Back
Top Bottom